Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mchakato wa mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na vitisho vinavyowakabili

    Mchakato wa mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na vitisho vinavyowakabili

    Oct 07, 2017 23:09

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imetahadharisha kuhusu mipango ya kimataifa ya kutaka kutumiwa vibaya mapatano ya kitaifa ya Wapalestina lengo likiwa ni kufutilia mbali kadhia ya Palestina.

  • Hamas: Ukombozi wa Palestina unahijatia umoja wa kitaifa

    Hamas: Ukombozi wa Palestina unahijatia umoja wa kitaifa

    Sep 30, 2017 12:57

    Naibu Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, ukombozi wa Palestina na Quds tukufu na kukomeshwa uvamizi wa utawala haramu wa Israel kunahitaji umoja na mshikamano wa kitaifa.

  • Palestina yakubaliwa kuwa mwanachama wa Interpol

    Palestina yakubaliwa kuwa mwanachama wa Interpol

    Sep 27, 2017 10:38

    Palestina imekubaliwa kuwa mwanachama kamili wa Polisi ya Kimataifa (Interpol), katika hatua inayoonekana ni pigo la kidiplomasia kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 04:08

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 01:19

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • Hamas yaipongeza UN kwa kuiweka Israel katika orodha nyeusi

    Hamas yaipongeza UN kwa kuiweka Israel katika orodha nyeusi

    Sep 25, 2017 04:22

    Harakari ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza hatua ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuiweka Israel katika orodha nyesi ya nchi zinazokiuka haki za binadamu.

  • Israel yavunja zaidi ya misikiti na makanisa 50 Palestina

    Israel yavunja zaidi ya misikiti na makanisa 50 Palestina

    Sep 25, 2017 00:40

    Walowezi wa Kizayuni wamevunja misikiti na makanisa yasiyopungua 53 katika kipindi cha miaka minane (8) iliyopita katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Wapalestina wawasilisha ushahidi wa jinai za Israel dhidi yao ICC

    Wapalestina wawasilisha ushahidi wa jinai za Israel dhidi yao ICC

    Sep 20, 2017 22:02

    Mawakili na wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wa Palestina wamewasilisha ushahidi mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC inayothibitisha kuwa vyombo vya dola vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimehusika katika jinai dhidi yao.

  • Mfalme wa Bahrain ataka  nchi za Kiarabu ziache kususia Israel

    Mfalme wa Bahrain ataka nchi za Kiarabu ziache kususia Israel

    Sep 18, 2017 09:35

    Mfalme Hamad bin Isa Aal Khalifa wa Bahrain amezitaka nchi za Kiarabu kuacha kuusussia utawala haramu wa Israeli.

  • Umoja wa Mataifa: Wapalestina 19 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Umoja wa Mataifa: Wapalestina 19 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Sep 16, 2017 23:18

    Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu imetangaza kuwa, Wapalestina 19 wameuawa shahidi tangu ulipoanza mwaka huu wa 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS