Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Waziri wa Elimu Ufaransa akosoa marufuku ya vazi la burqini

    Waziri wa Elimu Ufaransa akosoa marufuku ya vazi la burqini

    Aug 26, 2016 11:37

    Waziri wa Elimu nchini Ufaransa, Najat Vallaud-Belkacem amekosoa marufuku ya vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kwa jina la 'Burqini' ambalo lilikatazwa hivi karibuni na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Manuel Valls.

  • Mfanyabiashara wa Kifaransa ajitolea kulipa faini za wanawake Waislamu wanaovaa Burkini

    Mfanyabiashara wa Kifaransa ajitolea kulipa faini za wanawake Waislamu wanaovaa Burkini

    Aug 23, 2016 23:44

    Rashid Nakaz, mfanyabiashara tajiri na mwanaharakati wa kisiasa wa Ufaransa ametangaza kuwa atalipa faini wanazotozwa wanawake Waislamu wanaovaa vazi la kuogelea linalojulikana kwa jina la Burkini.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Waziri Mkuu wa Ufaransa aunga mkono marufuku ya 'burqini'

    Aug 17, 2016 23:09

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ameunga mkono hatua ya mameya wa miji minne nchini humo kupiga marufuku vazi la stara la kuogelea linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu linalofahamika kama 'burqini'.

  • Hollande: Tutatumia kila njia kukabiliana na magaidi wa Daesh

    Hollande: Tutatumia kila njia kukabiliana na magaidi wa Daesh

    Jul 26, 2016 12:19

    Rais Francois Hollande wa Ufaransa amesema serikali yake itatafanya kila liwezekanalo ili kukomesha kikamilifu mashambulizi na harakati za kundi la kigaidi na kitakfiri la Desh (ISIS) nchini humo.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa aonya kuhusu hujuma dhidi ya Waislamu nchini humo

    Waziri Mkuu wa Ufaransa aonya kuhusu hujuma dhidi ya Waislamu nchini humo

    Jul 21, 2016 23:49

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ameonya kuhusu hatari ya kuhujumiwa Waislamu wanaoishi nchini humo.

  • Waziri Mkuu Ufaransa: Kuna hatari Waislamu wakashambuliwa

    Waziri Mkuu Ufaransa: Kuna hatari Waislamu wakashambuliwa

    Jul 21, 2016 02:14

    Waziri Mkuu wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu hatari ya kushambuliwa Waislamu nchini humo.

  • Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Jul 20, 2016 23:18

    Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka nchini Ufaransa na mara hii ni katika mji wa Lyon.

  • Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Jul 18, 2016 09:30

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema Uislamu hauna uhusiano na ugaidi na kuongeza kuwa kile kinachodaiwa kuwa ni 'Ugaidi wa Kiislamu' ni fikra ya Wamagharibi ambao wanaunga mkono kundi la kigaidi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya wakufurishaji.

  • Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Jul 16, 2016 02:18

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) zimelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika katika mji wa Nice nchini Ufaransa.

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi la Nice, Ufaransa

    Iran yalaani shambulio la kigaidi la Nice, Ufaransa

    Jul 15, 2016 11:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyosababisha vifo katika mji wa Nice nchini Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS