Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Aug 04, 2016 23:45

    Askari usalama wa Somalia wamefanya oparesheni dhidi ya wanamgambo wa kundi la al Shabab na kuuwa wanamgambo kadhaa.

  • AMISOM yapata kamanda mpya nchini Somalia

    AMISOM yapata kamanda mpya nchini Somalia

    Aug 02, 2016 00:12

    Osman Nour Soubagleh ameteuliwa kuwa kama mpya wa askari wa Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.

  • 10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    Jul 31, 2016 11:48

    Kwa akali watu 10 wameuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa garini katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi mjini Mogadishu nchini Somalia.

  • Vikosi vya Somalia na vya Amisom vyaukomboa mji muhimu kutoka kwa al-Shabab

    Vikosi vya Somalia na vya Amisom vyaukomboa mji muhimu kutoka kwa al-Shabab

    Jul 31, 2016 00:18

    Mji muhimu wa kiistratejia nchini Somalia uliokuwa chini ya udhibiti wa wanamgambo wa al-Shabab umekombolewa na vikosi vya serikali vikishirikiana na vile vya Umoja wa Afrika AMISOM.

  • UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari

    UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari

    Jul 29, 2016 03:35

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, maelfu ya wakimbizi wa Somalia huko nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari.

  • 13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    Jul 26, 2016 12:24

    Mashambulizi pacha ya mabomu yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 13 karibu na kambi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM na nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Mogadishu.

  • Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM

    Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM

    Jul 25, 2016 09:43

    Msemaji wa jeshi la Burundi amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini Somalia wataendelea kuhudumu chini ya mwavuli wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika (AMISOM).

  • AU kuondoa majeshi yake Somalia mwaka 2018

    AU kuondoa majeshi yake Somalia mwaka 2018

    Jul 19, 2016 03:10

    Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuwa, mchakato wa kuondoa kikosi cha majeshi yake nchini Somalia (AMISOM) utaanza mwaka 2018.

  • Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Jul 11, 2016 03:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeshambulia kwa bomu kambi moja ya jeshi kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua wanajeshi 10 wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Polisi ya Somalia yaimarisha doria nchini humo

    Polisi ya Somalia yaimarisha doria nchini humo

    Jul 09, 2016 08:55

    Duru za usalama nchini Somalia zimeeleza kuwa, jeshi la polisi la nchi hiyo limeimarisha doria katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS