-
Somalia kuelekea kwenye siasa za vyama ili kuondoa ushindani wa kikoo
Aug 11, 2016 00:02Kongamano la viongozi wa kanda na wa kitaifa wa Somalia limetangaza kuwa wabunge watakaochaguliwa katika bunge jipya litakaloundwa mwaka huu watalazimika kujiunga na chama cha siasa ndani ya kipindi cha miaka miwili au kujiuzulu, ikiwa ni katika juhudi za kuliondoa taifa hilo la Pembe ya Afrika kwenye siasa za kikoo.
-
Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab
Aug 08, 2016 23:15Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kwa kushirikiana na askari wa serikali ya nchi hiyo, wamebadili stratijia kwa ajili ya kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab.
-
Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab
Aug 08, 2016 23:14Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kwa kushirikiana na askari wa serikali ya nchi hiyo, wamebadili stratijia kwa ajili ya kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab.
-
Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais
Aug 08, 2016 10:09Kamisheni ya Uchaguzi ya Somalia imetangaza kuwa, uchaguzi wa Rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Oktoba mwaka huu.
-
Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab
Aug 04, 2016 23:45Askari usalama wa Somalia wamefanya oparesheni dhidi ya wanamgambo wa kundi la al Shabab na kuuwa wanamgambo kadhaa.
-
AMISOM yapata kamanda mpya nchini Somalia
Aug 02, 2016 00:12Osman Nour Soubagleh ameteuliwa kuwa kama mpya wa askari wa Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.
-
10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu
Jul 31, 2016 11:48Kwa akali watu 10 wameuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa garini katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi mjini Mogadishu nchini Somalia.
-
Vikosi vya Somalia na vya Amisom vyaukomboa mji muhimu kutoka kwa al-Shabab
Jul 31, 2016 00:18Mji muhimu wa kiistratejia nchini Somalia uliokuwa chini ya udhibiti wa wanamgambo wa al-Shabab umekombolewa na vikosi vya serikali vikishirikiana na vile vya Umoja wa Afrika AMISOM.
-
UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari
Jul 29, 2016 03:35Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, maelfu ya wakimbizi wa Somalia huko nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari.
-
13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia
Jul 26, 2016 12:24Mashambulizi pacha ya mabomu yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 13 karibu na kambi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM na nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Mogadishu.