-
Matarajio ya Wapalestina kwa Umoja wa Mataifa na ahadi za Antonio Guterres
Aug 30, 2017 22:18Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, siku ya Jumanne usiku alikutana na familia kadhaa za mateka wa Palestina katika mji wa Ramallah na kuziahidi kwamba Umoja wa Mataifa utachukua hatua za kuhitimisha machungu na matatizo yanayowakabili Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza
Aug 30, 2017 10:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mzingiro wa kibaguzi wa karibu muongo mmoja dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa
Aug 28, 2017 23:53Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.
-
Ibrahim al-Jaafari: Msimamo wa Iraq kuhusu kadhia ya Palestina haujabadilika
Aug 23, 2017 09:35Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iraq amesema kuwa, nchi yake ingali inaunga mkono kadhia ya Palestina na malengo matukufu ya taifa hilo madhulumu na kwamba, msimamo wa Baghdad kuhusiana na kadhia hiyo haujabadilika.
-
Indhari ya Wapalestina kuhusiana na kuendelea njama dhidi ya Masjidul-Aqswa
Aug 22, 2017 07:32Kushtadi njama za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa katika siku za hivi karibuni ambazo zimesadifiana na kumbukumbu ya kuchomwa moto msikiti huo na Wazayuni maghasibu kumepelekea kuibuka wasiwasi mkubwa miongoni mwa Wapalestina na fikra za waliowengi ulimwenguni.
-
Mfalme wa Jordan asisitiza ulazima wa kuungwa mkono harakati ya kuikomboa Baitul-Muqaddas
Aug 17, 2017 10:03Mfalme Abdullah II bin al-Hussein wa Jordan amesisitiza juu ya udharura wa kuongezwa uratibu na ushirikiano na Wapalestina kwa shabaha ya kusukuma mbele juhudi na harakati za kuukomboa mji wa Baitul-Muqaddas na maeneo mengine ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina
Aug 11, 2017 21:53Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kushughulikia suala la Palestina imethibitika wazi.
-
Abbas azidi kuwabinya Wapalestina, akata mitandao ya kijamii
Aug 11, 2017 03:10Katika hatua inayoonekana ni ya kuzidi kuwawekea mbinyo Wapalestina, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amepasisha dikrii ya kutaka kufungwa mara moja mitandao ya kijamii na tovuti za habari katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza
Aug 09, 2017 02:50Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia makazi ya Wapalestina wa Gaza usiku wa kuamkia leo na kujeruhi watu kadhaa.
-
Mahmoud al-Zahar: Hamas iko tayari kushirikiana na wanaotaka kukombolewa Palestina
Aug 07, 2017 02:38Mjumbe mwandamizi wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kushirikiana na watu wote wanaofanya juhudi za kutaka kukombolewa Palestina kutoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.