Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rohingya

  • Myanmar yapinga ripoti ya UN kuhusu jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Myanmar yapinga ripoti ya UN kuhusu jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    May 23, 2017 03:15

    Jeshi la Myanmar limekanusha ripoti ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa iliyosema kuwa viongozi wa serikali wanabeba dhima ya jinai zilizotendwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya.

  • UN yatoa azimio la kuwatetea Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    UN yatoa azimio la kuwatetea Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Mar 24, 2017 11:20

    Nchi wanachama wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa zipasisha azimio na kutaka kufunguliwa mshtaka, kufikishwa mahakamani na kuadhibiwa wale wote wanaohusika na mauaji na kuwatesa Waislamu wa kabila la Rohingya huko Myanmar.

  •  Jeshi na polisi ya Myanmar zatenda jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu

    Jeshi na polisi ya Myanmar zatenda jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu

    Feb 07, 2017 04:07

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu limeripoti kuwa jeshi na polisi ya Myanmar zinaratibu jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu nchini humo.

  • Iran: Nchi za Kiislamu zizuie Waislamu kudhulumiwa duniani

    Iran: Nchi za Kiislamu zizuie Waislamu kudhulumiwa duniani

    Jan 19, 2017 04:25

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitaka nchi za Kiislamu zisikubali wala kuvumilia kuona Waislamu wakikandamizwa na kudhulumiwa duniani.

  • OIC kujadili mauaji na ukaandamizaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    OIC kujadili mauaji na ukaandamizaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Jan 12, 2017 00:17

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inatazamiwa kufanya mkutano wa kujadili mauaji na ukandamizaji wanaofanyiwa Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar.

  • HRW: Serikali inaficha jinai na mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    HRW: Serikali inaficha jinai na mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jan 05, 2017 12:39

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ikiwemo Human Rights Watch yamesema serikali ya Myanmar inajaribu kuficha jinai na mauaji yanayofanywa na vikosi vya usalama vya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • Maelfu waandamana Pakistan kulaani mauaji ya Waislamu wa Rohingya

    Maelfu waandamana Pakistan kulaani mauaji ya Waislamu wa Rohingya

    Dec 10, 2016 10:54

    Maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana kulaani vitendo vya utumiaji mabavu na mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.

  • Iran yalaani ukatili dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Iran yalaani ukatili dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Dec 05, 2016 11:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani ubaguzi na ukatili unaofanywa dhidi ya makundi ya kidini nchini Myanmar.

  • Kofi Annan yuko Myanmar kuchunguza ukatili dhidi ya Waislamu

    Kofi Annan yuko Myanmar kuchunguza ukatili dhidi ya Waislamu

    Dec 03, 2016 00:53

    Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan yuko nchini Myanmar kuchunguza ukatili wa jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya.

  • Waislamu wa Myanmar waandamwa na mateso ya kila upande

    Waislamu wa Myanmar waandamwa na mateso ya kila upande

    Nov 20, 2016 12:05

    Waislamu wa kabila la Rohingya wa nchini Myanmar waliokuwa wanakimbilia nchini Bangladesh kwa ajili ya kuokoa maisha yao kutokana na mauaji wanayofanyiwa na askari wa serikali ya mabudha nchini mwao, sasa wanazuia na gadi ya nchi kavu Bangladesh wasiingie tena nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS