Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Shambulizi la bomu la Daesh laua askari 17 nchini Iraq

    Shambulizi la bomu la Daesh laua askari 17 nchini Iraq

    May 13, 2016 03:19

    Kwa akali askari 17 wa jeshi la Iraq wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mkoa wa Anbar, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    May 06, 2016 09:33

    Watu watano wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini la kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Misrata, magharibi mwa Libya.

  • Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    May 03, 2016 12:00

    Makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni yameshambulia hospitali na maeneo kadhaa ambayo yako chini ya udhibiti wa serikali katika mji wa Aleppo, kaskazini mwa Syria na kusababisha mauaji ya watu wasiopungua 19.

  • Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    May 01, 2016 23:33

    Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.

  • Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq

    Makumi waua katika mashambulizi ya bomu Iraq

    May 01, 2016 09:59

    Kwa akali watu 38 wameuawa na wengine 86 kujeruhiwa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa kwenye magari katika mji wa Samawa, kusini mwa Iraq.

  • Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    May 01, 2016 09:39

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeua askari 15 wa jeshi la Somalia sanjari na kuchukua udhibiti wa mji wa Runirgood, yapata kilomita 180 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Watu 12 wauawa katika  hujuma za kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Watu 12 wauawa katika hujuma za kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Apr 24, 2016 00:02

    Kwa akali watu 12 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi mawili ya bomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Apr 19, 2016 03:26

    Makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mripuko wa bomu ulioutikisa mji wa Kabul karibu na ubalozi wa Marekani nchini Afghanistan mapema leo.

  • Ghana yazidisha ulinzi, magaidi watishia kuishambulia

    Ghana yazidisha ulinzi, magaidi watishia kuishambulia

    Apr 16, 2016 23:55

    Rais John Dramani Mahama wa Ghana ameamuru kuchukuliwa hatua kali za kiusalama baada ya kuongezeka wimbi la mashambulizi ya kigaidi katika nchi za magharibi mwa Afrika.

  • Larijani: Ukosefu wa usalama katika Ulimwengu wa Kiislamu ni kwa maslahi ya Israel

    Larijani: Ukosefu wa usalama katika Ulimwengu wa Kiislamu ni kwa maslahi ya Israel

    Mar 29, 2016 23:39

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema ukosefu wa usalama na wimbi la mashambulio ya kigaidi katika Ulimwengu wa Kiislamu vinafanywa na wale wanaotumikia maslahi ya utawala wa kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS