Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mgombea urais Ufaransa akosoa siasa za kupenda vita za Rais wa Marekani

    Mgombea urais Ufaransa akosoa siasa za kupenda vita za Rais wa Marekani

    Apr 18, 2017 21:59

    Mgombea urais wa chama cha mrengo wa kati kulia wa Ufaransa ameutaja mwenendo na mielekeo ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni hatari sana na tishio kwa amani na usalama wa dunia.

  • Mgombea urais Ufaransa: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni kitendo cha jinai

    Mgombea urais Ufaransa: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni kitendo cha jinai

    Apr 10, 2017 02:39

    Mgombea urais wa Ufaransa kwa tiketi ya chama cha mrengo wa kushoto amesema kuwa mashambulizi yaliyofanywa siku chache zilizopita na Marekani dhidi ya Syria ni kitendo cha jinai na kisicho cha kuwajibuka na kwamba Rais wa nchi hiyo, Donald Trump amefanya makosa makubwa.

  • Ufaransa katika jitihada za kupanua mahusiano yake na Tunisia

    Ufaransa katika jitihada za kupanua mahusiano yake na Tunisia

    Apr 09, 2017 23:09

    Katika safari yake katika nchi za kaskazini mwa Afrika, Waziri Mkuu wa Ufaransa amejadili njia za kuanzisha na kuongeza ushirikiano katika uga wa kiuchumi na kuchunguza masuala mbalimbali ikiwemo migogoro ya kieneo.

  • Ufaransa inaiuzia Saudia silaha za kuwaulia raia waliodhulumiwa wa Yemen

    Ufaransa inaiuzia Saudia silaha za kuwaulia raia waliodhulumiwa wa Yemen

    Mar 21, 2017 11:31

    Rais wa Ufaransa ametoa kibali cha kuuzia silaha utawala wa Aal Saud na hivyo kuuchochea waziwazi utawala huo kuendelea kuwauwa wananchi wa wasio na ulinzi na waliodhulumika wa Yemen.

  • Kuundwa kundi shirikishi kwa ajili ya kupambana na wahajiri haramu

    Kuundwa kundi shirikishi kwa ajili ya kupambana na wahajiri haramu

    Mar 16, 2017 00:46

    Serikali za Uhispania, Ufaransa na Niger zimeunda muungano wa pamoja kwa ajili ya kupambana ipasavyo na kadhia ya wahajiri haramu na magendo ya binaadamu.

  • Bunge la Ufaransa lamtaka Rais  Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina

    Bunge la Ufaransa lamtaka Rais Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina

    Feb 27, 2017 04:09

    Wabunge wa Ufaransa wamemtaka Rais wa nchi hiyo Francois Hollande aitambue rasmi Palestina.

  • Assad: Ufaransa inabeba dhima ya mauaji ya raia nchini Syria

    Assad: Ufaransa inabeba dhima ya mauaji ya raia nchini Syria

    Feb 17, 2017 23:09

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema hatua ya Ufaransa ya kuyaunga mkono magenge ya kigaidi yanayoendesha harakati dhidi ya vikosi vya serikali ya Damascus na wananchi imechangia moja kwa moja mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Algeria yafungua mashtaka dhidi ya Ufaransa, kisa majaribio ya silaha za nyukia

    Algeria yafungua mashtaka dhidi ya Ufaransa, kisa majaribio ya silaha za nyukia

    Feb 14, 2017 04:25

    Baada ya kupita zaidi ya nusu karne tangu wakoloni wa Kifaransa waondoke Algeria, taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya nchi hiyo imetangaza kuwa imefungua mashtaka dhidi ya Ufaransa kutokana na hasara zilizosababishwa na majaribio ya silaha za nyuklia ya nchi hiyo katika ardhi ya Algeria.

  • Ufaransa na Ujerumani zahofia uwezekano wa kuvunjika Umoja wa Ulaya

    Ufaransa na Ujerumani zahofia uwezekano wa kuvunjika Umoja wa Ulaya

    Feb 14, 2017 04:03

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ametaka kuwepo na mshikamano mkubwa zaidi kati ya nchi yake na Ujerumani kwa ajili ya kukabiliana na hatari ya kuvunjika Umoja wa Ulaya (EU).

  • Algeria yaishitaki Ufaransa kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia

    Algeria yaishitaki Ufaransa kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia

    Feb 13, 2017 03:03

    Taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya Algeria imeifungulia mashtaka serikali ya Ufaransa kutokana na hasara zilizosababishwa na majaribio ya nyuklia yaliyofanywa na nchi hiyo katika ardhi ya Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS