Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Askari wa China watumwa Sudan kulinda amani

    Askari wa China watumwa Sudan kulinda amani

    Dec 11, 2018 15:34

    Askari 100 wa kulinda amani wa China wameondoka Jumanne ya leo Beijing kuelekea Darfur, nchini Sudan kwa ajili ya majukumu ya kulinda amani kwa kipindi cha mwaka mmoja katika kikosi cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika (UNAMID).

  • Viongozi wa Sudan Kusini watoa mwito kwa wananchi kusameheana

    Viongozi wa Sudan Kusini watoa mwito kwa wananchi kusameheana

    Dec 08, 2018 15:33

    Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na naibu wake Wani Igga wanaendeleza kampeni ya pamoja wakitaka kuwaunganisha na kuwapatanisha watu wa Sudan Kusini waliosambaratika kutokana na vita vikali vya miaka mitano.

  • Umoja wa Mataifa walaani wimbi la mashambulizi ya kinyama ya kingono Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa walaani wimbi la mashambulizi ya kinyama ya kingono Sudan Kusini

    Dec 03, 2018 01:09

    Umoja wa Mataifa jana Jumapili ulilaani wimbi la mashambulizi ya kinyama ya kingono dhidi ya wanawake na mabinti katika mji wa Bentiu kaskazini mwa Sudan Kusini yaliyojiri katika eneo linalotajwa kuwa lililo chini ya udhibiti wa serikali.

  • Sudan Kusini yakanusha kukiuka marufuku ya usafirishaji silaha

    Sudan Kusini yakanusha kukiuka marufuku ya usafirishaji silaha

    Nov 30, 2018 06:59

    Sudan Kusini imekanusha tuhuma kuwa nchi jirani yake Uganda inaisaida kupata silaha za Ulaya licha ya vikwazo vya silaha vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya.

  • Uganda iliisadia Sudan Kusini kukiuka vikwazo vya silaha vya EU

    Uganda iliisadia Sudan Kusini kukiuka vikwazo vya silaha vya EU

    Nov 29, 2018 13:35

    Kundi moja la kudhibiti silaha leo limeeleza kuwa Uganda ilisaidia kuingiza nchini Sudan Kusini silaha na zana za kijeshi za Ulaya wakati wa vita vya ndani nchini humo na hivyo kukiuka vikwazo vya silaha vya Umoja wa Ulaya dhidi ya nchi hiyo.

  • Vyama vya siasa Sudan vyapinga kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Vyama vya siasa Sudan vyapinga kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Nov 26, 2018 04:33

    Vyama vya siasa nchini Sudan vimetoa wito wa kupambana na hatua zinazofanywa na baadhi ya nchi za Kiarabu za kutaka kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN: Mapatano ya amani ya Sudan Kusini ni legelege

    UN: Mapatano ya amani ya Sudan Kusini ni legelege

    Nov 17, 2018 16:14

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya amani ametahadharisha kuwa, makubaliano ya amani ya Sudan Kusini ni tete na legelege na ni sawa na kuhifadhi fedha taslimu.

  • Watu 15 wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini

    Watu 15 wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini

    Nov 03, 2018 14:27

    Watu 15 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyodumu kwa siku tatu mfululizo mkoani Jonglei, Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini yawaachia huru msemaji na mshauri wa kiongozi wa waasi

    Sudan Kusini yawaachia huru msemaji na mshauri wa kiongozi wa waasi

    Nov 02, 2018 16:06

    Sudan Kusini leo imewaachia huru kutoka jela msemaji na mshauri wa Riek Machar kiongozi wa waasi wa nchi hiyo. Hayo yameelezwa na afisa wa serikali ya Juba.

  • Kiongozi wa waasi Sudan Kusini arejea nchini baada ya kufikiwa makubaliano ya amani

    Kiongozi wa waasi Sudan Kusini arejea nchini baada ya kufikiwa makubaliano ya amani

    Oct 31, 2018 15:43

    Riek Machar kiongozi wa waasi Sudan Kusini leo Jumatano amewasili Juba mji mkuu wa nchi hiyo kuadhimisha makubaliano ya amani; ikiwa imepita zaidi ya miaka miwili baada ya kuibuka mapigano makali huko Juba na kumlazimisha kukimbia nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS