-
AMISOM yaomba msamaha kwa kuua raia wa Somalia
Apr 17, 2016 23:33Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimetoa taarifa rasmi ya kuomba msamaha kwa kuua 'kimakosa' raia wanne wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Watu watatu wauawa katika mripuko Somalia
Apr 13, 2016 23:18Watu watatu wameuawa na wengine wasiopungua sita kujeruhiwa katika mlipuko ulitokea jana Jumatano katika soko lililokuwa na watu wengi huko Somalia.
-
Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya
Apr 10, 2016 10:42Magaidi wameshambulia kituo cha polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia na kupora gari la polisi na kombora moja.
-
Makamanda saba wa Al Shabab wauawa Somalia
Apr 05, 2016 09:50Makamanda saba wa kundi la kigaidi la Al Shabab wameuawa Somalia katika oparesheni za pamoja za Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Somalia AMISOM na jeshi la nchi hiyo.
-
Ash Shabaab yamnyonga Mtanzania kwa tuhuma za ujasusi
Apr 03, 2016 23:27Raia wa Tanzania aliyejiunga na kundi la al Shabaab la nchini Somalia amenyongwa na kundi hilo kwa tuhuma za ujasusi.
-
UN yahitaji $M 105 kuokoa maisha kwenye ukame Somalia
Apr 01, 2016 03:24Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu nchini Somalia yamezindua ombi la msaada wa dola milioni 105 kwa minajili ya kunusuru maisha na kujenga uthabiti wa zaidi ya watu milioni moja katika maeneo yaliyoathiriwa na ukame kaskazini mwa Somalia
-
Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia
Mar 31, 2016 23:52Watu wawili wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa wakati ulipotokea mripuko ndani ya msikiti katika mji wa Beledweyne mkoani Hiiraan katikati mwa Somalia hapo jana.
-
Waturuki 2 wauawa, Mkenya ajeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu
Mar 30, 2016 22:37Watu sita wakiwemo Waturuki wawili wameuawa katika shambulizi lililolenga basi dogo lililokuwa limebeba wafanyakazi wa hospitali moja inayosimamiwa na Uturuki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Serikali ya Somalia: Tumekamata wanachama 100 wa al-Shabab
Mar 29, 2016 23:41Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabab wamekamatwa na vyombo vya usalama vya Somalia.
-
EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia
Mar 29, 2016 11:14Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.