Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tehran

  • Safari ya Mogherini Tehran, mashauriano kuhusu masuala ya kieneo

    Safari ya Mogherini Tehran, mashauriano kuhusu masuala ya kieneo

    Oct 29, 2016 13:03

    Federica Mogherini Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya leo asubuhi amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Muhammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu masuala ya pande mbili, matukio ya kieneo na kimataifa.

  • Kadhim Siddiqi: Taifa la Iran lilisimama imara mbele ya uchokozi na dhulma ya madola makubwa

    Kadhim Siddiqi: Taifa la Iran lilisimama imara mbele ya uchokozi na dhulma ya madola makubwa

    Sep 23, 2016 14:02

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa kurejesha amani na uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati kunategemea kuwepo vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Ayatullah Khatami: Saudia ni chimbuko la magaidi wa Daesh (ISIS)

    Sep 16, 2016 14:56

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema jinai za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh au ISIS zinatokana na fikra za kuwakufurisha Waislamu ambazo zinatawala Saudi Arabia.

  • Zarif na Cavusoglu wajadili masuala ya kieneo

    Zarif na Cavusoglu wajadili masuala ya kieneo

    Aug 19, 2016 16:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Mevlut Cavusoglu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran na Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa muda wa masaa matano.

  • Ayatullah Khatami: Marekani na Saudia zinataka kulifufua kundi la kigaidi la MKO

    Ayatullah Khatami: Marekani na Saudia zinataka kulifufua kundi la kigaidi la MKO

    Aug 19, 2016 16:35

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran amesema kuliunga mkono kundi la kigaidi la Munafiqina ndio mpango mpya wa mabeberu na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya taifa la Iran.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran alaani jinai za Aal Saud nchini Yemen

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran alaani jinai za Aal Saud nchini Yemen

    Jul 29, 2016 16:34

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud huko Yemen na kusema kuwa vitendo vya utawala huo vinakinzana na sheria za kimataifa na za Kiislamu.

  • Iran yatibua shambulizi la kigaidi dhidi ya Tehran

    Iran yatibua shambulizi la kigaidi dhidi ya Tehran

    Jun 20, 2016 07:04

    Vyombo vya usalama nchini Iran vimetibua njama ya kutekelezwa shambulizi la kigaidi hapa mjini Tehran na kuwatia mbaroni watuhumiwa kadhaa wa njama hizo za kigaidi.

  • Maadhimisho ya mwaka wa 27 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA

    Maadhimisho ya mwaka wa 27 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA

    Jun 03, 2016 14:53

    Sehemu ya umati mkubwa wa watu walioshiriki katika kumbukumbu ya mwaka wa 27 wa kufariki dunia Imam Khomeini MA zilizofanyika Ijumaa, Juni 3, 2016, katika haram ya mwasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kusini mwa Tehran

  • Siku ya Afrika inaadhimishwa leo mjini Tehran

    Siku ya Afrika inaadhimishwa leo mjini Tehran

    May 25, 2016 07:31

    Sherehe za kuadhimisha Siku ya Afrika zinafanyika leo hapa mjini Tehran katika ofisi ya utafiti wa kisiasa na kimataifa ya Wizara ya Mambo ya Nje.

  • Vifaa vya tiba vya Iran vinauzwa katika nchi 44 duniani

    Vifaa vya tiba vya Iran vinauzwa katika nchi 44 duniani

    May 16, 2016 16:07

    Katibu wa Umoja wa Wasafirishaji Nje Vifaa vya Tiba vya Iran amesema kuwa, Tehran inauza vifaa vyake vya tiba kwa nchi 44 duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS