Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Watu kadhaa wauawa katika shambulio la Al-Shabab nchini Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika shambulio la Al-Shabab nchini Somalia

    Jul 02, 2016 09:01

    Duru za habari nchini Somalia, zimearifu kuuawa na kujeruhiwa watu kadhaa katika hujuma iliyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab, hii leo kusini magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Wakimbizi wa kambi ya Dadaab waanza kurejeshwa makwao

    Jul 02, 2016 03:33

    Operesheni ya kuwarejesha makwao wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Dadaab huko mashariki mwa Kenya imeanza kutekelezwa.

  • Usalama waimarishwa Somalia baada ya  makumi ya watu kuuawa Lafole

    Usalama waimarishwa Somalia baada ya makumi ya watu kuuawa Lafole

    Jun 30, 2016 10:32

    Hatua kali za kiusalama zimechukuliwa nchini Somalia baada ya mlipuko wa bomu uliotokea kandokando ya barabara katika mji wa Lafolena kuua makumi ya watu.

  • 18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    18 waua katika shambulizi la bomu nchini Somalia

    Jun 30, 2016 03:46

    Kwa akali watu 18 wameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu mapema leo katika mji wa Lafole, kusini magharibi mwa Somalia.

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi na mauaji ya waziri Mogadishu

    Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la kigaidi na mauaji ya waziri Mogadishu

    Jun 28, 2016 09:39

    Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, Michael Keating, amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililotokea mwishoni mwa wiki iliyopita dhidi ya hoteli ya Naso Hablod kusini mwa Mogadishu, ambako watu 25 waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Jun 26, 2016 06:20

    Shambulio la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab dhidi ya hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu kwa mara nyingine tena limepelekea zaidi ya watu 40 kuuawa na kujeruhiwa.

  • Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia

    Uganda yatangaza tarehe ya kuondoa askari wake Somalia

    Jun 24, 2016 09:56

    Uganda imetangaza kuwa itaondoa askari wake walioko nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM kufikia mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Dunia yaipongeza Kenya kwa kupunguza uharamia Afrika Mashariki

    Dunia yaipongeza Kenya kwa kupunguza uharamia Afrika Mashariki

    Jun 18, 2016 09:25

    Hatua ya Kenya kutuma jeshi lake nchini Somalia imechangia kupunguza kwa kiasi kikubwa uharamia katika pwani ya Bahari ya Hindi Afrika Mashariki.

  • Viongozi wa Somalia wakasirishwa na misaada ya chakula ya UN ya nafaka zilizooza

    Viongozi wa Somalia wakasirishwa na misaada ya chakula ya UN ya nafaka zilizooza

    Jun 17, 2016 00:14

    Viongozi wa Somalia wamekasirika kwa kutumwa nchini humo misaada ya chakula ya Umoja wa Mataifa ya nafaka zilizooza kwa ajili ya raia wa nchi hiyo.

  • UNHCR: Muda zaidi unahitajika kuwahamisha wakimbizi Wasomali nchini Kenya

    UNHCR: Muda zaidi unahitajika kuwahamisha wakimbizi Wasomali nchini Kenya

    Jun 13, 2016 22:39

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) Filippo Grandi, amesema serikali ya Kenya inapaswa kulegeza msimamo wake kuhusu muda wa mwisho iliotoa kwa ajili ya kuwarejesha makwao wakimbizi wapatao 350,000 Wasomali walioko nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS