Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • FAO yatoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu nchini Uganda

    FAO yatoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu nchini Uganda

    Aug 31, 2017 09:51

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuweko uwekezaji wa kudumu katika nchi ya Uganda iliyoko katika eneo la Afrika Mashariki.

  • Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Uganda yafungua kambi mpya kwa ajili ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Aug 16, 2017 23:42

    Uganda imefungua kambi mpya kwa ajili ya kuwapokea maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaozidi kumiminika kila uchao katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  •  Uganda yakadhibisha kutuma wanajeshi wake huko Kenya

    Uganda yakadhibisha kutuma wanajeshi wake huko Kenya

    Aug 14, 2017 22:01

    Serikali ya Uganda imekadhibisha madai kuwa ina nia ya kutuma wanajeshi wake huko Kenya ili kusaidia polisi wa nchi hiyo katika oparesheni za kulinda usalama baada ya kumalizika uchaguzi mkuu nchini humo.

  • Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda

    Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda

    Aug 04, 2017 10:36

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Iran na Uganda zina vyanzo vingi vya utajiri na kwamba, kuna fursa nyingi za kushirikiana Tehran na Kampala.

  • Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Jul 31, 2017 11:05

    Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, askari 12 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab kusini mwa Somalia.

  • Iran na Uganda zasisitiza kukuza zaidi ushirikiano baina yao

    Iran na Uganda zasisitiza kukuza zaidi ushirikiano baina yao

    Jul 30, 2017 03:37

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda zimesisitiza juu ya kustawisha zaidi ushirikiano baina yao katika nyanja mbalimbali.

  • Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab

    Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab

    Jul 15, 2017 23:45

    Serikali ya Uganda imesema kuwa imetuma wanajeshi wake elfu mbili huko Somalia ili kuendesha mapambano dhidi ya wanamgambo wa al Shabab wenye makao yao nchini Somalia.

  • Rais Kenyatta asema kisiwa cha Migingo ni milki ya Kenya, Uganda bado inadai inakimiliki

    Rais Kenyatta asema kisiwa cha Migingo ni milki ya Kenya, Uganda bado inadai inakimiliki

    Jul 12, 2017 10:28

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kisiwa cha Migingo katika Ziwa Viktoria ni milki ya Kenya.

  • Uongozi mbaya, sababu ya mgogoro wa wawakimbizi barani Afrika

    Uongozi mbaya, sababu ya mgogoro wa wawakimbizi barani Afrika

    Jun 24, 2017 02:43

    Viongozi wa nchi za Afrika wamesema kuwa, uongozi mbaya wa watawala wa bara hilo ndio unaoitishwa Afrika mgogoro wa wakimbizi.

  • CAR kukumbwa na mgogoro wa kiuchumi kwa kuondoka wanajeshi wa Uganda

    CAR kukumbwa na mgogoro wa kiuchumi kwa kuondoka wanajeshi wa Uganda

    May 24, 2017 23:57

    Eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati litakumbwa na mgogoro wa kiuchumi baada ya wanajeshi wa Uganda kuondoka katika eneo hilo. Wanajeshi hao wa UPDF walikuwa wametumwa nchini humo kupambana na waasi wa Kikristo wa LRA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS