Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Matarajio ya Wapalestina kwa Umoja wa Mataifa na ahadi za Antonio Guterres

    Matarajio ya Wapalestina kwa Umoja wa Mataifa na ahadi za Antonio Guterres

    Aug 30, 2017 22:18

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, siku ya Jumanne usiku alikutana na familia kadhaa za mateka wa Palestina katika mji wa Ramallah na kuziahidi kwamba Umoja wa Mataifa utachukua hatua za kuhitimisha machungu na matatizo yanayowakabili Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza

    UN yaitaka Israel iondoe mzingiro wa kibaguzi Ukanda wa Gaza

    Aug 30, 2017 10:55

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mzingiro wa kibaguzi wa karibu muongo mmoja dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Aug 28, 2017 23:53

    Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.

  • Ibrahim al-Jaafari: Msimamo wa Iraq kuhusu kadhia ya Palestina haujabadilika

    Ibrahim al-Jaafari: Msimamo wa Iraq kuhusu kadhia ya Palestina haujabadilika

    Aug 23, 2017 09:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iraq amesema kuwa, nchi yake ingali inaunga mkono kadhia ya Palestina na malengo matukufu ya taifa hilo madhulumu na kwamba, msimamo wa Baghdad kuhusiana na kadhia hiyo haujabadilika.

  • Indhari ya Wapalestina kuhusiana na kuendelea njama dhidi ya Masjidul-Aqswa

    Indhari ya Wapalestina kuhusiana na kuendelea njama dhidi ya Masjidul-Aqswa

    Aug 22, 2017 07:32

    Kushtadi njama za Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa katika siku za hivi karibuni ambazo zimesadifiana na kumbukumbu ya kuchomwa moto msikiti huo na Wazayuni maghasibu kumepelekea kuibuka wasiwasi mkubwa miongoni mwa Wapalestina na fikra za waliowengi ulimwenguni.

  • Mfalme wa Jordan asisitiza ulazima wa kuungwa mkono harakati ya kuikomboa Baitul-Muqaddas

    Mfalme wa Jordan asisitiza ulazima wa kuungwa mkono harakati ya kuikomboa Baitul-Muqaddas

    Aug 17, 2017 10:03

    Mfalme Abdullah II bin al-Hussein wa Jordan amesisitiza juu ya udharura wa kuongezwa uratibu na ushirikiano na Wapalestina kwa shabaha ya kusukuma mbele juhudi na harakati za kuukomboa mji wa Baitul-Muqaddas na maeneo mengine ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina

    Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina

    Aug 11, 2017 21:53

    Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kushughulikia suala la Palestina imethibitika wazi.

  • Abbas azidi kuwabinya Wapalestina, akata mitandao ya kijamii

    Abbas azidi kuwabinya Wapalestina, akata mitandao ya kijamii

    Aug 11, 2017 03:10

    Katika hatua inayoonekana ni ya kuzidi kuwawekea mbinyo Wapalestina, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amepasisha dikrii ya kutaka kufungwa mara moja mitandao ya kijamii na tovuti za habari katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Aug 09, 2017 02:50

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia makazi ya Wapalestina wa Gaza usiku wa kuamkia leo na kujeruhi watu kadhaa.

  • Mahmoud al-Zahar: Hamas iko tayari kushirikiana na wanaotaka kukombolewa Palestina

    Mahmoud al-Zahar: Hamas iko tayari kushirikiana na wanaotaka kukombolewa Palestina

    Aug 07, 2017 02:38

    Mjumbe mwandamizi wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kushirikiana na watu wote wanaofanya juhudi za kutaka kukombolewa Palestina kutoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS