Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Machafuko yaendelea kaskazini mashariki mwa Nigeria, watu 8 wauawa

    Machafuko yaendelea kaskazini mashariki mwa Nigeria, watu 8 wauawa

    Jul 24, 2017 09:59

    Watu wanane wameuawa na wengine 15 kujeruhiwa katika miripuko ya mabomu iliyotokea katika kambi mbili za wakimbizi, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 33 wauawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji nchini Nigeria

    Watu 33 wauawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji nchini Nigeria

    Jul 21, 2017 03:33

    Watu 33 wameripotiwa kupoteza maisha katika mapigano makali baina ya wakulima na wafugaji, katikati mwa Nigeria.

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kuuawa Sheikh Zakzaky

    Harakati ya Kiislamu Nigeria yatahadharisha kuhusu uwezekano wa kuuawa Sheikh Zakzaky

    Jul 20, 2017 00:21

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeitahadharisha serikali ya nchi hiyo kuhusu njama ya aina yoyote ya kutaka kumuua kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa na vyombo vya usalama.

  • Marekani yadai kufuatilia mali zilizoporowa Nigeria katika sekta ya mafuta

    Marekani yadai kufuatilia mali zilizoporowa Nigeria katika sekta ya mafuta

    Jul 17, 2017 02:36

    Wizara ya Sheria ya Marekani imetangaza kuwasilisha kesi kwa lengo la kuchukua udhibiti wa mali za baadhi ya mashirika na watu katika sekta ya mafuta ya Nigeria wanaotuhumiwa kuhusika na ufisadi.

  • Watu 19 wauawa katika hujuma ya kigaidi Nigeria

    Watu 19 wauawa katika hujuma ya kigaidi Nigeria

    Jul 12, 2017 09:58

    Watu 19 wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa kufuatilia milipuko kadhaa ya mabomu iliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Nigeria yazitaka nchi za G20 kutekeleza majukumu yao kuhusu Afrika

    Nigeria yazitaka nchi za G20 kutekeleza majukumu yao kuhusu Afrika

    Jul 08, 2017 11:35

    Nigeria imezitaka nchi wanachama katika kundi maarufu kwa jina la G20 kutekeleza majukumu yao kuhusu bara la Afrika.

  • Watu 150 wauawa katika mapigano ya kikabila Nigeria

    Watu 150 wauawa katika mapigano ya kikabila Nigeria

    Jul 05, 2017 09:58

    Mapigano ya kikabila yaliyotokea katika jimbo la Cross River lililoko kusini mashariki mwa Nigeria yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 150.

  • Watu tisa wauawa katika shambulizi la kigaidi Maiduguri, Nigeia

    Watu tisa wauawa katika shambulizi la kigaidi Maiduguri, Nigeia

    Jun 26, 2017 11:44

    Watu waliokuwa wamejifunga mabomu wamejilipua na kuuwa watu wanne na kujeruhi wengine 13 katika milipuko iliyotokea kwa wakati mmoja katika mji wa Maiduguri kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • DW yalaani ukandamizaji wa polisi ya Nigeria kwa ripota wake alipokuwa akiakisi ukatili dhidi ya Waislamu wa Shia

    DW yalaani ukandamizaji wa polisi ya Nigeria kwa ripota wake alipokuwa akiakisi ukatili dhidi ya Waislamu wa Shia

    Jun 26, 2017 03:20

    Viongozi wa Shirika la Utangazaji la Ujerumani la Deutsche Welle wamekosoa miamala mibaya ya maafisa usalama wa Nigeria dhidi ya ripota wao wakati alipokuwa akiandaa ripoti ya ukandamizaji wa polisi hao dhidi ya maandamano ya Waislamu wa Kishia nchini humo.

  • Rais wa Nigeria ajaribu kutuliza malumbano ya kikabila

    Rais wa Nigeria ajaribu kutuliza malumbano ya kikabila

    Jun 23, 2017 23:16

    Kaimu Rais wa Nigeria, Profesa Yemi Osinbajo amekutana na viongozi wa maeneo kadhaa kujaribu kuzima malumbano ya kikabila yanayotokota katika nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS