-
Zarif: Hakuna kizuizi cha kuimarisha uhusiano wa Iran na Tunisia
Jun 20, 2017 07:58Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna kitu kinachoweza kuzuia au kukwamisha kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa Iran na Tunisia.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran barani Afrika
Jun 18, 2017 03:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo (Jumapili) anaanza ziara ya kuzitembelea nchi za Algeria, Mauritania na Tunisia.
-
Mwanasiasa Tunisia: Mzingiro wa Waarabu dhidi ya Qatar ni ishara ya kufeli Arab League
Jun 16, 2017 15:25Nizar Ayyad mjumbe wa ngazi ya juu wa chama cha Nida nchini Tunisia amesema kuwa, kitendo cha kuzingirwa na kuwekewa vikwazo taifa la Qatar, ni ishara ya wazi ya kushindwa vibaya Saudia, Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Watu 78 wamejeruhiwa katika ghasia za kikabila kusini mwa Tunisia
Jun 11, 2017 04:26Gavana wa eneo la Qibli kusini mwa Tunisia ametangaza kuwa watu 78 wamejeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea jana katika eneo hilo.
-
Kesi ya watuhumiwa 26 wa ugaidi yasikilizwa nchini Tunisia
May 27, 2017 06:45Mahakama moja nchini Tunisia imesikiliza kesi ya watuhumiwa 26 wa mashambulizi ya kigaidi yaliyowalenga watalii nchini humo.
-
Jeshi la Tunisia lafyatua risasi angani kuwatawanya waandamanaji
May 21, 2017 03:32Jeshi la Tunisia limefyatua risasi angani kuwatawanay waandamanaji waliokuwa wanajribu kuzuia uchimbaji gesi katika mkoa wa Tatatouine kusini mwa nchi hiyo.
-
Wananchi waandamana Tunisia kupinga msahama kwa mafisadi
May 14, 2017 07:32Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tunis kupinga muswada ambao ukipasishwa na kuwa sheria, maafisa wa serikali wanaopatikana na hatia ya ufisadi watafutiwa makosa mkabala wa kurejesha mali walizopora kwa dola.
-
Waziri wa Mambo ya Ndani Tunisia: Magaidi 3000 wa Kitunisia wako nje ya nchi
Apr 22, 2017 07:06Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tunisia amesema kuwa, magaidi 3000 za Kitunisia wako katika nchi za Syria, Libya na maeneo mengine duniani.
-
Jeshi la Tunisia latumia mizinga kushambulia maficho ya magaidi
Apr 19, 2017 15:55Kikosi cha mizinga cha jeshi la wananchi wa Tunisia kimeshambulia maficho ya magaidi kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Ufaransa katika jitihada za kupanua mahusiano yake na Tunisia
Apr 10, 2017 03:39Katika safari yake katika nchi za kaskazini mwa Afrika, Waziri Mkuu wa Ufaransa amejadili njia za kuanzisha na kuongeza ushirikiano katika uga wa kiuchumi na kuchunguza masuala mbalimbali ikiwemo migogoro ya kieneo.