Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Iran: Vikosi vamizi vya Marekani viondoke Syria mara moja

    Iran: Vikosi vamizi vya Marekani viondoke Syria mara moja

    Mar 25, 2022 21:53

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikosi vya Marekani na waitifaki wake vinapaswa kuondoka Syria haraka iwezekanavyo.

  • Ziara ya tatu ya Amir-Abdollahian nchini Syria katika kipindi cha miezi 7

    Ziara ya tatu ya Amir-Abdollahian nchini Syria katika kipindi cha miezi 7

    Mar 25, 2022 04:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Hossein Amir-Abdollahian, Jumatano, tarehe 23 Machi alitembelea kwa mara ya tatu nchi ya Syria katika kipindi cha miezi 7 iliyopita.

  • Iran yalaani shambulio la roketi la Israel dhidi ya Damascus, Syria

    Iran yalaani shambulio la roketi la Israel dhidi ya Damascus, Syria

    Mar 09, 2022 06:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulizi la roketi la utawala haramu wa Israel dhidi ya mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Mar 06, 2022 01:19

    Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (SVR) imesema katika taarifa yake ya siku ya Ijumaa kwamba Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh (ISIS) katika kituo cha Al-Tanf nchini Syria ili wapelekwe Ukraine.

  • Feisal Miqdad: NATO imevuruga uthabiti wa dunia

    Feisal Miqdad: NATO imevuruga uthabiti wa dunia

    Mar 02, 2022 20:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema Russia ina haki ya kuchukua hatua za kukabiliana na sera za NATO kujipenyeza ukanda wa mashariki na kuongeza kuwa, NATO sasa imegeuka kuwa hatari kwa dunia. Amesema majeshi ya Russia na Syria yanakabiliwa na tishio la NATO.

  • Kukosoa Syria na Iran vikao vya Baraza la Usalama kuhusu faili la silaha za kemikali la Damascus

    Kukosoa Syria na Iran vikao vya Baraza la Usalama kuhusu faili la silaha za kemikali la Damascus

    Mar 02, 2022 20:29

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na faili la silaha za kemikali la Syria kilifanyika hivi karibuni na kukabiliwa na ukosoaji mkubwa wa wawakilishi wa Syria na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na utendaji wa kindumakuwili katika vikao hivyo.

  • Shamkhani: Kuweko wanajeshi wa Marekani ndicho kikwazo cha kupatikana amani Syria

    Shamkhani: Kuweko wanajeshi wa Marekani ndicho kikwazo cha kupatikana amani Syria

    Feb 27, 2022 22:53

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwepo wanajeshi vamizi wa Marekani nchini Syria ndicho kikwazo kikuu cha kupatikana amani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ravanchi: Utawala wa Syria haupaswi kudhoofishwa kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi

    Ravanchi: Utawala wa Syria haupaswi kudhoofishwa kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi

    Feb 26, 2022 04:17

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, kuwepo kinyume cha sheria majeshi ya kigeni katika baadhi ya maeneo ya Syria kumetayarisha mazingira ya harakati na shughuli za makundi ya kigaidi nchini Syria.

  • Israel yashambulia kwa makombora mashariki mwa Qunaitra, kusini mwa Syria

    Israel yashambulia kwa makombora mashariki mwa Qunaitra, kusini mwa Syria

    Feb 23, 2022 03:42

    Duru za habari nchini Syria zimetangaza kuwa, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameshambulia kwa makombora maeneo ya karibu na mji wa Qunaitra nchini Syria.

  • Syria yazuia mashambulio ya Wazayuni dhidi yake

    Syria yazuia mashambulio ya Wazayuni dhidi yake

    Feb 09, 2022 04:00

    Vyanzo vya Syria vimeripoti leo alfajiri kwamba mifumo ya ulinzi wa anga ya nchi hiyo imefanikiwa kuzuia mashambulio yaliyofanywa na utawala ghasibu wa Israel kuulenga mji mkuu wa nchi hiyo Damascus.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS