Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Apr 24, 2025 00:01

    Wakati vita vya Ghaza vinaendelea na utawala wa Kizayuni umeshadidisha mauaji ya wanawake na watoto wa Palestina, mtazamo na mwelekeo wa wananchi wa Marekani kuhusuu Israel, Palestina na Hamas nao unaendelea kubadilika. Haya yamebainika katika chunguzi mpya za maoni zilizofanywa nchini Marekani.

  • Papa wa Misri: Wapalestina wa Gaza wanakabiliwa na dhulma za kuogofya

    Papa wa Misri: Wapalestina wa Gaza wanakabiliwa na dhulma za kuogofya

    Apr 20, 2025 22:56

    Papa Tawadros II, Kiongozi wa Kanisa la Kiorthodoksi la Coptic la Misri, amelaani vikali mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kama "moja ya aina mbaya zaidi za dhuluma" dhidi ya Wapalestina.

  • Kushadidi mashinikizo na ukandamizaji wa Magharibi dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina

    Kushadidi mashinikizo na ukandamizaji wa Magharibi dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina

    Apr 18, 2025 04:05

    Sambamba na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuendeleza vita vya kinyama na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ghaza na kuzuia kikamilifu misaada ya kibinadamu isiingizwe katika eneo hilo uliloliwekea mzingiro, nchi za Magharibi zinazouunga mkono utawala huo ghasibu hususan Ujerumani na Marekani nazo pia zimeshadidisha mashinikizo na ukandamizaji dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina.

  • Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Apr 15, 2025 03:53

    Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.

  • Mhadhiri Ghana: Kimya cha dunia kwa jinai za Israel Gaza kinaaibisha

    Mhadhiri Ghana: Kimya cha dunia kwa jinai za Israel Gaza kinaaibisha

    Apr 14, 2025 09:59

    Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Ghana,Mustapha Abdullah Kuyateh amelaani vikali hujuma za kikatili za Israel dhidi ya Gaza, akisisitiza kuwa huo ni mwendelezo wa mauaji ya kimbari na mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina.

  • Polisi ya Uholanzi yakandamiza maandamano ya kuitetea Palestina

    Polisi ya Uholanzi yakandamiza maandamano ya kuitetea Palestina

    Apr 12, 2025 08:09

    Makabiliano yaliripuka mjini Amsterdam kati ya polisi ya Uholanzi na waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina, wakati waandamanaji hao wakipita katika kitovu cha fedha cha mji huo, wakizituhumu kampuni kubwa kwa kujinufaisha kutokana na uhusiano wao na Israel wakati huu wa vita vinavyoendelea Gaza.

  • Mgawanyiko katika jeshi la Israel huku mashambulio dhidi ya Gaza yakiendelea

    Mgawanyiko katika jeshi la Israel huku mashambulio dhidi ya Gaza yakiendelea

    Apr 10, 2025 22:33

    Kundi la askari wa akiba wa jeshi la anga la Israel limefukuzwa kazi baada ya kutia saini waraka wa kutaka kusitishwa vita dhidi ya Gaza na kurejeshwa kwa mateka wa utawala huo haramu.

  • Wapalestina wengine 40 wauawa shahidi Gaza na mabomu ya Wazayuni

    Wapalestina wengine 40 wauawa shahidi Gaza na mabomu ya Wazayuni

    Apr 09, 2025 23:24

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kumwaga damu za Wapalestina; ambapo umewauwa Wapalestina karibu 40 wakiwemo watoto katika mashambulizi ya anga ya karibuni katika maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.

  • Maelfu ya Wamisri waandamana Sinai kuiunga mkono Palestina

    Maelfu ya Wamisri waandamana Sinai kuiunga mkono Palestina

    Apr 09, 2025 10:12

    Maelfu ya wananchi wa Misri kutoka majimbo mbalimbali wamekusanyika karibu na Uwanja wa Ndege wa El-Arish katika Mkoa wa Sinai Kaskazini wakitangaza kuunga mkono kadhia ya Palestina na kupinga jaribio lolote la kuwafurusha Wapalestina kutoka katika ardhi zao.

  • Israel 'yaumbuka' baada ya vidio kufichua ukweli halisi kuhusu mauaji ya wahudumu 15 wa tiba

    Israel 'yaumbuka' baada ya vidio kufichua ukweli halisi kuhusu mauaji ya wahudumu 15 wa tiba

    Apr 06, 2025 03:15

    Vidio iliyopatikana kwenye simu ya mfanyakazi wa Kipalestina wa huduma za tiba aliyeuawa shahidi pamoja na wenzake 14 huko Ghaza mwezi uliopita, inasuta na kukinzana na madai yaliyotolewa na jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuhusu namna mauaji ya wahudumu hao yalivyotokea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS