-
UN: Wapalestina Gaza wanahitaji chanjo haraka ili kuzuia polio
Jul 31, 2024 02:40Katika jitihada za kuzuia janga la ugonjwa wa polio huko Gaza, mashirika ya misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa jana Jumanne yalikariri wito wa kufanyika jitihada za kimataifa za kuutaka utawala wa Israel usitishe vita ili kuruhusu kampeni kubwa ya utoaji chanjo kuanza.
-
Idadi ya waliofariki kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Ethiopia yafikia watu 400
Dec 02, 2023 10:33Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limetangaza kuwa, mripuko wa kipindupindu unaoendelea nchini Ethiopia, hadi hivi sasa umeshasababisha vifo vya zaidi ya watu 400 kufikia sasa.
-
WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia
Aug 13, 2023 02:55Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema limeongeza hatua za dharura ili kuokoa maisha na kuzuia maambukizi zaidi ya kipindupindu nchini Somalia baada ya watu 30 kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo tangu Januari mwaka huu.
-
Indhari kuhusu magonjwa yanayotokana na maji Somalia baada ya mvua kubwa
Apr 15, 2023 02:23Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kwamba mafuriko ya ghafla yaliiyotokea Somalia yanaweza kusababisha milipuko ya magonjwa yanayotokana na maji.
-
Madaktari Kenya watahadharisha kuhusu aina mpya za magonjwa ya zinaa
Apr 03, 2023 09:52Madaktari wamewataka Wakenya kuwa na tahadhari baada ya kugunduliwa aina mbili mpya za magonjwa ya zinaa (STIs).
-
Ugonjwa usiojulikana wazua wasiwasi mkoani Kagera, Tanzania, waua watu watano
Mar 17, 2023 07:02Serikali ya Tanzania imetoa tahadhari juu ya uwepo wa ugonjwa ambao bado haujajulikana Mkoani Kagera katika Wilaya ya Bukoba Vijijini ambapo watu 7 wanasadikika walipata dalili za homa, kutapika, kutokwa damu maeneo mbalimbali ya mwili na figo kushindwa kufanya kazi.
-
UNICEF: Mlipuko wa kipindupindu unatishia maisha ya watoto nchini Malawi
Mar 08, 2023 03:01Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) imesema kufikia tarehe 26 Februari mwaka huu, kesi 48,815 za kipindupindu na vifo 1,5471 vimesajiliwa nchini Malawi. Ripoti hiyo imesema kesi 12,293 na vifo 203 kati ya watoto ziliripotiwa kwa jumla nchini Malawi kufikia Februari 19, 2023.
-
Wizara ya Afya ya Yemen: Uvamizi na mzingiro umesababisha magonjwa ya kuambukiza
Dec 28, 2022 04:20Msemaji wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema hatua ya muungano vamizi wa Saudi Arabia ya kutekeleza hujuma za kikatili na mzingiro wa ukandamizaji dhidi ya watu wa Yemen imesababisha kuenea magonjwa mbalimbali ya kuambukiza nchini humo.
-
DRC yaangamiza ugonjwa wa meningitis Tshopo
Dec 25, 2021 08:42Hatimaye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC imetangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo au meningitis katika jimbo la Tshopo kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo, umetokomezwa.
-
Watu tisa wapoteza maisha kufuatia mlipuko wa kipindupindu DRC
Dec 18, 2021 12:57Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu umepelekea watu wasiopungua tisa kupoteza maisha katika jimbo la Haut-Lomami, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.