-
'Al-Shabaab' yaua mwanahabari wa kike mjini Mogadishu
Jun 06, 2016 03:02Watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamemuua kwa kumfyatulia risasi mwandishi wa habari wa kike katika mji mkuu Mogadishu.
-
Uchaguzi wa Bunge Somalia kufanyika Agosti
Jun 05, 2016 03:06Bunge jipya la Somalia litaundwa Agosti mwaka huu ambapo rais na viongozi wa majimbo watakutana Juni 20 kujadili njia za kuwateua wabunge hao kwani hawachaguliwi kwa kura ya moja kwa moja ya wananchi.
-
Uturuki kufungua kituo cha kijeshi nchini Somalia
Jun 04, 2016 00:02Serikali ya Uturuki imefungua ubalozi mpya nchini Somalia na kuahidi kufungua kituo cha kutoa mafunzo ya kijeshi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika karibuni hivi.
-
Msomali aliyefanya jinai za kivita anafanya kazi uwanja wa ndege Marekani
Jun 02, 2016 23:24Imearifiwa kuwa, mtuhumiwa wa jinai za kivita raia wa Somalia anafanya kazi katika uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji wa Washington D.C nchini Marekani.
-
Idadi ya wahanga wa mripuko wa Mogadishu yafikia 15
Jun 02, 2016 10:19Idadi ya watu waliofariki dunia katika mripuko wa bomu uliotokea hapo jana katika hoteli moja mjini Mogadishu, mji mkuu wa Somalia imeongezeka na kufikia watu 15.
-
Mkuu wa intelijenisia wa kundi la al Shabaab auawa Somalia
Jun 01, 2016 11:29Vikosi vya usalama vya Somalia vimemuuwa mkuu wa kitengo cha intelijinsia cha kundi la wanamgambo wa al Shabaab. Hayo yamesemwa leo na afisa wa serikali ya Somalia.
-
Jeshi la Kenya laangamiza al-Shabaab 21 nchini Somalia
May 25, 2016 10:03Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF limetangaza habari ya kuangamizwa wanachama 21 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hawina nchini Somalia.
-
Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais
May 22, 2016 11:51Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
UN yaiomba Kenya isifunge kambi za wakimbizi Wasomali
May 20, 2016 11:55Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ijumaa amekutana na wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi kujadili uamuzi wa nchi yake kuwatimua wakimbizi kutoka Somalia walioko katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani ya Dadaab.
-
Umoja wa Mataifa waunga mkono uchaguzi wa rais Somalia
May 17, 2016 09:25Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema linaunga mkono kikamilifu mpango wa kufanyika uchaguzi mkuu nchini Somalia.