Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Papa  alaani mashambulizi dhidi ya watu wasio na hatia huko Nigeria na Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Papa alaani mashambulizi dhidi ya watu wasio na hatia huko Nigeria na Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Aug 09, 2017 12:39

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunia amelaani mashambulizi yanayofanywa dhidi ya raia wasio na hatia huko Nigeria na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Boko Haram yaua wavuvi 31 kaskazini mwa Nigeria

    Boko Haram yaua wavuvi 31 kaskazini mwa Nigeria

    Aug 08, 2017 03:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeua makumi ya wavuvi baada ya kuvamia visiwa viwili vya eneo la Ziwa Chad, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Wanigeria waandamana wakimtaka Rais Buhari arejee nchini au ajiuzulu

    Wanigeria waandamana wakimtaka Rais Buhari arejee nchini au ajiuzulu

    Aug 07, 2017 22:36

    Wananchi wa Nigeria wamedanya maandamano wakimtaka Rais Muhammadu Buhari wa nchi hiyo anayepata matibabu kwa zaidi ya miezi mitatu sasa mjini London, Uingereza kwa ugonjwa ambao haujawekwa wazi, arejee nchini au ajiuzulu.

  • Watu wasiopungua 12 wauawa katika shambulio dhidi ya kanisa Nigeria

    Watu wasiopungua 12 wauawa katika shambulio dhidi ya kanisa Nigeria

    Aug 06, 2017 11:54

    Watu wasiopungua 12 wameuawa kusini mashariki mwa Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya watu waliokuwa na silaha kuvamia kanisa moja na kuanza kuwamiminia watu risasi.

  • Raia wa Nigeria wataka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Raia wa Nigeria wataka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Aug 05, 2017 09:09

    Wakazi wa mji wa Abuja, mji mkuu wa Nigeria wamefanya maandamano ya amani na kupaza sauti wakitaka kuachiwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu anayeendelea kushikiliwa na vyombo vya usalama nchini humo.

  • Mabaradhuli 43 wapandishwa kizimbani Nigeria

    Mabaradhuli 43 wapandishwa kizimbani Nigeria

    Aug 05, 2017 03:36

    Watu 43 wamefikishwa mahakamani nchini Nigeria kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ubaradhuli na mahusiano ya kingono ya jinsia moja.

  • Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Jul 30, 2017 10:44

    Kongamano la Kimataifa la Quds ambalo hufanyika kila mwaka limeanza shughuli zake katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.

  • Zaidi ya watu 40 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    Zaidi ya watu 40 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

    Jul 27, 2017 23:35

    Zaidi ya watu 40 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Uholanzi yafunga bomba lake la mafuta Nigeria kwa hofu ya uharibifu wa waasi

    Uholanzi yafunga bomba lake la mafuta Nigeria kwa hofu ya uharibifu wa waasi

    Jul 25, 2017 23:18

    Shirila la mafuta la Uholanzi na Uingereza la Royal Dutch Shell, limefunga bomba muhimu la mafuta kusini mwa Nigeria kutokana na ongezeko la vitendo vya uharibifu vinavyofanywa na makundi ya waasi eneo hilo.

  • UN yaitaka serikali ya Nigeria kuwakomboa wasichana wa Chibok

    UN yaitaka serikali ya Nigeria kuwakomboa wasichana wa Chibok

    Jul 24, 2017 22:29

    Kamati ya Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa imeitaka serikali ya Nigeria kuzidisha juhudi za kuwakomboa wanawake na wasichana wote waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram na kuhakikisha wanarudi shuleni bila ya kukabiliwa na unyanyapaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS