Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Kampala yatangazwa kuwa mji bora zaidi Afrika Mashariki

    Kampala yatangazwa kuwa mji bora zaidi Afrika Mashariki

    Feb 25, 2016 01:58

    Utafiti uliofanywa na taasisi ya Mercer unaonyesha kuwa, jiji la Kampala nchini Uganda ndilo bora zaidi kwa ajili ya kuishi katika eneo la Afrika Mashariki.

  • Obasanjo ataka upinzani na serikali kuzungumza Uganda

    Obasanjo ataka upinzani na serikali kuzungumza Uganda

    Feb 23, 2016 00:08

    Serikali na upinzani nchini Uganda zimetakiwa kukomesha uhasama wa kisiasa na badala yake zikae kwenye meza ya mazungumzo na kutatua hitilafu zilizoko kwa amani.

  • Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda

    Museveni; mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Uganda

    Feb 22, 2016 03:40

    Tume ya Uchaguzi ya Uganda juzi alasiri ilitangaza kuwa Yoweri Museveni ni Rais Mpya wa nchi hiyo baada ya kushinda zaidi ya asilimia 60 ya kura na hivyo kumshinda mpinzani wake mkuu Dakta Kiiza Besigye.

  • Shaka ya waangalizi wa Ulaya kuhusu usahihi wa uchaguzi wa Uganda

    Shaka ya waangalizi wa Ulaya kuhusu usahihi wa uchaguzi wa Uganda

    Feb 21, 2016 04:30

    Waangalizi wa Ulaya wamesema kuwa Tume ya Uchaguzi ya Uganda haikuwa huru katika uchaguzi wa hivi karibuni.

  • Museveni ashinda urais Uganda, upinzani wakataa matokeo

    Museveni ashinda urais Uganda, upinzani wakataa matokeo

    Feb 20, 2016 09:53

    Tume ya uchaguzi ya Uganda imemtangaza Yoweri Kaguta Museveni kuwa mshindi wa kiti cha rais kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya Alhamisi.

  • Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda

    Jeshi la Uganda lafelisha mashambulio ya al Shabab, laua makamanda

    Feb 19, 2016 23:38

    Wanajeshi wa Uganda wanaoshiriki kwenye operesheni za kijeshi za kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia wamefanikiwa kuvunja mashambulio mawili ya kundi la kigaidi la al shabab katika kambi za AU kama ambavyo wamefanikiwa pia kuua makamanda wawili wa kundi hilo katika siku chache zilizopita.

  • Polisi Uganda: Besigye ataachiwa huru baada ya kutangazwa matokeo

    Polisi Uganda: Besigye ataachiwa huru baada ya kutangazwa matokeo

    Feb 19, 2016 11:35

    Polisi nchini Uganda imesema itaendelea kumzuilia mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha FDC, Dakta Kizza Besigye na kwamba huenda akaachiwa huru hapo kesho baada ya matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais na bunge kutangazwa.

  • Mbabazi: Nitaheshimu matokeo kama yatakuwa ya haki

    Mbabazi: Nitaheshimu matokeo kama yatakuwa ya haki

    Feb 19, 2016 04:24

    Waziri Mkuu wa zamani wa Uganda, Amama Mbabazi amesema atakubali matokeo ya uchaguzi endapo kutakuweko uwazi katika mchakato mzima wa kuhesabu kura.

  • Museveni aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Uganda

    Museveni aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Uganda

    Feb 19, 2016 00:08

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Uganda yanaonyesha kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama tawala cha NRM, Yoweri Kaguta Museveni anaongoza kwa kupata kura nyingi zaidi zilizohesabiwa.

  • Kura zaanza kuhesabiwa Uganda, mitandao ya kijamii yafungwa

    Kura zaanza kuhesabiwa Uganda, mitandao ya kijamii yafungwa

    Feb 18, 2016 13:12

    Uchaguzi wa rais na bunge nchini Uganda ambao ulianza saa moja asubuhi leo kwa saa za nchi hiyo katika vituo vingi vya kupiga kura umemalizika saa moja jioni bila kuripotiwa visa vikubwa vya uhalifu na uchakachuaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS