-
Sudan Kusini yailaumu Marekani kwa kuendelea kuiwekea vikwazo
Sep 24, 2016 01:19Serikali ya Sudan Kusini imeilaumu Marekani kwa siasa zake zisizo sahihi kuhusiana na nchi hiyo na kusema, Juba inahitajia misaada mbalimbali ikiwemo ya silaha na si vikwazo.
-
Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne
Sep 22, 2016 00:48Sudan imetangaza kuwa inawahifadhi wakimbizi wa Sudan Kusini karibu laki nne ambao wamelazimika kuikimbia nchi yao kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini
Sep 21, 2016 10:31Duru za nchini Sudan zimekosoa upuuzaji unaofanywa na Sudan Kusini katika kuwadhibiti waasi waliopo katika maeneo ya mipaka ya nchi mbili hizo.
-
Wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 wafukuzwa Kongo
Sep 13, 2016 23:01Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimearifu kuhusu kufukuzwa wakimbizi wa Sudan Kusini zaidi ya 600 huko mashariki kaskazini mwa Kongo.
-
Kiir, Machar wajitajirisha huku vita vikiendelea Sudan Kusini
Sep 13, 2016 02:07Wanasiasa wa Sudan Kusini wamepata utajiri wa mamilioni ya dola wakiwa pamoja na familia zao huku raia wa kawaida wakiendelea kupoteza maisha na kupata masaibu kutokana na kuendelea vita na njaa nchini humo.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuhusika jeshi la Sudan Kusini katika machafuko
Sep 09, 2016 08:49Umoja wa Mataifa umesema kuwa, jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.
-
UN: Jeshi la Sudan Kusini ndilo linaloongoza machafuko yanayojiri nchini humo
Sep 09, 2016 03:29Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Sudan Kusini lina mkono katika machafuko yanayojiri nchini humo.
-
MONUSCO: Kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini katika ardhi ya DRC
Sep 08, 2016 23:10Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO) kimetangaza kuwa, kuna maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini waliokimbilia nchini humo.
-
Marekani: Hatutaki Riek Machar arejee madarakani nchini Sudan Kusini
Sep 08, 2016 09:37Serikali ya Marekani imeweka wazi azma yake ya kutofurahishwa kurejea madarakani kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar.
-
Sudan Kusini yakubali askari wengine 4,000 wa kulinda amani wa UN
Sep 05, 2016 03:09Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameafiki kutumwa askari wengine zaidi 4,000 wa kulinda amani baada ya kuwa awali alikataa kutumwa kikosi cha kieneo kwa madai kuwa ni ukiukwaji wa haki ya kujitawala nchi hiyo.