-
Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM
Jul 25, 2016 09:43Msemaji wa jeshi la Burundi amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini Somalia wataendelea kuhudumu chini ya mwavuli wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika (AMISOM).
-
AU kuondoa majeshi yake Somalia mwaka 2018
Jul 19, 2016 03:10Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuwa, mchakato wa kuondoa kikosi cha majeshi yake nchini Somalia (AMISOM) utaanza mwaka 2018.
-
Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10
Jul 11, 2016 03:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeshambulia kwa bomu kambi moja ya jeshi kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua wanajeshi 10 wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Polisi ya Somalia yaimarisha doria nchini humo
Jul 09, 2016 08:55Duru za usalama nchini Somalia zimeeleza kuwa, jeshi la polisi la nchi hiyo limeimarisha doria katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kenya yakanusha ripoti ya UN ya kuua raia 29 Somalia
Jul 08, 2016 23:51Kenya imekanusha vikali ripoti ya Umoja wa Mataifa inayodai kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo KDF liliua raia wapatao 29 katika hujuma ya anga iliyolifanya baada ya wanamgambo wa al-Shabaab kuvamia kambi ya jeshi hilo katika eneo la El-Adde nchini Somalia Januari mwaka huu na kuua idadi kubwa ya askari wa Kenya waliokuwa chini ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).
-
Muswada wa sheria ya usawa wa jinsia wazua mpasuko Somalia
Jul 04, 2016 02:38Muswada wa sheria inayoshinikiza usawa wa jinsia nchini Somalia umeibua mjadala, malumbano na uhasama kati ya viongozi wa kidini na mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini humo.
-
Watu kadhaa wauawa katika shambulio la Al-Shabab nchini Somalia
Jul 02, 2016 09:01Duru za habari nchini Somalia, zimearifu kuuawa na kujeruhiwa watu kadhaa katika hujuma iliyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab, hii leo kusini magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao
Jul 02, 2016 03:33Operesheni ya kuwarejesha makwao wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Dadaab huko mashariki mwa Kenya imeanza kutekelezwa.
-
Usalama waimarishwa Somalia baada ya makumi ya watu kuuawa Lafole
Jun 30, 2016 10:32Hatua kali za kiusalama zimechukuliwa nchini Somalia baada ya mlipuko wa bomu uliotokea kandokando ya barabara katika mji wa Lafolena kuua makumi ya watu.
-
18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia
Jun 30, 2016 03:46Kwa akali watu 18 wameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu mapema leo katika mji wa Lafole, kusini magharibi mwa Somalia.