Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Idadi ya wahanga wa mripuko wa  Mogadishu yafikia 15

    Idadi ya wahanga wa mripuko wa Mogadishu yafikia 15

    Jun 02, 2016 10:19

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika mripuko wa bomu uliotokea hapo jana katika hoteli moja mjini Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imeongezeka na kufikia watu 15.

  • Mkuu wa intelijenisia wa kundi la al Shabaab auawa Somalia

    Mkuu wa intelijenisia wa kundi la al Shabaab auawa Somalia

    Jun 01, 2016 11:29

    Vikosi vya usalama vya Somalia vimemuuwa mkuu wa kitengo cha intelijinsia cha kundi la wanamgambo wa al Shabaab. Hayo yamesemwa leo na afisa wa serikali ya Somalia.

  • Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia

    Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia

    May 25, 2016 10:03

    Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limetangaza habari ya kuangamizwa wanachama 21 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hawina nchini Somalia.

  • Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais

    Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais

    May 22, 2016 11:51

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali

    UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali

    May 20, 2016 11:55

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ijumaa amekutana na wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi kujadili uamuzi wa nchi yake kuwatimua wakimbizi kutoka Somalia walioko katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab.

  • Umoja wa Mataifa waunga mkono uchaguzi wa rais Somalia

    Umoja wa Mataifa waunga mkono uchaguzi wa rais Somalia

    May 17, 2016 09:25

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema linaunga mkono kikamilifu mpango wa kufanyika uchaguzi mkuu nchini Somalia.

  • Wanamgambo wa ash Shabab wa Somalia kusamehewa lakini...

    Wanamgambo wa ash Shabab wa Somalia kusamehewa lakini...

    May 16, 2016 11:37

    Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia amesema kuwa, yuko tayari kutoa msamaha kwa wanamgambo wa Somalia lakini kwa sharti waweke chini silaha na kuacha mashambulizi.

  • Somalia yalalamikia mpango wa Kenya wa kufunga kambi ya Dadaab

    Somalia yalalamikia mpango wa Kenya wa kufunga kambi ya Dadaab

    May 12, 2016 23:24

    Serikali ya Somalia imekosoa azma ya Kenya ya kufunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab yenye mamia ya maelfu ya wakimbizi na haswa raia wa Kisomali.

  • Somalia yachunguza madai ya kutumiwa watoto kama majasusi

    Somalia yachunguza madai ya kutumiwa watoto kama majasusi

    May 10, 2016 02:47

    Serikali ya Somalia imeanza kuchunguza madai kuwa vyombo vya usalama nchini humo vinatumia watoto wadogo kama majasusi na kuhatarisha maisha yao.

  • Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?

    Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?

    May 07, 2016 03:12

    Huenda Uganda ikaondoa wanajeshi wake wanaolinda amani nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS