Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais

  • Ushindi wa mgombea wa kujitegemea katika uchaguzi wa Rais nchini Tunisia

    Ushindi wa mgombea wa kujitegemea katika uchaguzi wa Rais nchini Tunisia

    Oct 14, 2019 09:04

    Duru ya pili ya uchaguzi wa Rais nchini Tunisia ilifanyika jana Jumapili na matokeo yasiyo rasmi yanaonyesha kuwa, mgombea wa kujitegemea Kais Saied ameibuka na ushindi kwa kujipatia asilimia 75 ya kura.

  • Buhari akadhibisha uvumi, asema hatagombea tena kiti cha rais Nigeria

    Buhari akadhibisha uvumi, asema hatagombea tena kiti cha rais Nigeria

    Oct 03, 2019 03:59

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amekadhibisha uvumi unaosambazwa nchini humo kupitia mitandao ya kijamii ukidai kwamba, ana nia ya kugombea tena kiti hicho kwa mara ya tatu.

  • An-Nahdhah yatangaza kumuunga mkono Kais Saied katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Tunisia

    An-Nahdhah yatangaza kumuunga mkono Kais Saied katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Tunisia

    Sep 20, 2019 10:24

    Harakati ya Kiislamu ya An-Nahdhah ya nchini Tunisia imetangaza kuwa, itamuunga mgombea wa kujitegemea Profesa Kais Saied katika duru ya pili ya kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Uchaguzi wa Rais wa Tunisia na changamoto zake

    Uchaguzi wa Rais wa Tunisia na changamoto zake

    Sep 14, 2019 07:05

    Wananchi wa Tunisia kesho Jumapili wataelekea kwenye masanduku ya kupigia kura katika uchaguzi wa mapema kumchagua rais wao wa baadaye miongoni mwa wagombea 26 wa kiti hicho ikiwa zimepita siku 50 tangu kuaga dunia Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia.

  •  Mgombea urais wa Jumapili ya kesho Tunisia aendelea kushikiliwa mahabusu

    Mgombea urais wa Jumapili ya kesho Tunisia aendelea kushikiliwa mahabusu

    Sep 13, 2019 22:37

    Mahakama ya Rufaa ya Tunisia imekataa ombi la mgombea urais katika kinyang'anyiro cha Jumapili ya kesho, Nabil Karoui la kuachiwa huru kwa ajili ya kushiriki katika uchaguzi huo.

  • Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia kugombea kiti cha urais

    Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia kugombea kiti cha urais

    Aug 06, 2019 20:54

    Rais na Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia wametangaza kuwa watagombea kiti cha urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Tunisia yatangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa Rais

    Tunisia yatangaza rasmi tarehe ya uchaguzi wa Rais

    Jul 31, 2019 22:27

    Viongozi wa Tunisia wametangaza rasmi tarehe 15 mwezi Septemba kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo kufuatia kuaga dunia Rais wa nchi hiyo, Beji Caid Essebsi.

  • Algeria; kuendelea mgogoro au kufanya harakati katika njia ya demokrasia?

    Algeria; kuendelea mgogoro au kufanya harakati katika njia ya demokrasia?

    Mar 12, 2019 22:55

    Baada ya wiki kadhaa za malalamiko, maandamanao na kushadidi hali hiyo katika siku za hivi karibuni baada ya Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kutangaza kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tano mtawalia, hatimaye kiongozi huyo amefutilia mbali uamuzi wake huo.

  • Mamia ya watu watiwa nguvuni Nigeria kwa uhalifu unaohusiana na uchaguzi

    Mamia ya watu watiwa nguvuni Nigeria kwa uhalifu unaohusiana na uchaguzi

    Mar 06, 2019 03:55

    Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa, imewatia nguvuni zaidi ya watu 300 kwa tuhuma za kufanya uhalifu unaohusiana na uchaguzi wa mkuu uliofanyika mwezi uliopita.

  • Kushinda tena Urais

    Kushinda tena Urais "Muhammadu Buhari" na kibarua kigumu anachokabiliwa nacho

    Feb 27, 2019 22:59

    Tume ya Uchaguzi ya Nigeria jana ilitangaza rasmi kuwa Muhammadu Buhari ameibuka mshindi baada ya kumbwaga mshindani wake mkuu Atiku Abubakar na hivyo kupata fursa ya kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS