Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Umoja wa Afrika

  • AU, UN zalaani mashambulizi ya kigaidi yaliyoua 170 Nigeria

    AU, UN zalaani mashambulizi ya kigaidi yaliyoua 170 Nigeria

    Feb 06, 2026 06:22

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na nchi mbali mbali duniani sambamba na kutoa salamu za rambirambi, zimelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyoua watu wasiopungua 170 magharibi mwa Nigeria.

  • AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi

    AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi

    Oct 16, 2025 06:24

    Umoja wa Afrika umetengaza kuisimamishia unachama Madagascar "hadi utaratibu wa kikatiba utakaporejeshwa" baada ya mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.

  • Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

    Odinga: Sina kinyongo, nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

    Feb 16, 2025 02:53

    Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), kurithi mikoba ya Moussa Faki Mahamat.

  • AU yailaani Israel kwa kupanua mashambulizi yake hadi Rafah

    AU yailaani Israel kwa kupanua mashambulizi yake hadi Rafah

    May 09, 2024 02:31

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani vikali mashambulizi ya utawala haramu wa Israel katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Mashirika yaitaka AU isiipe Israel uanachama kwenye umoja huo

    Mashirika yaitaka AU isiipe Israel uanachama kwenye umoja huo

    Feb 17, 2024 12:25

    Kundi moja la asasi za kiraia limeutaka Umoja wa Afrika utupilie mbali ombi la utawala wa Kizayuni wa Israel la kuwa mwanachama mtazamaji wa AU, na kufufua mjadala uliodumu kwa miaka miwili kuhusu kadhia hiyo.

  • Odinga asema yuko tayari kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU

    Odinga asema yuko tayari kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU

    Feb 16, 2024 02:46

    Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga ametangaza rasmi azma yake ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU).

  • Umoja wa Afrika wapongeza amri ya ICJ ya kutaka kuzuiwa mauaji ya kimbari Gaza

    Umoja wa Afrika wapongeza amri ya ICJ ya kutaka kuzuiwa mauaji ya kimbari Gaza

    Jan 28, 2024 13:34

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amekaribisha na kupongeza uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kuitaka Israel ichukue hatua zote zinazohitajika kuzuia vitendo vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Mkuu wa AU atoa mwito wa kusitishwa vita Ukanda wa Gaza

    Mkuu wa AU atoa mwito wa kusitishwa vita Ukanda wa Gaza

    Jan 17, 2024 07:41

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) kwa mara nyingine tena ametoa mwito wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza kwa misingi ya ubinadamu.

  • AU yataka pande hasimu Sudan zisitishe mapigano

    AU yataka pande hasimu Sudan zisitishe mapigano

    Dec 20, 2023 03:04

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) na Jeshi la Sudan kusitisha uhasama na mapigano mara moja, na kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa shabaha ya kurejesha utulivu, uthabiti na amani endelevu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • AU: Juhudi za pamoja zinahitajika kudumisha amani Tigray

    AU: Juhudi za pamoja zinahitajika kudumisha amani Tigray

    Nov 03, 2023 12:27

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesisitizia haja ya kuwepo jitihada za pamoja kwa ajili ya kudumisha amani katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia na eneo zima la Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS