Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: Uzinduzi wa miradi ni mwiba wa kooni kwa waliokuwa wakila njama dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Uzinduzi wa miradi ni mwiba wa kooni kwa waliokuwa wakila njama dhidi ya Iran

    Aug 02, 2021 04:11

    Rais Hassan Rouhani amesema, kuzinduliwa kwa miradi ni mwiba wa kooni kwa waliokuwa wakipanga njama mbalimbali dhidi ya Iran.

  • Rouhani: Iran na Uturuki ni madola mawili makubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Rouhani: Iran na Uturuki ni madola mawili makubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 22, 2021 07:57

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki na mbali na kumpa mkono wa Idi, yeye, serikali na wananchi wa Uturuki amesema kuwa, nchi hizi mbili ni madola makubwa katika eneo hili na kwenye Ulimwengu wa Kiislamu na zina nafasi muhimu katika utatuzi wa matatizo ya eneo hili zima.

  • Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Rouhani: Marekani iwajibishwe kwa kutungua ndege ya abiria ya Iran

    Jul 03, 2021 12:41

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kushambulia ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kuwaunga mkono waliotenda jinai hiyo.

  • Rais Rouhani: Biden anawasaliti wananchi wa Marekani

    Rais Rouhani: Biden anawasaliti wananchi wa Marekani

    Jun 30, 2021 11:06

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo Rais Joe Biden wa Marekani atafeli kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama alivyoahidi, basi atakuwa amewasailiti wananchi wa Marekani ambao walimpigia kura wakitaka kuona mabadiliko ya sera ghalati dhidi ya Iran za mtangulizi wake, Donald Trump.

  • Rais Rouhani: Kiongozi Muadhamu amewapa motisha wanasayansi kwa kupigwa chanjo ya Iran

    Rais Rouhani: Kiongozi Muadhamu amewapa motisha wanasayansi kwa kupigwa chanjo ya Iran

    Jun 26, 2021 12:48

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema hatua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya kupigwa chanjo ya Corona ya COVIran Barekat imewapa motisha na kuwashajiisha wanasayansi wa Jamhuri ya Kiislamu walioizalisha chanjo yenyewe.

  • Rais Rouhani: Vikwazo na vita vya kiuchumi vitambuliwe kuwa ni jinai za kimya kimya

    Rais Rouhani: Vikwazo na vita vya kiuchumi vitambuliwe kuwa ni jinai za kimya kimya

    Jun 15, 2021 10:58

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo na vita vya kiuchumi lazima vipewe jina la jinai ya kimya kimya dhidi ya binadamu duniani.

  • Rais Rouhani: Uwezo wa Iran wa kuzalisha bidhaa za petrokemikali umeongezeka maradufu

    Rais Rouhani: Uwezo wa Iran wa kuzalisha bidhaa za petrokemikali umeongezeka maradufu

    Jun 09, 2021 12:15

    Rais Hassan Rouhani amesema kuwa uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuzalisha bidhaa za petrokemikali umeongezeka maradufu hivi sasa.

  • Rais Rouhani: Masanduku ya kura na uchaguzi ni matunda muhimu ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Rais Rouhani: Masanduku ya kura na uchaguzi ni matunda muhimu ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Jun 02, 2021 12:20

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, masanduku ya kupigia kura ni miongoni mwa matokeo na matunda muhimu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran yaliyouondoa madarakani utawala wa kifalme na kidhalimu.

  • Rais Rouhani: Tunatumai uhusiano wetu na Ethiopia utaimarika zaidi

    Rais Rouhani: Tunatumai uhusiano wetu na Ethiopia utaimarika zaidi

    May 28, 2021 12:47

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema anatumai kuwa uhusiano wa pande mbili wa nchi hii na Ethiopia utaboreka na kuimarika zaidi.

  • Rouhani: Uchaguzi wa rais Iran unaangaziwa kimataifa

    Rouhani: Uchaguzi wa rais Iran unaangaziwa kimataifa

    May 20, 2021 02:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema macho ya dunia yameelekezwa kwenye uchaguzi ujao wa rais nchini Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS