Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu vitendo vya ukatili Sudan Kusini

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu vitendo vya ukatili Sudan Kusini

    Sep 18, 2018 08:26

    Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba una wasiwasi kuhusu vitendo vya ukatili na mateso dhidi ya raia hususan wanawake na watoto wadogo vinavyoendelea kufanyika Sudan Kusini.

  • UN yalaani kushambuliwa askari wake Sudan Kusini

    UN yalaani kushambuliwa askari wake Sudan Kusini

    Sep 16, 2018 10:34

    Kamanda wa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini amelaani kitendo cha kushambuliwa maafisa wake nchini humo.

  • Mapigano yaanza tena Sudan Kusini siku mbili baada ya kusainiwa makubaliano rasmi ya amani

    Mapigano yaanza tena Sudan Kusini siku mbili baada ya kusainiwa makubaliano rasmi ya amani

    Sep 14, 2018 20:16

    Mapigano yameanza tena upya nchini Sudan Kusini siku mbili baada ya pande zinazopigana kusaini makubaliano rasmi ya suluhu na amani kwa lengo la kuhitimisha vita vya ndani nchini humo.

  • UN yawapongeza mahasimu  Sudan Kusini kwa kutia saini mkataba wa amani

    UN yawapongeza mahasimu Sudan Kusini kwa kutia saini mkataba wa amani

    Sep 14, 2018 02:31

    Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa António Guterres amesema kuwa, kusainiwa mkataba ulioboreshwa wa kutatua migogoro nchini Sudan Kusini (RARCSS) tarehe 12 mwezi huu wa Septemba 2018 ni maendeleo mazuri na muhimu.

  • Kiir na Machar watia saini makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Kiir na Machar watia saini makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Sep 13, 2018 00:11

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na hasimu wake wa kisiasa, Riek Machar jana walitia saini makubaliano ya amani katika mkutano uliofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.

  • Watu wasiopungua 17 waaga dunia katika ajali ya ndege Sudan Kusini

    Watu wasiopungua 17 waaga dunia katika ajali ya ndege Sudan Kusini

    Sep 09, 2018 11:27

    Watu wasiopungua 17 wamepoteza maisha baada ya ndege ndogo iliyokuwa imebeba abiria kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Juba ikielekea katika mji wa Yirol kuanguka hii leo. Hayo yameelezwa na Taban Abel, Waziri wa Habari wa Sudan Kusini.

  • UN yaitaka Sudan Kusini kupambana haraka na uvunjaji wa haki za watoto

    UN yaitaka Sudan Kusini kupambana haraka na uvunjaji wa haki za watoto

    Sep 08, 2018 10:21

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya watoto na mapigano ya kutumia silaha ameisisitizia serikali ya Sudan Kusini wajibu wake wa kuchukua hatua za haraka za kupambana na uvunjaji wa haki za watoto na kuwapandisha kizimbani wahalifu.

  • Sudan Kusini yawafunga jela wanajeshi wabakaji

    Sudan Kusini yawafunga jela wanajeshi wabakaji

    Sep 07, 2018 11:26

    Mahakama ya jeshi Sudan Kusini imewahukumu vifungo virefu wanajeshi 10 waliowabaka wafanyakazi wageni watoa misaada, mbali na uporaji na mauaji yaliyotokea upya mwezi Julai 2016.

  • Riek Machar akubali kusaini makubaliano ya mwisho ya amani ya Sudan Kusini

    Riek Machar akubali kusaini makubaliano ya mwisho ya amani ya Sudan Kusini

    Aug 29, 2018 03:17

    Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini amekubali kutia saini makubaliano ya mwisho ya mkataba wa amani na serikali ya Juba ambayo yatamaliza mgogoro wa muda mrefu wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Riek Machar akataa kusaini rasimu ya makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Riek Machar akataa kusaini rasimu ya makubaliano ya amani Sudan Kusini

    Aug 28, 2018 07:46

    Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini, amekataa kutia sahihi rasimu ya hivi karibuni ya mkataba wa amani na serikali ya Juba ambayo ingemaliza mgogoro wa miaka mingi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS