Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Jeshi katili la Israel laua watu 15 wa familia moja wakiwemo watoto 9 Az-Zawayda, Ghaza

    Jeshi katili la Israel laua watu 15 wa familia moja wakiwemo watoto 9 Az-Zawayda, Ghaza

    Aug 17, 2024 07:03

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wasiopungua 16 wakiwemo jamaa 15 wa familia moja, tisa kati yao wakiwa ni watoto wadogo, katika shambulizi la kinyama lililolenga watu waliolazimika kuhama makazi yao katika eneo la Az-Zawayda katikati mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Syria: Israel yenyewe imeshambulia Majdal Shams ili kupata kisingizio cha kupanua vita

    Syria: Israel yenyewe imeshambulia Majdal Shams ili kupata kisingizio cha kupanua vita

    Jul 28, 2024 23:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulio katika eneo la Majdal Shams lililoko kwenye Miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu ili kuhalalisha lengo lake la kutaka kupanua wigo wa vita na uvamizi wake wa kijeshi katika eneo.

  • Vladimir Putin atahadharisha kuhusu hali mbaya ya Asia Magharibi

    Vladimir Putin atahadharisha kuhusu hali mbaya ya Asia Magharibi

    Jul 25, 2024 07:50

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuhusu hali inayozidi kutokota ya eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Rais Assad atilia mkazo kuimarishwa zaidi uhusiano wa kimkakati kati ya nchi yake na Iran

    Rais Assad atilia mkazo kuimarishwa zaidi uhusiano wa kimkakati kati ya nchi yake na Iran

    Jul 23, 2024 03:48

    Rais wa Syria Bashar Assad ametilia mkazo kuimarishwa zaidi uhusiano na kuimarishwa ushirikiano na uratibu baina ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga mbalimbali.

  • Shambulio la utawala wa Kizayuni huko Damascus, Syria

    Shambulio la utawala wa Kizayuni huko Damascus, Syria

    Jul 14, 2024 02:33

    Mtu mmoja ameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulio la jeshi la Kizayuni huko Damascus, mji mkuu wa Syria.

  • Msisitizo wa Iran wa kuondoka bila masharti Marekani kutoka Syria

    Msisitizo wa Iran wa kuondoka bila masharti Marekani kutoka Syria

    Jun 26, 2024 03:28

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, ni jambo la dharura kwa vikosi vya Marekani kuondoka kikamilifu, kwa haraka na bila masharti kutoka Syria na kwamba, hatua hiyo ni muhimu kwa ajili ya amani na utulivu wa nchi hiiyo ya Kiarabu.

  • Saudia yateua balozi wake nchini Syria baada ya zaidi ya muongo mmoja

    Saudia yateua balozi wake nchini Syria baada ya zaidi ya muongo mmoja

    May 27, 2024 08:27

    Saudi Arabia imetangaza kuteua balozi wake mpya nchini Syria ikiwa ni balozi wake wa kwanza baada ya zaidi ya muongo mmoja tangu ilipositisha uhusiano wake na serikali yar ais Bashar al-Assad.

  • Kaimu Rais: Iran itaendelea kuunga mkono kambi ya muqawama

    Kaimu Rais: Iran itaendelea kuunga mkono kambi ya muqawama

    May 23, 2024 07:32

    Kaimu Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuunga mkono kikamilifu kambi ya muqawama.

  • Russia yatangaza, imeharibu kambi 2 za magaidi nchini Syria

    Russia yatangaza, imeharibu kambi 2 za magaidi nchini Syria

    May 06, 2024 07:12

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa imeharibu kambi mbili za magaidi wanaosaidiwa na Marekani huko magharibi mwa Syria.

  • Rais wa Syria: Mshikamano wa nchi za Kiarabu unapelekea kupatikana utulivu katika eneo

    Rais wa Syria: Mshikamano wa nchi za Kiarabu unapelekea kupatikana utulivu katika eneo

    Apr 28, 2024 23:36

    Rais wa Syria amesema kuwa kuwepo mshikamamo baina ya nchi za Kiarabu na kutekeleza hatua za pamoja kutapelekea kupatikana amani na uthabiti katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS