Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • AMISOM yaomba msamaha kwa kuua raia wa Somalia

    AMISOM yaomba msamaha kwa kuua raia wa Somalia

    Apr 17, 2016 23:33

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimetoa taarifa rasmi ya kuomba msamaha kwa kuua 'kimakosa' raia wanne wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu watatu wauawa katika mripuko Somalia

    Watu watatu wauawa katika mripuko Somalia

    Apr 13, 2016 23:18

    Watu watatu wameuawa na wengine wasiopungua sita kujeruhiwa katika mlipuko ulitokea jana Jumatano katika soko lililokuwa na watu wengi huko Somalia.

  • Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Al Shabab washambulia kituo cha polisi Kenya

    Apr 10, 2016 10:42

    Magaidi wameshambulia kituo cha polisi katika mpaka wa Kenya na Somalia na kupora gari la polisi na kombora moja.

  • Makamanda saba wa Al Shabab wauawa Somalia

    Makamanda saba wa Al Shabab wauawa Somalia

    Apr 05, 2016 09:50

    Makamanda saba wa kundi la kigaidi la Al Shabab wameuawa Somalia katika oparesheni za pamoja za Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Somalia AMISOM na jeshi la nchi hiyo.

  • Ash Shabaab yamnyonga Mtanzania kwa tuhuma za ujasusi

    Ash Shabaab yamnyonga Mtanzania kwa tuhuma za ujasusi

    Apr 03, 2016 23:27

    Raia wa Tanzania aliyejiunga na kundi la al Shabaab la nchini Somalia amenyongwa na kundi hilo kwa tuhuma za ujasusi.

  • UN yahitaji $M 105 kuokoa  maisha  kwenye  ukame Somalia

    UN yahitaji $M 105 kuokoa maisha kwenye ukame Somalia

    Apr 01, 2016 03:24

    Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu nchini Somalia yamezindua ombi la msaada wa dola milioni 105 kwa minajili ya kunusuru maisha na kujenga uthabiti wa zaidi ya watu milioni moja katika maeneo yaliyoathiriwa na ukame kaskazini mwa Somalia

  • Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia

    Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia

    Mar 31, 2016 23:52

    Watu wawili wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa wakati ulipotokea mripuko ndani ya msikiti katika mji wa Beledweyne mkoani Hiiraan katikati mwa Somalia hapo jana.

  • Waturuki 2 wauawa, Mkenya ajeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu

    Waturuki 2 wauawa, Mkenya ajeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu

    Mar 30, 2016 22:37

    Watu sita wakiwemo Waturuki wawili wameuawa katika shambulizi lililolenga basi dogo lililokuwa limebeba wafanyakazi wa hospitali moja inayosimamiwa na Uturuki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Serikali ya Somalia: Tumekamata wanachama 100 wa al-Shabab

    Serikali ya Somalia: Tumekamata wanachama 100 wa al-Shabab

    Mar 29, 2016 23:41

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabab wamekamatwa na vyombo vya usalama vya Somalia.

  • EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia

    EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia

    Mar 29, 2016 11:14

    Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS