-
Spika wa Iran: Kambi za kijeshi za US ni tishio kwa nchi wenyeji wake
Mar 15, 2026 05:04Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani imeitoa kafara kila nchi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, na kwamba kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi hazizipi ulinzi nchi wenyeji.
-
Ghalibaf: Hizbullah ipo hai na inaendelea na harakati zake
Oct 04, 2025 03:50Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesisitiza kuwa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ingali "hai na inafanya kazi zake kama kawaida", huku ikiungwa mkono na wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Spika Qalibaf: Snapback ni batili, Iran itajibu mapigo
Sep 28, 2025 08:15Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Baqer Qalibaf amepinga uamilishaji wa utaratibu wa snapback wa kurejeshewa Iran vikwazo, na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume cha sheria; huku akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina wajibu wa kuheshimu uamuzi huo ulioshinikizwa na Troika ya Ulaya.
-
Qalibaf: Uhai wa utawala wa Kizayuni unategemea mauaji na jinai
Apr 29, 2025 08:52Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameyataja matamshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni hila isiyo na thamani inayolenga kuvuruga mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani na kusema: "Hata asilimia ndogo ya uchokozi dhidi ya Iran itatambuliwa kuwa ni sawa na kuwasha moto pipa la baruti ambalo litalipua katika eneo hili."
-
Spika: Mataifa yanayotegemea usalama kutoka nje yatafeli
Mar 02, 2025 08:56Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mustakabali wa nchi zinazotegemea mataifa mengine kwa ajili ya kudhaminiwa usalama na maendeleo ni kufeli na kugonga mwamba.
-
Iran: Tunapinga mpango wowote wa kufukuzwa Wapalestina Gaza
Feb 19, 2025 08:37Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema kuwa Tehran inapinga vikali na kulaani mpango wowote unaokusudia kuwafurusha Wapalestina katika ardhi zao.
-
Spika Qalibaf: Hamas ipo hai, imeidhalilisha vibaya Israel
Jan 27, 2025 09:51Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameipongeza Harakati ya Muqawama ya Hamas na vikosi vya mapambano ya Kiislamu vya Palestina kwa ushindi wao mkabala wa utawala wa Kizayuni.
-
Spika: Mauaji ya kigaidi kuharakisha kuporomoka utawala wa Kizayuni
Oct 11, 2024 07:02Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, mashambulizi ya anga na mauaji ya kigaidi yanayofanywa na utawala haramu wa Israel hayatakuwa na matokeo mengine isipokuwa kuharakisha kusambaratika na kuangamia kwa utawala huo wa Kizayuni.
-
Qalibaf asisitizia umoja wa Waislamu katika kadhia ya Palestina
Sep 15, 2024 04:02Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitizia haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja na mshikamano katika suala la Palestina.
-
Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu
Aug 11, 2024 04:03Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imedhamiria kujibu mapigo kwa Israel kufuatia mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS hapa Tehran akisisitiza kuwa, utumiaji wa nguvu na mabavu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Uzayuni.