-
Wanamgambo wa ash Shabab wa Somalia kusamehewa lakini...
May 16, 2016 11:37Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia amesema kuwa, yuko tayari kutoa msamaha kwa wanamgambo wa Somalia lakini kwa sharti waweke chini silaha na kuacha mashambulizi.
-
Somalia yalalamikia mpango wa Kenya wa kufunga kambi ya Dadaab
May 12, 2016 23:24Serikali ya Somalia imekosoa azma ya Kenya ya kufunga kambi ya wakimbizi ya Dadaab yenye mamia ya maelfu ya wakimbizi na haswa raia wa Kisomali.
-
Somalia yachunguza madai ya kutumiwa watoto kama majasusi
May 10, 2016 02:47Serikali ya Somalia imeanza kuchunguza madai kuwa vyombo vya usalama nchini humo vinatumia watoto wadogo kama majasusi na kuhatarisha maisha yao.
-
Uganda kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia?
May 07, 2016 03:12Huenda Uganda ikaondoa wanajeshi wake wanaolinda amani nchini Somalia chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika AMISOM.
-
Kenya kufunga kambi za wakimbizi kutokana na sababu za kiusalama
May 06, 2016 08:48Kenya imesema inatathmini kufunga kambi zote za wakimbizi nchini humo zikiwemo za Dadaab na Kakuma zenye idadi kubwa ya raia wa Somalia hivi karibuni.
-
Wajumbe wa Baraza la Usalama la UN kutembelea Somalia
May 03, 2016 02:30Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wanatazamiwa kutembelea Somalia katika siku chache zijazo ili kuonyesha uungaji mkono kwa uchaguzi ujao nchini humo.
-
Kuongezeka opereseheni za jeshi la Somalia dhidi ya ash Shabab
May 02, 2016 12:27Kamanda mmoja wa jeshi la Somalia amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limeshadidisha operesheni zake dhidi ya kundi la ash Shabab kusini mwa nchi hiyo.
-
Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab
May 01, 2016 09:39Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeua askari 15 wa jeshi la Somalia sanjari na kuchukua udhibiti wa mji wa Runirgood, yapata kilomita 180 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.
-
Umoja wa Mataifa: Hali ya usalama nchini Somalia bado ni tete
Apr 23, 2016 22:18Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya usalama nchini Somalia bado ni tete.
-
Al Shabab 14 watiwa mbaroni nchini Somalia
Apr 18, 2016 12:24Wizara ya Usalama wa Taifa ya Somalia imesema kuwa, nchi hiyo imeshadidisha operesheni zake za kiusalama na kijasusi dhidi ya kundi la al Shabab, operesheni ambazo zimefanikisha kutiwa mbaroni wanamgambo 14 wa kundi hilo.