Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Spika

  • Qalibaf aonya kuwa Iran italipiza kisasi kwa kushambulia rasilimali za nishati za Marekani

    Qalibaf aonya kuwa Iran italipiza kisasi kwa kushambulia rasilimali za nishati za Marekani

    Sep 08, 2026 04:36

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa onyo kali kwa Marekani kwamba shambulizi lolote dhidi ya rasilimali za mafuta na gesi za Iran litajibiwa kwa hatua sawa, akisisitiza kuwa makampuni na miundombinu ya nishati ya Marekani katika eneo hili iko katika hali sawa ya hatari.

  • Qalibaf: Marekani inapaswa kujua kwamba enzi ya

    Qalibaf: Marekani inapaswa kujua kwamba enzi ya "majibu sawia" imekwisha

    Sep 06, 2026 11:38

    Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa kabla ya kuchelewa, Wamarekani wanapasa kujua kwamba kanuni za mchezo zimebadilika na kuanzia sasa, uchokozi wowote dhidi ya maslahi na usalama wa Iran utajibiwa kwa hatua itakayokuwa "ya haraka zaidi, nzito zaidi na yenye kuumiza zaidi."

  • Qalibaf: Marekani ‘inaua kama Shetani’: Alaani shambulio dhidi ya sherehe ya harusi kusini mwa Iran

    Qalibaf: Marekani ‘inaua kama Shetani’: Alaani shambulio dhidi ya sherehe ya harusi kusini mwa Iran

    Sep 02, 2026 12:55

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amelaani shambulio la Marekani dhidi ya sherehe ya harusi kusini mwa Iran, akisema kuwa kulenga raia katika shule, ukumbi wa michezo na sherehe ya harusi kunaonyesha namana Washington inavyotenda na kuua "kama Shetani."

  • Qalibaf aziambia nchi za kanda hii: Usalama unaojengwa kwa kutegemea uingiliaji wa nchi ajinabi unalegalega

    Qalibaf aziambia nchi za kanda hii: Usalama unaojengwa kwa kutegemea uingiliaji wa nchi ajinabi unalegalega

    Aug 31, 2026 04:41

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema kuwa matokeo ya umoja miongoni mwa Waislamu yamekuwa ni kushindwa kwa maadui zao, na kusisitiza kuwa usalama wa kikanda unaotegemea uwepo na uingiliaji kati wa madola ya nje ya eneo hili kimsingi ni dhaifu.

  • Spika wa Bunge la Iran: Adui atashindwa katika vita kamili vya kiuchumi alivyoanzisha

    Spika wa Bunge la Iran: Adui atashindwa katika vita kamili vya kiuchumi alivyoanzisha

    Aug 28, 2026 03:28

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Nchi iko katika vita kamili ya kiuchumi na tutaona jinsi adui atakavyoshindwa katika vita hivi.

  • Spika Qalibaf: Muqawama wa Iraq ni chanzo kikuu cha nguvu kwa Iran na Iraq

    Spika Qalibaf: Muqawama wa Iraq ni chanzo kikuu cha nguvu kwa Iran na Iraq

    Aug 20, 2026 03:30

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Muqawama wa Kiislamu nchini Iraq umekuwa moja ya nguzo muhimu za nguvu kwa Iran na Iraq, akisisitiza kuwa fikra na harakati za Muqawama zimevuka mipaka ya eneo na kupata uungwaji mkono duniani.

  • Qalibaf awapongeza makamanda wa ngazi ya juu kwa uteuzi wao katika majeshi ya Iran

    Qalibaf awapongeza makamanda wa ngazi ya juu kwa uteuzi wao katika majeshi ya Iran

    Aug 11, 2026 11:27

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amewapongeza makamanda na maafisa kadhaa wa ngazi ya juu wa jeshi walioteuliwa kushika nyadhifa muhimu za kijeshi.

  • Spika wa Bunge la Iran: Wito wa Kiongozi wa

    Spika wa Bunge la Iran: Wito wa Kiongozi wa "Umoja wa Kitaifa" ni muhimu kwa ushindi

    Jul 19, 2026 12:51

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amesisitiza kuwa kuzingatia maaagizo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuhusu kudumisha umoja wa kitaifa ni muhimu kwa ajili ya ushindi katika mapambano dhidi ya adui.

  • Spika wa Bunge la Iran: Zama za uonevu wa Marekani zimekwisha

    Spika wa Bunge la Iran: Zama za uonevu wa Marekani zimekwisha

    Jul 09, 2026 03:26

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ameikosoa Marekani kwa kukiuka Mkataba wa Maelewano kati ya Iran na Marekani (MoU), akisisitiza kwamba "zama za uonevu na ulaghai" wa Washington zimekwisha.

  • Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kufeli kwa Marekani

    Qalibaf: Mkataba wa Islamabad ni tangazo la kufeli kwa Marekani

    Jun 24, 2026 11:00

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Mkataba wa Maelewano (MoU) wa kumaliza vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa matokeo ya shinikizo au kulazimishwa, bali ni zao la ustahimilivu na nguvu ya taifa shupavu la Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS