Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: Azimio la Umoja wa Mataifa linaweka wazi uharamu wa vitendo vya Israel

    Russia: Azimio la Umoja wa Mataifa linaweka wazi uharamu wa vitendo vya Israel

    Sep 20, 2024 09:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa, azimio jipya la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ni hatua muhimu ambayo inaiwezesha jamii ya kimataifa kutambua uharamu wa hatua za Israel.

  • Askari wa Israel waziporomosha kwa mateke maiti za Wapalestina kutokea kwenye paa la jengo

    Askari wa Israel waziporomosha kwa mateke maiti za Wapalestina kutokea kwenye paa la jengo

    Sep 20, 2024 04:10

    Askari katili wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamedhihirisha tena unyama wao baada ya kunaswa kupitia mkanda wa video wakiziporomosha kwa mateke maiti za Wapalestina waliowaua katika shambulio walilofanya katika eneo la Qabatiya, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.

  • Iran: Hatuna nafasi yoyote katika vita vya Russia na Ukraine

    Iran: Hatuna nafasi yoyote katika vita vya Russia na Ukraine

    Sep 08, 2024 08:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mchango wowote katika vita vinavyoendelea kati ya Russia na Ukraine, na daima imekuwa ikikariri wito wake wa mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mzozo huo.

  • Iran yakanusha madai ya Magharibi: Hatujaipatia Russia makombora yoyote ya balestiki

    Iran yakanusha madai ya Magharibi: Hatujaipatia Russia makombora yoyote ya balestiki

    Sep 07, 2024 08:23

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha madai kwamba inaipatia Russia makombora ya balestiki na kusisitiza kuwa madai hayo yanayotolewa na Marekani na washirika wake wa Magharibi ni ya upotoshaji na hayana msingi wowote.

  • Rais wa Iran kushiriki mkutano wa BRICS nchini Russia

    Rais wa Iran kushiriki mkutano wa BRICS nchini Russia

    Aug 31, 2024 09:35

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kushiriki Mkutano wa BRICS wa 2024 nchini Russia karibuni hivi.

  • Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine

    Iran yakanusha madai ya kuwapa mafunzo askari wa Russia huko Ukraine

    Aug 31, 2024 08:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuzilia mbali madai kwamba mwanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu amekuwa akitoa mafunzo kwa wanajeshi wa Russia katika ardhi ya Ukraine.

  • Russia: Ukraine imeingia Kursk kwa ushirikiano wa mashirika ya ujasusi ya Magharibi

    Russia: Ukraine imeingia Kursk kwa ushirikiano wa mashirika ya ujasusi ya Magharibi

    Aug 23, 2024 22:42

    Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (FIS) imetangaza kwamba kuingia Ukraine katika eneo la nchi hiyo katika jimbo la Kursk kulifanywa kwa ushirikiano wa mashirika ya ujasusi ya nchi za Magharibi.

  • Putin aamua kusimamisha kikamilifu mazungumzo na Ukraine baada ya Kyiv kuivamia Russia

    Putin aamua kusimamisha kikamilifu mazungumzo na Ukraine baada ya Kyiv kuivamia Russia

    Aug 13, 2024 07:14

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameamua kusimamisha kikamilu mazungumzo na Ukraine baada ya nchi hiyo kushambulia taasisi za nyuklia za Russia.

  • Russia yatungua makumi ya droni za Ukraine katika anga yake

    Russia yatungua makumi ya droni za Ukraine katika anga yake

    Aug 11, 2024 07:43

    Russia imetungua makumi ya droni za Ukraine zilizokuwa zikiruka katika anga yake usiku wa kuamkia leo.

  • Iran na Russia katika mkondo wa kuimarisha ushirikiano

    Iran na Russia katika mkondo wa kuimarisha ushirikiano

    Aug 06, 2024 10:42

    Jumatatu ya jana tarehe 5 Agosti, Katibu wa Baraza la Usalama la Taifa la Shirikisho la Russia  aliwasili mjini Tehran kwa lengo la kuimarisha maingiliano na kuchunguza masuala ya kieneo, kimataifa na uhusiano wa pande mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS