-
Rais Hassan Rouhani: Iran itatoa jibu kali kwa Marekani
Jul 26, 2017 09:23Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa hatua ya Marekani ya kupasishwa vikwazo vipya dhidi ya taifa hili.
-
Rouhani: Marekani haiwezi kusimamia haki za binadamu na uthabiti duniani
Jul 19, 2017 10:00Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani kwa kupuuza na kukanyaga makubaliano ya kimataifa iliyoyatia saini yakiwemo makubaliano kati yake na Paris, Cuba, Amerika ya kaskazini na Asia ya Mashariki haiwezi kusimamia haki za binadamu, sheria,amani na usalama duniani.
-
Rais Rouhani aomboleza kifo cha mwanahisabati bingwa wa Iran na dunia
Jul 15, 2017 08:36Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Maryam Mirzakhani, mwanahisabati bingwa na mwenye kipawa che kipekee wa Iran na dunia.
-
Rouhani: Misimamo mikali na ugaidi ni hatari kwa dunia
Jul 12, 2017 10:14Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema misimamo mikali na ugaidi ni hatari kubwa kwa eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima.
-
Rohani: Taifa la Iran litayashinda madola ya kibeberu
Jul 11, 2017 11:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran limeonesha kuopitia uwezo wake, umoja na udiplomsia wake kuwa litashinda njama za madola makubwa ya kibeberu duniani.
-
Rais Rouhani: Matatizo ya mazingira yatatuliwe kimataifa
Jul 03, 2017 03:41Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ulindaji mazingira ni dharura kwa ajili ya afya, ustawi na kuzuia kuhajiri watu kutoka maeneo yao.
-
Rais Rouhani aipongeza Iraq kwa kuwatimua magaidi wa ISIS kutoka Mosul
Jun 30, 2017 09:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza Iraq kufuatia mafanikio ya kukombolewa mji wa Mosul ambao ulikuwa unakaliwa kwa mabavu na kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Rais Rouhani: Iran imeazimia kupanua zaidi mahusiano na Qatar
Jun 26, 2017 03:25Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar, Tamim bin Hamad Aal Thani ambapo sambamba na kumuhakikishia kuwa, serikali na taifa la Iran liko pamoja na serikali na taifa la Qatar, amesema kuwa, siasa za Tehran zimelenga kuimarisha mahusiano zaidi na Doha.
-
Ujumbe wa Idul Fitr wa Rais Rouhani wa Iran kwa marais wa nchi za Kiislamu
Jun 25, 2017 09:59Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu salamu za pongezi, kheri na fanaka kwa munasaba wa siku kuu ya Idul Fitr.
-
Rais wa Iran asisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika maendeleo ya jamii
Jun 25, 2017 03:48Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika ustawi na maendeleo ya jamii sambamba na kusukuma mbele gurudumu la malengo ya Mapinduzi ya Kiislamu.