Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Somalia kuelekea kwenye siasa za vyama ili kuondoa ushindani wa kikoo

    Somalia kuelekea kwenye siasa za vyama ili kuondoa ushindani wa kikoo

    Aug 11, 2016 00:02

    Kongamano la viongozi wa kanda na wa kitaifa wa Somalia limetangaza kuwa wabunge watakaochaguliwa katika bunge jipya litakaloundwa mwaka huu watalazimika kujiunga na chama cha siasa ndani ya kipindi cha miaka miwili au kujiuzulu, ikiwa ni katika juhudi za kuliondoa taifa hilo la Pembe ya Afrika kwenye siasa za kikoo.

  • Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Aug 08, 2016 23:15

    Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kwa kushirikiana na askari wa serikali ya nchi hiyo, wamebadili stratijia kwa ajili ya kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab.

  • Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Stratijia mpya ya jeshi la Somalia na Umoja wa Afrika katika kukabiliana na ash-Shabab

    Aug 08, 2016 23:14

    Askari wa kusimamia amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) kwa kushirikiana na askari wa serikali ya nchi hiyo, wamebadili stratijia kwa ajili ya kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab.

  • Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Kamisheni ya Uchaguzi Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa Rais

    Aug 08, 2016 10:09

    Kamisheni ya Uchaguzi ya Somalia imetangaza kuwa, uchaguzi wa Rais nchini humo utafanyika tarehe 30 Oktoba mwaka huu.

  • Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Oparesheni ya vikosi vya Somalia dhidi ya al Shabab

    Aug 04, 2016 23:45

    Askari usalama wa Somalia wamefanya oparesheni dhidi ya wanamgambo wa kundi la al Shabab na kuuwa wanamgambo kadhaa.

  • AMISOM yapata kamanda mpya nchini Somalia

    AMISOM yapata kamanda mpya nchini Somalia

    Aug 02, 2016 00:12

    Osman Nour Soubagleh ameteuliwa kuwa kama mpya wa askari wa Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.

  • 10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    10 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu

    Jul 31, 2016 11:48

    Kwa akali watu 10 wameuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu ya kutegwa garini katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi mjini Mogadishu nchini Somalia.

  • Vikosi vya Somalia na vya Amisom vyaukomboa mji muhimu kutoka kwa al-Shabab

    Vikosi vya Somalia na vya Amisom vyaukomboa mji muhimu kutoka kwa al-Shabab

    Jul 31, 2016 00:18

    Mji muhimu wa kiistratejia nchini Somalia uliokuwa chini ya udhibiti wa wanamgambo wa al-Shabab umekombolewa na vikosi vya serikali vikishirikiana na vile vya Umoja wa Afrika AMISOM.

  • UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari

    UNHCR: Maelfu ya wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari

    Jul 29, 2016 03:35

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, maelfu ya wakimbizi wa Somalia huko nchini Kenya wamerejea kwao kwa hiari.

  • 13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    13 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Mogadishu, Somalia

    Jul 26, 2016 12:24

    Mashambulizi pacha ya mabomu yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 13 karibu na kambi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM na nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS