-
Waziri wa Sudan aghairisha safari yake Misri kwa sababu ya ugomvi baina ya nchi mbili
Jan 01, 2018 04:27Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan nchini Misri imeghairishwa kufuatia ugomvi na mvutano uliozuka baina ya nchi hizo mbili.
-
Rais wa Sudan atangaza hali ya hatari ya miezi sita katika majimbo mawili
Dec 31, 2017 00:01Rais Omar al Bashir wa Sudan ametangaza hali ya hatari ya miezi sita katika majimbo mawili ya nchi hiyo. Jana Jumamosi Rais al Bashir alitangaza uamuzi huo wa kutekelezwa hali ya hatari huko Kordofan ya Kaskazini na Kasala.
-
George Weah ashinda urais Liberia, amshukuru Arsene Wenger, Jacob Zuma ampongeza
Dec 27, 2017 12:23Bingwa wa zamani wa dunia wa mpira wa miguu, George Weah ameshinda katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa nchi ya magharibi mwa Afrika ya Liberia kwa kukomba kaunti 12 kati ya 15 za nchi hiyo zilizopiga kura.
-
Mgogoro wa Sudan na Misri wapanuka zaidi
Dec 26, 2017 23:14Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Sudan imeuandikia barua ya wazi Umoja wa Mataifa ikitangaza upinzani wake dhidi ya kile kilichotajwa kuwa ni makubaliano ya kuainisha mipaka ya nchi kavu kati ya Saudi Arabia na Misri.
-
Uturuki na Sudan zakubaliana kuimarisha uhusiano kati ya pande mbili
Dec 25, 2017 11:26Uturuki na Sudan zimekubaliana kuanzisha baraza la ushirikiano wa kistratejia na kuzidisha mahusiano ya kibiashara kati ya nchi mbili hizo kufuatia ziara ya kihistoria iliyofanywa na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki mjini Khartoum.
-
Mahasimu Sudan Kusini watia saini mapatano ya usitishaji vita
Dec 22, 2017 03:18Serikali ya Sudan Kusini imetiliana saini mapatano ya usitishaji vita na makundi ya waasi nchini humo jana Alkhamisi katika jitihada za hivi karibuni za kumaliza vita vya ndani ambavyo vimekuwa vikiendelea kwa muda wa miaka minne nchini humo.
-
Sudan, Rwanda kushirikiana katika vita dhidi ya ugaidi barani Afrika
Dec 22, 2017 03:13Sudan na Rwanda zimekubaliana kuunganisha juhudi zao za kutafuta suluhisho la amani la changamoto zinazolikabili bara la Afrika na kupambana na ugaidi na uhalifu wa kuchupa mpaka.
-
Sudan: Hatutaitambua mipaka mipya ya majini iliyowekwa na Misri na Saudia
Dec 21, 2017 12:47Sudan imewasilisha taarifa kwa Umoja wa Mataifa ikieleza kwamba endapo mipaka mipya ya majini iliyowekwa na Misri na Saudi Arabia itapitishwa rasmi haitoitambua katu mipaka hiyo.
-
AU kuanzisha tena juhudi za usuluhishi kati ya serikali ya Sudan na waasi wa eneo la Darfur
Dec 20, 2017 23:13Umoja wa Afrika utaanzisha tena usuluhishi kwa njia ya mazungumzo kati ya serikali ya Sudan na waasi wa Darfur baada ya mazungumzo hayo kusimama kwa muda wa miezi 16.
-
ICC yazijia juu nchi wanachama kwa kutomkamata Rais wa Sudan
Dec 13, 2017 23:42Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amezikosoa vikali baadhi ya nchi wanachama wa Mkataba wa Roma uliounda mahakama hiyo, kwa kukataa kumtia mbaroni Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipozitembelea.