-
Ash Shabaab yamnyonga Mtanzania kwa tuhuma za ujasusi
Apr 03, 2016 23:27Raia wa Tanzania aliyejiunga na kundi la al Shabaab la nchini Somalia amenyongwa na kundi hilo kwa tuhuma za ujasusi.
-
UN yahitaji $M 105 kuokoa maisha kwenye ukame Somalia
Apr 01, 2016 03:24Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu nchini Somalia yamezindua ombi la msaada wa dola milioni 105 kwa minajili ya kunusuru maisha na kujenga uthabiti wa zaidi ya watu milioni moja katika maeneo yaliyoathiriwa na ukame kaskazini mwa Somalia
-
Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia
Mar 31, 2016 23:52Watu wawili wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa wakati ulipotokea mripuko ndani ya msikiti katika mji wa Beledweyne mkoani Hiiraan katikati mwa Somalia hapo jana.
-
Waturuki 2 wauawa, Mkenya ajeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu
Mar 30, 2016 22:37Watu sita wakiwemo Waturuki wawili wameuawa katika shambulizi lililolenga basi dogo lililokuwa limebeba wafanyakazi wa hospitali moja inayosimamiwa na Uturuki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Serikali ya Somalia: Tumekamata wanachama 100 wa al-Shabab
Mar 29, 2016 23:41Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabab wamekamatwa na vyombo vya usalama vya Somalia.
-
EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia
Mar 29, 2016 11:14Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
-
Magaidi 115 wa Al Shabab wauawa Somalia
Mar 28, 2016 09:10Jeshi la Somalia limefanikiwa kuwaua magaidi zaidi ya 115 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Galmudug nchini humo.
-
Ash Shabab 60 wauawa mashariki mwa Somalia
Mar 27, 2016 00:09Wapiganaji 60 wa kundi la kigaidi la ash-Shabab nchini Somalia wameuawa mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wanamgambo 23 wa al Shabab wauliwa na askari wa Somalia
Mar 26, 2016 12:27Kwa akali wanachama 23 wa kundi la kigaidi la ash-Shabab la Somalia wameuliwa na askari wa serikali ya nchi hiyo.
-
Wanachama 156 wa ash-Shabab watiwa mbaroni na polisi ya Somalia
Mar 25, 2016 02:26Polisi ya Somalia imetangaza kuwatia mbaroni watu 156 kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la ash-Shabab. Kwa mujibu wa polisi ya nchi hiyo, watu hao wametiwa nguvuni katika jimbo la Puntland kaskazini mwa Somalia.