-
Machar: Nataka kukutana na Rais Zuma wa Afrika Kusini
Oct 17, 2016 00:59Makamu wa rais wa zamani na kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini amesema anataka kuonana ana kwa ana na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ili amueleze 'mambo nyeti' juu ya mgogoro wa kisiasa na mapigano yanayoendelea katika nchi yake.
-
JMEC yalaani machafuko ya ndani Sudan Kusini
Oct 14, 2016 04:34Kamisheni ya kusimamia na kufuatilia makubaliano ya amani nchini Sudan Kusini, JMEC imekosoa vikali machafuko na ukandamizaji wa haki za binaadamu unaoendela kufanyika katika nchi hiyo.
-
Rais wa Sudan Kusini akanusha uvumi kuwa ameuawa
Oct 13, 2016 04:20Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amelazimika kujitokeza hadharani kukanusha uvumi ulioenea nchini humo kwamba ameuawa.
-
Kiongozi wa waasi Sudan Kusini aelekea Afrika Kusini
Oct 12, 2016 12:24Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini ambaye alikimbilia Khartoum baada ya mapigano makali yaliyotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba, Julai mwaka huu baina ya wafuasi wake na jeshi la serikali ya Rais Salva Kiir, ameondoka Sudan na kuelekea Afrika Kusini.
-
UN yaitaka Sudan Kusini ikubali kutumwa askari 4000 wa kieneo
Oct 12, 2016 04:10Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka Sudan Kusini itekeleze ahadi iliyotoa, ya kukubali makubaliano ya kimataifa ya kutumwa askari 4,000 wa kieneo nchini humo.
-
Madaktari nchini Sudan wafanya mgomo kulalamikia maslahi yao ya kazi
Oct 07, 2016 00:55Madaktari nchini Sudan wamefanya mgomo kuishinikiza serikali ya nchi hiyo kuboresha maslahi yao ya kazi.
-
Mjumbe wa Machar: IGAD inachochea machafuko S/Kusini
Oct 04, 2016 04:36Mpambe wa karibu wa Riek Machar, makamu wa zamani wa rais wa Sudan Kusini ameielekezea kidole cha lawala Jumuiya ya Ushirikiano wa Kieneo ya Mashariki mwa Afrika IGAD kutokana na machafuko na mapigano yanayoshudiwa katika nchi hiyo changa zaidi duniani.
-
Umoja wa Mataifa: Hali ya wakimbizi wa Yei Sudan Kusini ni mbaya mno
Sep 30, 2016 11:18Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na hali mbaya wanayokabiliwa nayo wakimbizi katika mji wa Yei wa Sudan Kusini.
-
Sudan yaunga mkono kutumwa wanajeshi wa Kiafrika nchini Sudan Kusini
Sep 28, 2016 03:39Serikali ya Sudan imesema kuwa inaunga mkono kutumwa wanajeshi wa kulinda amani wa Kiafrika huko Sudan Kusini.
-
Tangazo la vita la Riek Machar dhidi ya serikali ya Sudan Kusini
Sep 26, 2016 08:43Makamu wa zamani wa Rais wa Sudan Kusini amesema kuwa, makubaliano ya amani na serikali ya Rais Salva Kiir hayana itibari yoyote na hivyo amewataka wafuasi wake kuanzisha vita upya.