Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Viongozi wa kidini Sudan Kusini wataka kutumwa wanajeshi Juba

    Viongozi wa kidini Sudan Kusini wataka kutumwa wanajeshi Juba

    Sep 04, 2016 02:50

    Viongozi wa kidini huko Sudan Kusini wametaka kutumwa vikosi vya jeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.

  • Wajumbe wa  Baraza la Usalama la UN wako  Sudan Kusini

    Wajumbe wa Baraza la Usalama la UN wako Sudan Kusini

    Sep 03, 2016 02:31

    Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamewasili Juba, Sudan Kusini tayari kwa ziara ya siku tatu katika nchi hiyo inayokumbwa na machafuko ya ndani.

  • Sudan yatiwa wasi wasi na kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo

    Sudan yatiwa wasi wasi na kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo

    Sep 01, 2016 03:26

    Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Sudan imeonyesha wasi wasi wake juu ya hatua ya kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo.

  • Wanadiplomasia wa Baraza la Usalama kuelekea Sudan Kusini

    Wanadiplomasia wa Baraza la Usalama kuelekea Sudan Kusini

    Aug 31, 2016 23:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan Kusini amesema leo kuwa wanadiplomasia wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa watafanya ziara nchini humo siku chache zijazo.

  • Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika

    Aug 31, 2016 03:28

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kusaidia kutatua mgogoro wa wakimbizi unaotokana na vita vya ndani nchini Sudan Kusini kwa uzito ule ule ambao wanakabiliana na wimbi la wakimbizi katika nchi za Ulaya.

  • Sudan Kusini yakosoa kutoroshwa nchini humo  Riek Machar

    Sudan Kusini yakosoa kutoroshwa nchini humo Riek Machar

    Aug 29, 2016 09:46

    Waziri wa Habari wa Sudan Kusini ameeleza kuwa hatua ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kufanikisha kuondoka Juba Riek Machar Makamu wa zamani wa Rais wa Sudan Kusini ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

  • Sudan Kusini yailalamikia Congo DR kwa kushiriki kumtoa Juba Riek Machar

    Sudan Kusini yailalamikia Congo DR kwa kushiriki kumtoa Juba Riek Machar

    Aug 27, 2016 23:56

    Serikali ya Sudan Kusini imeilalamikia rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kile ilichokitaja kuwa kushiriki nchi hiyo kumtoa mjini Juba na kumsafirisha Riek Machar hasimu wa kisiasa wa Rais Salva Kiir.

  • Kisingizio cha Marekani cha kutaka kuwepo kijeshi Sudan Kusini

    Kisingizio cha Marekani cha kutaka kuwepo kijeshi Sudan Kusini

    Aug 25, 2016 09:38

    Marekani imedai kuwa kuwepo wanajeshi wake huko Sudan Kusini kutasaidia kuhitimisha machafuko ya kisaisa na mashambulizi ya wabeba silaha nchini humo.

  • Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Aug 24, 2016 10:50

    Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.

  • Sudan Kusini yatakiwa kuheshimu makubaliano ya amani

    Sudan Kusini yatakiwa kuheshimu makubaliano ya amani

    Aug 24, 2016 03:21

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amewata viongozi wa Sudan Kusini waheshimu na kufungamana na makubaliano ya kusaka amani ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS