-
Idadi ya wahanga wa mripuko wa Mogadishu yafikia 15
Jun 02, 2016 10:19Idadi ya watu waliofariki dunia katika mripuko wa bomu uliotokea hapo jana katika hoteli moja mjini Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imeongezeka na kufikia watu 15.
-
Mkuu wa intelijenisia wa kundi la al Shabaab auawa Somalia
Jun 01, 2016 11:29Vikosi vya usalama vya Somalia vimemuuwa mkuu wa kitengo cha intelijinsia cha kundi la wanamgambo wa al Shabaab. Hayo yamesemwa leo na afisa wa serikali ya Somalia.
-
Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia
May 25, 2016 10:03Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limetangaza habari ya kuangamizwa wanachama 21 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hawina nchini Somalia.
-
Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais
May 22, 2016 11:51Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali
May 20, 2016 11:55Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ijumaa amekutana na wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi kujadili uamuzi wa nchi yake kuwatimua wakimbizi kutoka Somalia walioko katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab.
-
Umoja wa Mataifa waunga mkono uchaguzi wa rais Somalia
May 17, 2016 09:25Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema linaunga mkono kikamilifu mpango wa kufanyika uchaguzi mkuu nchini Somalia.
-
Wanamgambo wa ash Shabab wa Somalia kusamehewa lakini...
May 16, 2016 11:37Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia amesema kuwa, yuko tayari kutoa msamaha kwa wanamgambo wa Somalia lakini kwa sharti waweke chini silaha na kuacha mashambulizi.
-
Somalia yalalamikia mpango wa Kenya wa kufunga kambi ya Dadaab
May 12, 2016 23:24Serikali ya Somalia imekosoa azma ya Kenya ya kufunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab yenye mamia ya maelfu ya wakimbizi na haswa raia wa Kisomali.
-
Somalia yachunguza madai ya kutumiwa watoto kama majasusi
May 10, 2016 02:47Serikali ya Somalia imeanza kuchunguza madai kuwa vyombo vya usalama nchini humo vinatumia watoto wadogo kama majasusi na kuhatarisha maisha yao.
-
Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?
May 07, 2016 03:12Huenda Uganda ikaondoa wanajeshi wake wanaolinda amani nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM.