Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Magaidi washambulia kambi za jeshi Nigeria, Cameroon na kuua askari 16

    Magaidi washambulia kambi za jeshi Nigeria, Cameroon na kuua askari 16

    Mar 27, 2025 07:38

    Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa magenge ya kigaidi wamefanya mashambulizi yaliyoratibiwa dhidi ya kambi ya jeshi la Cameroon karibu na Ziwa Chad na dhidi ya kituo cha kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria, na kuua takriban wanajeshi 16.

  • Nigeria yathibitisha vifo vipya vitano kutokana na homa ya Lassa

    Nigeria yathibitisha vifo vipya vitano kutokana na homa ya Lassa

    Mar 12, 2025 22:51

    Nigeria imethibitisha vifo vipya vitano kutokana na homa ya Lassa, ugonjwa ambao umesambaa katika eneo la magharibi mwa Afrika.

  • Mripuko wa homa ya uti wa mgongo waua makumi Nigeria

    Mripuko wa homa ya uti wa mgongo waua makumi Nigeria

    Mar 12, 2025 03:35

    Watu wasiopungua 26 wameaga dunia kutokana na mripuko wa ugonjwa wa uti wa mgongo (Meningitis) katika Jimbo la Kebbi kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Sheikh Zakzkay: Muqawama umezaliwa upya nchini Lebanon

    Sheikh Zakzkay: Muqawama umezaliwa upya nchini Lebanon

    Feb 23, 2025 23:36

    Kiongozi wa Waislamu wa madhebeu ya Shia nchini Nigeria amesisitiza kuwa, kushiriki mamilioni ya watu katika mazishi ya Mashahidi wa Muqawama ni sawa na "kuzaliwa upya Muqawama wa Lebanon".

  • Abuja yaijia juu Canada kwa kumyima 'viza' Mkuu wa Jeshi la Nigeria

    Abuja yaijia juu Canada kwa kumyima 'viza' Mkuu wa Jeshi la Nigeria

    Feb 14, 2025 08:40

    Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Nigeria, Jenerali Christopher Musa, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya ubalozi wa Canada katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, kumnyima yeye na maafisa wengine wakuu wa kijeshi viza ya kwenda Canada kuhudhuria hafla ya michezo ya maveterani wa vita huko Vancouver.

  • Polisi ya Nigeria yakadhibisha kutoweka maelfu ya bunduki

    Polisi ya Nigeria yakadhibisha kutoweka maelfu ya bunduki

    Feb 13, 2025 07:50

    Jeshi la Polisi la Nigeria limekanusha ripoti kwamba maelfu ya silaha zimetoweka kwenye maghala yake ya silaha na kuitaja rupoti hiyo kuwa ni ya kupotosha na isiyo sahihi.

  • Wafanyabiashara Nigeria wataka kususiwa bidhaa za Israel

    Wafanyabiashara Nigeria wataka kususiwa bidhaa za Israel

    Feb 10, 2025 07:56

    Kundi moja la wajasiriamali wadogo na wa kati nchini Nigeria, limeandaa mkutano wa siku mbili katika Jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa nchi, kujadili mikakati ya kibiashara na umuhimu wa kususia bidhaa za Israel, ili kuonyesha uungaji mkono kwa kadhia ya Palestina.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 70 wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 70 wa Boko Haram

    Jan 27, 2025 08:55

    Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imesema wanamgambo wasiopungua 70 wa Boko Haram waliuawa katika msururu wa operesheni za karibuni za kijeshi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Makumi ya wanajeshi wa Nigeria wauawa katika shambulio la kigaidi

    Makumi ya wanajeshi wa Nigeria wauawa katika shambulio la kigaidi

    Jan 26, 2025 22:55

    Watu wanaoshukiwa kuwa magaidi wamewaua wanajeshi 20 wa Nigeria, akiwemo kkamanda wa ngazi ya juu, baada ya kushambulia kambi moja ya jeshi katika jimbo la Borno la kaskazini mashariki.

  • Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18

    Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18

    Jan 26, 2025 10:33

    Mamlaka za Nigeria zimeanzisha uchunguzi baada ya watu 18 kuthibitishwa kufariki dunia kwenye mripuko wa lori la mafuta ya petroli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS