-
Mgombea urais Ufaransa akosoa siasa za kupenda vita za Rais wa Marekani
Apr 18, 2017 21:59Mgombea urais wa chama cha mrengo wa kati kulia wa Ufaransa ameutaja mwenendo na mielekeo ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni hatari sana na tishio kwa amani na usalama wa dunia.
-
Mgombea urais Ufaransa: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni kitendo cha jinai
Apr 10, 2017 02:39Mgombea urais wa Ufaransa kwa tiketi ya chama cha mrengo wa kushoto amesema kuwa mashambulizi yaliyofanywa siku chache zilizopita na Marekani dhidi ya Syria ni kitendo cha jinai na kisicho cha kuwajibuka na kwamba Rais wa nchi hiyo, Donald Trump amefanya makosa makubwa.
-
Ufaransa katika jitihada za kupanua mahusiano yake na Tunisia
Apr 09, 2017 23:09Katika safari yake katika nchi za kaskazini mwa Afrika, Waziri Mkuu wa Ufaransa amejadili njia za kuanzisha na kuongeza ushirikiano katika uga wa kiuchumi na kuchunguza masuala mbalimbali ikiwemo migogoro ya kieneo.
-
Ufaransa inaiuzia Saudia silaha za kuwaulia raia waliodhulumiwa wa Yemen
Mar 21, 2017 11:31Rais wa Ufaransa ametoa kibali cha kuuzia silaha utawala wa Aal Saud na hivyo kuuchochea waziwazi utawala huo kuendelea kuwauwa wananchi wa wasio na ulinzi na waliodhulumika wa Yemen.
-
Kuundwa kundi shirikishi kwa ajili ya kupambana na wahajiri haramu
Mar 16, 2017 00:46Serikali za Uhispania, Ufaransa na Niger zimeunda muungano wa pamoja kwa ajili ya kupambana ipasavyo na kadhia ya wahajiri haramu na magendo ya binaadamu.
-
Bunge la Ufaransa lamtaka Rais Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina
Feb 27, 2017 04:09Wabunge wa Ufaransa wamemtaka Rais wa nchi hiyo Francois Hollande aitambue rasmi Palestina.
-
Assad: Ufaransa inabeba dhima ya mauaji ya raia nchini Syria
Feb 17, 2017 23:09Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema hatua ya Ufaransa ya kuyaunga mkono magenge ya kigaidi yanayoendesha harakati dhidi ya vikosi vya serikali ya Damascus na wananchi imechangia moja kwa moja mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Algeria yafungua mashtaka dhidi ya Ufaransa, kisa majaribio ya silaha za nyukia
Feb 14, 2017 04:25Baada ya kupita zaidi ya nusu karne tangu wakoloni wa Kifaransa waondoke Algeria, taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya nchi hiyo imetangaza kuwa imefungua mashtaka dhidi ya Ufaransa kutokana na hasara zilizosababishwa na majaribio ya silaha za nyuklia ya nchi hiyo katika ardhi ya Algeria.
-
Ufaransa na Ujerumani zahofia uwezekano wa kuvunjika Umoja wa Ulaya
Feb 14, 2017 04:03Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ametaka kuwepo na mshikamano mkubwa zaidi kati ya nchi yake na Ujerumani kwa ajili ya kukabiliana na hatari ya kuvunjika Umoja wa Ulaya (EU).
-
Algeria yaishitaki Ufaransa kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia
Feb 13, 2017 03:03Taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya Algeria imeifungulia mashtaka serikali ya Ufaransa kutokana na hasara zilizosababishwa na majaribio ya nyuklia yaliyofanywa na nchi hiyo katika ardhi ya Algeria.