Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM

    Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM

    Jul 25, 2016 09:43

    Msemaji wa jeshi la Burundi amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini Somalia wataendelea kuhudumu chini ya mwavuli wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika (AMISOM).

  • AU kuondoa majeshi yake Somalia mwaka 2018

    AU kuondoa majeshi yake Somalia mwaka 2018

    Jul 19, 2016 03:10

    Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuwa, mchakato wa kuondoa kikosi cha majeshi yake nchini Somalia (AMISOM) utaanza mwaka 2018.

  • Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Al-shabaab washambulia kambi ya jeshi na kuua askari 10

    Jul 11, 2016 03:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeshambulia kwa bomu kambi moja ya jeshi kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuua wanajeshi 10 wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Polisi ya Somalia yaimarisha doria nchini humo

    Polisi ya Somalia yaimarisha doria nchini humo

    Jul 09, 2016 08:55

    Duru za usalama nchini Somalia zimeeleza kuwa, jeshi la polisi la nchi hiyo limeimarisha doria katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kenya yakanusha ripoti ya UN ya kuua raia 29 Somalia

    Kenya yakanusha ripoti ya UN ya kuua raia 29 Somalia

    Jul 08, 2016 23:51

    Kenya imekanusha vikali ripoti ya Umoja wa Mataifa inayodai kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo KDF liliua raia wapatao 29 katika hujuma ya anga iliyolifanya baada ya wanamgambo wa al-Shabaab kuvamia kambi ya jeshi hilo katika eneo la El-Adde nchini Somalia Januari mwaka huu na kuua idadi kubwa ya askari wa Kenya waliokuwa chini ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).

  • Muswada wa sheria ya usawa wa jinsia wazua mpasuko Somalia

    Muswada wa sheria ya usawa wa jinsia wazua mpasuko Somalia

    Jul 04, 2016 02:38

    Muswada wa sheria inayoshinikiza usawa wa jinsia nchini Somalia umeibua mjadala, malumbano na uhasama kati ya viongozi wa kidini na mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini humo.

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulio la Al-Shabab nchini Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika shambulio la Al-Shabab nchini Somalia

    Jul 02, 2016 09:01

    Duru za habari nchini Somalia, zimearifu kuuawa na kujeruhiwa watu kadhaa katika hujuma iliyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab, hii leo kusini magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Jul 02, 2016 03:33

    Operesheni ya kuwarejesha makwao wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Dadaab huko mashariki mwa Kenya imeanza kutekelezwa.

  • Usalama waimarishwa Somalia baada ya  makumi ya watu kuuawa Lafole

    Usalama waimarishwa Somalia baada ya makumi ya watu kuuawa Lafole

    Jun 30, 2016 10:32

    Hatua kali za kiusalama zimechukuliwa nchini Somalia baada ya mlipuko wa bomu uliotokea kandokando ya barabara katika mji wa Lafolena kuua makumi ya watu.

  • 18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    Jun 30, 2016 03:46

    Kwa akali watu 18 wameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu mapema leo katika mji wa Lafole, kusini magharibi mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS