-
Machar aikosoa Kenya kwa kumtimua msemaji wake
Nov 05, 2016 00:06Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini ameijia juu serikali ya Kenya kwa kumtimua nchini humo msemaji wake James Gatdet Dak na kusisitiza kuwa hatua hiyo imekiuka Hati ya makubaliano ya Geneva.
-
Uhuru: Kenya haijutii kuwaondoa wanajeshi wake Sudan Kusini
Nov 03, 2016 12:57Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema taifa hilo halijuti kwa uamuzi wake wa kuwaondoa wanajeshi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki walioko Sudan Kusini chini ya mwavuli wa kikosi maalumu cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa (UNMISS).
-
Umoja wa Mataifa wakiri vikosi vyake kushindwa kuwalinda raia Sudani Kusini
Nov 02, 2016 04:32Umoja wa Mataifa umetangaza na kukiri kwamba, vikosi vyake vya kulinda amani huko Sudani Kusini vilishindwa kuwalinda raia katika mji mkuu Juba wakati wa mapigano baina ya pande mbili mwezi Julai mwaka huu.
-
Kuongezeka vitendo vya utumiaji mabavu na ukatili nchini Sudan Kusini
Oct 31, 2016 01:11Katika hali ambayo asasi za kimataifa zinafanya juhudi za kuhitimisha vitendo vya ukatili nchini Sudan Kusini, bado wimbi la vitendo hivyo vingali vinaendelea nchini humo.
-
Zaidi ya watoto 100 wanaotumika vitani Sudan Kusini wakombolewa
Oct 27, 2016 01:59Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza habari ya kukombolewa zaidi ya watoto wadogo 100 waliokuwa wanatumika vitani nchini Sudan Kusini.
-
Salva Kiir awaonya wafanyao fujo Sudan Kusini
Oct 24, 2016 00:29Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewaonya wafanyao fujo na wanaozusha machafuko ya kikabila nchini humo.
-
UN: Makampuni ya Silaha ya Israel yanachochea vita Sudan Kusini
Oct 21, 2016 04:36Jopo la Umoja wa Mataifa limepata ushahidi wa kuwepo mitandao ya silaha yenye makazi Israel na Ulaya Mashariki ambao inachochea vita vinavyoendelea sasa huko Sudan Kusini.
-
Raia Sudan Kusini waendelea kuuawa ovyo
Oct 21, 2016 00:48Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wametangaza kuwa, raia wasiopungua 15 wameuawa katika kijiji kimoja kilichoko karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.
-
Riek Machar: Nitarejea Sudan Kusini liwe liwalo
Oct 18, 2016 04:46Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar amesema karibuni hivi atarejea nchini mwake akisitiza kuwa angali Makamu wa Rais wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
-
Onyo la Rais wa Sudan Kusini kwa kiongozi wa waasi
Oct 17, 2016 06:36Rais wa Sudan Kusini amemuonya Riek Machar kiongozi wa waasi wa nchi hiyo na kumtaka ajiweke kando na siasa pamoja na madaraka.