Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Sudan Kusini yailaumu Marekani kwa kuendelea kuiwekea vikwazo

    Sudan Kusini yailaumu Marekani kwa kuendelea kuiwekea vikwazo

    Sep 24, 2016 01:19

    Serikali ya Sudan Kusini imeilaumu Marekani kwa siasa zake zisizo sahihi kuhusiana na nchi hiyo na kusema, Juba inahitajia misaada mbalimbali ikiwemo ya silaha na si vikwazo.

  • Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne

    Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne

    Sep 22, 2016 00:48

    Sudan imetangaza kuwa inawahifadhi wakimbizi wa Sudan Kusini karibu laki nne ambao wamelazimika kuikimbia nchi yao kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Sep 21, 2016 10:31

    Duru za nchini Sudan zimekosoa upuuzaji unaofanywa na Sudan Kusini katika kuwadhibiti waasi waliopo katika maeneo ya mipaka ya nchi mbili hizo.

  • Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo

    Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo

    Sep 13, 2016 23:01

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimearifu kuhusu kufukuzwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 huko mashariki kaskazini mwa Kongo.

  • Kiir, Machar wajitajirisha huku vita vikiendelea Sudan Kusini

    Kiir, Machar wajitajirisha huku vita vikiendelea Sudan Kusini

    Sep 13, 2016 02:07

    Wanasiasa wa Sudan Kusini wamepata utajiri wa mamilioni ya dola wakiwa pamoja na familia zao huku raia wa kawaida wakiendelea kupoteza maisha na kupata masaibu kutokana na kuendelea vita na njaa nchini humo.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuhusika jeshi la Sudan Kusini katika machafuko

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuhusika jeshi la Sudan Kusini katika machafuko

    Sep 09, 2016 08:49

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.

  • UN: Jeshi la Sudan Kusini ndilo linaloongoza machafuko yanayojiri nchini humo

    UN: Jeshi la Sudan Kusini ndilo linaloongoza machafuko yanayojiri nchini humo

    Sep 09, 2016 03:29

    Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.

  • MONUSCO: Kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini katika ardhi ya DRC

    MONUSCO: Kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini katika ardhi ya DRC

    Sep 08, 2016 23:10

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO) kimetangaza kuwa, kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini waliokimbilia nchini humo.

  • Marekani: Hatutaki Riek Machar arejee madarakani nchini Sudan Kusini

    Marekani: Hatutaki Riek Machar arejee madarakani nchini Sudan Kusini

    Sep 08, 2016 09:37

    Serikali ya Marekani imeweka wazi azma yake ya kutofurahishwa kurejea madarakani kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar.

  • Sudan Kusini yakubali askari wengine 4,000 wa kulinda amani wa UN

    Sudan Kusini yakubali askari wengine 4,000 wa kulinda amani wa UN

    Sep 05, 2016 03:09

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameafiki kutumwa askari wengine zaidi 4,000 wa kulinda amani baada ya kuwa awali alikataa kutumwa kikosi cha kieneo kwa madai kuwa ni ukiukwaji wa haki ya kujitawala nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS