-
Kuwa mwanachama Palestina wa Jumuiya ya Nchi za Caribbean
Mar 12, 2017 23:09Palestina imekuwa "Mwanachama Mtazamaji" wa Jumuiya ya Nchi za Carribean (ACS). Katika kikao cha Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa jumuiya ya nchi za eneo la Caribbean kilichofanyika siku ya Jumamosi katika mji mkuu wa Cuba, Havana, Palestina imetangazwa kuwa nchi mwanachama mtazamaji wa jumuiya hiyo.
-
Wapalestina waandamana kupinga marufuku ya adhana Quds tukufu
Mar 12, 2017 03:52Maelfu ya wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wamefanya maandamano kulaani sheria iliyopasishwa hivi karibuni na Bunge la Israel ya kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds.
-
Vipaza Sauti vya adhana katika nyumba Wapalestina kupinga amri ya Israel
Mar 11, 2017 23:31Idadi kubwa ya Wapalestina wameweka vipaza sauti vya adhana katika paa za nyumba zao kama njia ya kuonyesha upinzani wao kwa sheria ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel kupiga marufuku ya adhana katika mji wa Quds na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Hamas yalaani muswada wa sheria ya Israel wa kuzima adhana Quds
Mar 11, 2017 02:52Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa vikali muswada wa sheria uliopasishwa hivi karibuni na Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, unaopania kupiga marufuku kusomwa adhana katika misikiti ya Quds tukufu.
-
Wanajeshi wa Israel wamkamata mbunge mwanamke Mpalestina
Mar 10, 2017 04:02Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel wamewakamata Wapalestina kadhaa akiwemo mbunge mwanamke.
-
Mufti Mkuu wa Quds: Wapalestina hawatairuhusu Israel iingilie masuala yao ya kidini
Mar 09, 2017 13:00Mufti Mkuu wa Baitul Muqaddas Sheikh Muhammad Ahmad Hussein amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupasisha muswada wa sheria ya kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu.
-
Watu wa Canada wataka bidhaa za Israel zisusiwe
Mar 03, 2017 10:07Watu wa Canada wametaka bidhaa zinazotegenezwa Israel zisusiwe nchini humo kama njia ya kutetea haki za taifa la Palestina.
-
Afisa wa Israel akiri jeshi la utawala wa Kizayuni lilishindwa katika vita vya siku 50 Ukanda wa Gaza
Mar 01, 2017 00:57Kamanda wa zamani katika jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel eneo, amekiri wazi kwamba jeshi na serikali yote ya utawala huo, vilishindwa katika vita ya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Gaza, Palestina.
-
Hamas yapinga fikra ya kupelekwa askari wa kimataifa Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2017 12:38Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa harakati hiyo haitakubali harakati yoyote ya kutuma askari wa kimataifa katika eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2017 04:22Jeshi la utawala katili wa Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi watu kadhaa.