Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Kenya kufunga kambi za wakimbizi kutokana na sababu za kiusalama

    Kenya kufunga kambi za wakimbizi kutokana na sababu za kiusalama

    May 06, 2016 08:48

    Kenya imesema inatathmini kufunga kambi zote za wakimbizi nchini humo zikiwemo za Dadaab na Kakuma zenye idadi kubwa ya raia wa Somalia hivi karibuni.

  • Wajumbe wa Baraza la Usalama la UN kutembelea Somalia

    Wajumbe wa Baraza la Usalama la UN kutembelea Somalia

    May 03, 2016 02:30

    Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wanatazamiwa kutembelea Somalia katika siku chache zijazo ili kuonyesha uungaji mkono kwa uchaguzi ujao nchini humo.

  • Kuongezeka opereseheni za jeshi la Somalia dhidi ya ash Shabab

    Kuongezeka opereseheni za jeshi la Somalia dhidi ya ash Shabab

    May 02, 2016 12:27

    Kamanda mmoja wa jeshi la Somalia amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limeshadidisha operesheni zake dhidi ya kundi la ash Shabab kusini mwa nchi hiyo.

  • Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    Askari 15 wa Somalia wauawa katika hujuma ya al-Shabaab

    May 01, 2016 09:39

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeua askari 15 wa jeshi la Somalia sanjari na kuchukua udhibiti wa mji wa Runirgood, yapata kilomita 180 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya usalama nchini Somalia bado ni tete

    Umoja wa Mataifa: Hali ya usalama nchini Somalia bado ni tete

    Apr 23, 2016 22:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya usalama nchini Somalia bado ni tete.

  • Al Shabab 14 watiwa mbaroni nchini Somalia

    Al Shabab 14 watiwa mbaroni nchini Somalia

    Apr 18, 2016 12:24

    Wizara ya Usalama wa Taifa ya Somalia imesema kuwa, nchi hiyo imeshadidisha operesheni zake za kiusalama na kijasusi dhidi ya kundi la al Shabab, operesheni ambazo zimefanikisha kutiwa mbaroni wanamgambo 14 wa kundi hilo.

  • AMISOM yaomba msamaha kwa kuua raia wa Somalia

    AMISOM yaomba msamaha kwa kuua raia wa Somalia

    Apr 17, 2016 23:33

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimetoa taarifa rasmi ya kuomba msamaha kwa kuua 'kimakosa' raia wanne wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu watatu wauawa katika mripuko Somalia

    Watu watatu wauawa katika mripuko Somalia

    Apr 13, 2016 23:18

    Watu watatu wameuawa na wengine wasiopungua sita kujeruhiwa katika mlipuko ulitokea jana Jumatano katika soko lililokuwa na watu wengi huko Somalia.

  • Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Apr 10, 2016 10:42

    Magaidi wameshambulia kituo cha polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia na kupora gari la polisi na kombora moja.

  • Makamanda saba wa Al Shabab wauawa Somalia

    Makamanda saba wa Al Shabab wauawa Somalia

    Apr 05, 2016 09:50

    Makamanda saba wa kundi la kigaidi la Al Shabab wameuawa Somalia katika oparesheni za pamoja za Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Somalia AMISOM na jeshi la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS