Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Shirika la Msalaba Mwekundu latahadharisha kuhusu hali ya Nigeria

    Shirika la Msalaba Mwekundu latahadharisha kuhusu hali ya Nigeria

    Jun 22, 2017 03:33

    Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, hali ya kibinadamu nchini Nigeria inatia wasiwasi licha ya juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya nchi hiyo.

  • Kwa akali watu 16 wauawa katika shambulio la kujiripua, kaskazini mwa Nigeria

    Kwa akali watu 16 wauawa katika shambulio la kujiripua, kaskazini mwa Nigeria

    Jun 19, 2017 10:53

    Habari kutoka Nigeria zinaarifu kwamba, kwa akali watu 16 wameuawa na wengine 11 kujeruhiwa, katika mashambulizi kadhaa ya kujiripua kwa mabomu katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Waislamu Nigeria waandamana wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Waislamu Nigeria waandamana wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Jun 15, 2017 10:59

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo wakitaka kuachiwa huu kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Niger yawaokoa wahajiri 92 waliotelekezwa kwenye jangwa la Sahara

    Niger yawaokoa wahajiri 92 waliotelekezwa kwenye jangwa la Sahara

    Jun 14, 2017 11:03

    Mamlaka za Niger zimewaokoa wahajiri 92 kutoka Afrika Magharibi waliokuwa wametelekezwa na wafanya magendo ya binadamu kwenye jangwa la Sahara wakijaribu kuvuka mpaka na kuingia nchi jirani ya Libya.

  • Kundi la Boko Haram latangaza kuhusika na shambulio la Maiduguri

    Kundi la Boko Haram latangaza kuhusika na shambulio la Maiduguri

    Jun 11, 2017 09:26

    Kundi la kigadi la Boko Haram limetangaza kuwa, wanachama wake ndio waliohusika na shambulio la kigaidi la hivi karibuni katika mji wa Maiduguri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Uchumi na Usalama; ajenda kuu za kikao cha viongozi wa nchi za Kiafrika na za kaskazini mwa Ulaya

    Uchumi na Usalama; ajenda kuu za kikao cha viongozi wa nchi za Kiafrika na za kaskazini mwa Ulaya

    Jun 10, 2017 06:26

    Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kiafrika na za kaskazini mwa bara Ulaya chini ya anwani "Kudhamini Ustawi Endelevu Kupitia Uwekezaji" kimefanyika Abuja mji mkuu wa Nigeria.

  • Washukiwa waliojiunga na Boko Haram wachunguzwa

    Washukiwa waliojiunga na Boko Haram wachunguzwa

    Jun 09, 2017 03:40

    Jeshi la Nigeria linawachunguza watu wanaoshukiwa kujiunga na kundi la kigaidi la Boko Haram nchini humo.

  • Watu 14 wauawa katika mashambulio ya Boko Haram nchini Nigeria

    Watu 14 wauawa katika mashambulio ya Boko Haram nchini Nigeria

    Jun 08, 2017 10:43

    Jeshi la polisi la Nigeria limetangaza kuwa, magaidi wa genge la Boko Haram wamefanya mashambulizi katika mji wa Maiduguri, makao makuu ya jimbo la Borno la kaskazini mwa nchi hiyo na kuua watu 14.

  • Boko Haram washambulia Waislamu wakila futari Nigeria

    Boko Haram washambulia Waislamu wakila futari Nigeria

    Jun 08, 2017 03:26

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameshambulia vijiji vilivyoko kando kando ya mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria wakati ambapo Waislamu wa mji huo walikuwa majumbani kwao wakila futari.

  • Rais wa Nigeria kureja nyumbani baada ya matibabu London

    Rais wa Nigeria kureja nyumbani baada ya matibabu London

    Jun 06, 2017 23:17

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria anatarajiwa kurejea nyumbani baada ya matibabu ya wiki kadhaa London, Uingereza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS