Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • 25 wauawa, kujeruhiwa Somalia wakitazama fainali ya EURO 2024

    25 wauawa, kujeruhiwa Somalia wakitazama fainali ya EURO 2024

    Jul 15, 2024 10:53

    Kwa akali watu watano wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika shambulio la bomu linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Mogadishi, mkuu wa Somalia.

  • Somalia yamtimua balozi wa Ethiopia kutokana na mgogoro wa mkataba wa bandari ya Somaliland

    Somalia yamtimua balozi wa Ethiopia kutokana na mgogoro wa mkataba wa bandari ya Somaliland

    Apr 05, 2024 02:20

    Somalia imetangaza kumfukuza balozi wa Ethiopia nchini humo huku kukiwa na mvutano unaoongezeka kuhusu mzozo wa makubaliano ya bandari kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland.

  • 'Washauri wa kijeshi' wa Imarati, Bahrain wauawa na al-Shabaab Somalia

    'Washauri wa kijeshi' wa Imarati, Bahrain wauawa na al-Shabaab Somalia

    Feb 12, 2024 04:38

    Kwa akali wakufunzi watano wa kijeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain wameuawa katika shambulizi linaloaminika kufanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Milipuko iliyotokea sokoni Mogadishu yauwa watu 10 na kujeruhi wengine 20

    Milipuko iliyotokea sokoni Mogadishu yauwa watu 10 na kujeruhi wengine 20

    Feb 07, 2024 06:04

    Takriban watu 10 waliuawa jana baada ya milipuko kadhaa kutokea katika soko lililokuwa na msongamano mkubwa wa watu huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Al-Shabaab yashambulia kambi ya jeshi Somalia, makumi ya askari 'wauawa'

    Al-Shabaab yashambulia kambi ya jeshi Somalia, makumi ya askari 'wauawa'

    Jan 25, 2024 03:27

    Wanajeshi kadhaa wa Somalia wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la kushtukiza la kundi la wanamgambo la al-Shabaab kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia yaionya Ethiopia: Msikiuke mamlaka ya ardhi yetu

    Somalia yaionya Ethiopia: Msikiuke mamlaka ya ardhi yetu

    Jan 15, 2024 08:04

    Waziri Mkuu wa Somalia ametaka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya nchi hiyo, wiki mbili baada ya kusainiwa mapatano baina ya Ethiopia na Somaliland yatakayoiwezesha Ethiopia kutumia Bandari ya Berbera ya Somalia iliyoko katika eneo hilo la Somaliland.

  • Askari 2 wa baharini wa US 'watoweka' pwani ya Somalia

    Askari 2 wa baharini wa US 'watoweka' pwani ya Somalia

    Jan 13, 2024 11:51

    Mabaharia wawili wa Jeshi la Majini la Marekani wameripotiwa kutoweka wakiwa katika operesheni ya kijeshi Pwani ya Somalia; wakati huu ambapo taharuki imeongezeka baina ya vikosi vya Yemen na Marekani katika Bahari Nyekundu.

  • OIC yataka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Somalia

    OIC yataka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Somalia

    Jan 05, 2024 02:32

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa mwito wa kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Somalia, kufuatia kusainiwa mapatano baina ya Ethiopia na Somaliland yatakayoiwezesha Ethiopia kutumia Bandari ya Berbera ya Somalia iliyoko katika eneo hilo la Somaliland.

  • Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Dec 27, 2023 06:52

    Wanachama wasiopungua 80 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya Jeshi la Taifa la Somalia katika mkoa wa Mudug, kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Makumi ya magaidi wa al Shabaab waangamizwa Somalia

    Makumi ya magaidi wa al Shabaab waangamizwa Somalia

    Dec 25, 2023 02:42

    Wizara ya Ulinzi ya Somalia imetangaza kuwa makumi ya magaidi wa kundi la wanamgambo wa al Shabaab wameangamizwa kusini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS