Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Pakistan yatuhumiwa kuunga mkono na kuisaidia Taliban katika mapigano ya Panjshir

    Pakistan yatuhumiwa kuunga mkono na kuisaidia Taliban katika mapigano ya Panjshir

    Sep 07, 2021 07:26

    Sambamba na kuripotiwa habari zenye kugongana kuhusu kutekwa mkoa wa Panjshir nchini Afghanistan, kambi ya wapinzani katika mkoa huo imeituhumu Pakistan kuwa imeliunga mkono na kulisaidia kundi la Taliban katika mapigano ya eneo hilo.

  • Mpango wa Taliban wa kubadilisha katiba ya Afghanistan

    Mpango wa Taliban wa kubadilisha katiba ya Afghanistan

    Sep 07, 2021 01:18

    Mmoja wa wanachama wa Baraza la Uongozi la Taliban amesema kuna tofauti kubwa kati ya mfumo wa siasa wa zamani na wa sasa wa kundi hilo na kwamba siasa mpya za kundi hilo haziwezi kulinganishwa hata kidogo na za zamani.

  • Mullah Hassan Akhund apendekezwa na Taliban kuwa rais mpya wa Afghanistan

    Mullah Hassan Akhund apendekezwa na Taliban kuwa rais mpya wa Afghanistan

    Sep 06, 2021 10:31

    Baadhi ya vyombo vya habari vya Pakistan vimetangaza kuwa, kundi la Taliban la Afghanistan limempendekeza Mullah Hassan Akhund kuwa rais wa baadaye wa nchi hiyo.

  • EU yataja masharti ya kuwa na mawasiliano na Taliban

    EU yataja masharti ya kuwa na mawasiliano na Taliban

    Sep 04, 2021 10:18

    Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amedai kuwa EU haitalitambua rasmi kundi la Taliban, na badala yake amelipa kundi hilo masharti matano ya kuweza kuwa na mawasiliano nalo, eti kwa maslahi ya wananchi wa Afghanistan.

  • Ahmad Masoud asisitiza kuendelea kupambana na kundi la Taliban

    Ahmad Masoud asisitiza kuendelea kupambana na kundi la Taliban

    Sep 04, 2021 07:59

    Ahmad Masoud, Kiongozi wa Waafghanistan wanaolipinga kundi la Taliban ametoa mwito wa kuendelezwa mapambano dhidi ya kundi hilo.

  • Msimamo wa Pakistan kuhusu masharti ya msaada wa jamii ya kimataifa kwa Taliban huko Afghanistan

    Msimamo wa Pakistan kuhusu masharti ya msaada wa jamii ya kimataifa kwa Taliban huko Afghanistan

    Sep 02, 2021 11:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa kundi la Taliban linaweza kupatiwa misaada ya kimataifa kwa sharti kwamba liheshimu vipengee mbalimbali vya haki za binadamu.

  • Moscow: Tunataraji silaha za Wamarekani hazitatumika katika vita vya ndani  Afghanistan

    Moscow: Tunataraji silaha za Wamarekani hazitatumika katika vita vya ndani Afghanistan

    Aug 31, 2021 03:39

    Mjumbe Maalumu wa Rais wa Russia katika Masuala ya Afghanistan ameeleza wasiwasi wake kuhusu idadi kubwa ya silaha zililizoachwa na wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan na kusema kuwa kuna uwezekano Moscow ikashiriki katika kujenga upya uchumi wa nchi hiyo.

  • Kukaribia uundwaji wa serikali mpya ya Afghanistan

    Kukaribia uundwaji wa serikali mpya ya Afghanistan

    Aug 31, 2021 02:23

    Msemaji wa kundi la Taliban ametangaza kuwa, serikali mpya ya Afghanistan itaundwa katika kipindi cha wiki mbili zijazo.

  • Johnson: Tutaendelea kufanya mazungumzo na Taliban

    Johnson: Tutaendelea kufanya mazungumzo na Taliban

    Aug 28, 2021 08:11

    Waziri Mkuu wa Uingereza amesema hakuna uhusiano wowote kati ya Daesh na Taliban na kueleza kuwa serikali ya Uingereza itaendelea kufanya mazungumzo na kundi la Taliban.

  • Mazungumzo ya Mkuu wa CIA na Mullah Baradar; kielelezo cha uhusiano wa siri wa Marekani na Taliban

    Mazungumzo ya Mkuu wa CIA na Mullah Baradar; kielelezo cha uhusiano wa siri wa Marekani na Taliban

    Aug 25, 2021 09:46

    Gazeti la Washington Post limeandika katika toleo lake la jana Jumanne kuwa Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA William Burns amekutana na kufanya mazungumzo kwa njia ya siri na Mkuu wa Kisiasa wa Taliban Mullah Abdul Ghani Baradar, katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS