Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Kundi la kigaidi lenye uhusiano na Daesh laangamizwa Tunisia

    Kundi la kigaidi lenye uhusiano na Daesh laangamizwa Tunisia

    Apr 12, 2016 23:48

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imesema kuwa imelikamata kundi moja la kigaidi katika mkoa wa Bizerte kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Tunisia: Tumejiweka imara kukabiliana na ugaidi wa kitakfiri

    Tunisia: Tumejiweka imara kukabiliana na ugaidi wa kitakfiri

    Mar 24, 2016 23:16

    Serikali ya Tunisia imetangaza kuchukua hatua maalumu kwa ajili ya kukabiliana na wimbi la magaidi wa kitakfiri nchini humo.

  • Kikao cha nchi jirani na Libya huko Tunisia

    Kikao cha nchi jirani na Libya huko Tunisia

    Mar 21, 2016 11:44

    Kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika huko Tunisia. Kanali ya televisheni ya al Aalam imeripoti kuwa kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika leo katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia.

  • Genge lenye mfungamano na Daesh laangamizwa Tunisia

    Genge lenye mfungamano na Daesh laangamizwa Tunisia

    Mar 16, 2016 03:52

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imetangaza kuwa imegundua na kuliangamiza genge moja lenye mfungamano na kundi la kigaidi ma kitakfiri la Daesh katika eneo la Zaafaran katikati mwa nchi hiyo.

  • Tunisia: Wananchi changieni sehemu ya mshahara kukabili ugaidi

    Tunisia: Wananchi changieni sehemu ya mshahara kukabili ugaidi

    Mar 13, 2016 13:06

    Waziri Mkuu wa Tunisia amewataka wafanyakazi wa umma na wananchi wote kwa jumla kuchangia sehemu ya mishahara yao kwenda kwenye hazina maalumu ya kupambana na harakati za ugaidi nchini humo.

  • Libya yakanusha tuhuma za Rais wa Tunisia

    Libya yakanusha tuhuma za Rais wa Tunisia

    Mar 09, 2016 10:54

    Msemaji wa serikali ya Libya amekanusha madai ya Rais wa Tunisia kuwa nchi hiyo inazalisha magaidi wanaofanya mashambulizi nchi nyingine.

  • Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Mar 09, 2016 04:26

    Jeshi la Tunisia limesema kuwa limefanikiwa kuangamiza wanamgambo wengine watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Watu wasiopungua 30 wauawa katika mapigano kusini mwa Tunisia

    Watu wasiopungua 30 wauawa katika mapigano kusini mwa Tunisia

    Mar 07, 2016 12:48

    Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya jeshi la Tunisia na magaidi yaliyotokea kwenye mji Ben Guerdan ulioko karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Libya.

  • Kuwa tayari Tunisia kukabiliana na ongezeko la machafuko Libya

    Kuwa tayari Tunisia kukabiliana na ongezeko la machafuko Libya

    Feb 14, 2016 10:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia amesema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na ongezeko la machafuko huko Libya.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS