Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Watu wanane wauawa katika shambulizi msikitini Sudan

    Watu wanane wauawa katika shambulizi msikitini Sudan

    May 27, 2016 10:57

    Watu wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa msikitini na watu waliokuwa na silaha katika mji wa al Junaynah mkoani Darfur Magharibi huko Sudan.

  • Sudan yamtimua ofisa wa UN kwa kuandaa ripoti 'bandia' juu ya Darfur

    Sudan yamtimua ofisa wa UN kwa kuandaa ripoti 'bandia' juu ya Darfur

    May 26, 2016 03:11

    Sudan imemtimua ofisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kwa tuhuma za kuandaa kile kilichotajwa na serikali ya Khartoum kuwa ripoti bandia kuhusu hali ya kiusalama katika eneo la Darfur.

  • Umoja wa Mataifa wasikitishwa na kufukuzwa afisa wake nchini Sudan

    Umoja wa Mataifa wasikitishwa na kufukuzwa afisa wake nchini Sudan

    May 23, 2016 02:56

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kitendo cha Sudan cha kukataa kumuongezea muda wa iqama na kibali cha kuishi afisa mmoja wa ngazi za juu wa umoja huo, kina maana ya kumfukuza nchini humo.

  • ICC yaitaka Uganda kueleza kwa nini haikumkamata Rais wa Sudan

    ICC yaitaka Uganda kueleza kwa nini haikumkamata Rais wa Sudan

    May 21, 2016 11:28

    Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ICC imeitaka Uganda kueleza ni kwa nini ilishindwa kumkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipofanya ziara nchini humo wiki iliyopita.

  • Kushambuliwa kambi ya wakimbizi Darfur Sudan

    Kushambuliwa kambi ya wakimbizi Darfur Sudan

    May 11, 2016 03:16

    Watu wenye silaha wameishambulia kambi ya wakimbizi katika jimbo la Darfur, magharibi mwa Sudan na kuua watu wasiopungua watatu na kuwajeruhi wengine 11.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS