-
Viongozi wa kidini Sudan Kusini wataka kutumwa wanajeshi Juba
Sep 04, 2016 02:50Viongozi wa kidini huko Sudan Kusini wametaka kutumwa vikosi vya jeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.
-
Wajumbe wa Baraza la Usalama la UN wako Sudan Kusini
Sep 03, 2016 02:31Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamewasili Juba, Sudan Kusini tayari kwa ziara ya siku tatu katika nchi hiyo inayokumbwa na machafuko ya ndani.
-
Sudan yatiwa wasi wasi na kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo
Sep 01, 2016 03:26Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Sudan imeonyesha wasi wasi wake juu ya hatua ya kuendelea kuingia wakimbizi wa Sudan Kusini nchini humo.
-
Wanadiplomasia wa Baraza la Usalama kuelekea Sudan Kusini
Aug 31, 2016 23:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan Kusini amesema leo kuwa wanadiplomasia wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa watafanya ziara nchini humo siku chache zijazo.
-
Mwito wa Umoja wa Mataifa wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa wakimbizi Afrika
Aug 31, 2016 03:28Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kusaidia kutatua mgogoro wa wakimbizi unaotokana na vita vya ndani nchini Sudan Kusini kwa uzito ule ule ambao wanakabiliana na wimbi la wakimbizi katika nchi za Ulaya.
-
Sudan Kusini yakosoa kutoroshwa nchini humo Riek Machar
Aug 29, 2016 09:46Waziri wa Habari wa Sudan Kusini ameeleza kuwa hatua ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya kufanikisha kuondoka Juba Riek Machar Makamu wa zamani wa Rais wa Sudan Kusini ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Sudan Kusini yailalamikia Congo DR kwa kushiriki kumtoa Juba Riek Machar
Aug 27, 2016 23:56Serikali ya Sudan Kusini imeilalamikia rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kile ilichokitaja kuwa kushiriki nchi hiyo kumtoa mjini Juba na kumsafirisha Riek Machar hasimu wa kisiasa wa Rais Salva Kiir.
-
Kisingizio cha Marekani cha kutaka kuwepo kijeshi Sudan Kusini
Aug 25, 2016 09:38Marekani imedai kuwa kuwepo wanajeshi wake huko Sudan Kusini kutasaidia kuhitimisha machafuko ya kisaisa na mashambulizi ya wabeba silaha nchini humo.
-
Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini
Aug 24, 2016 10:50Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.
-
Sudan Kusini yatakiwa kuheshimu makubaliano ya amani
Aug 24, 2016 03:21Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amewata viongozi wa Sudan Kusini waheshimu na kufungamana na makubaliano ya kusaka amani ya nchi hiyo.