Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugonjwa

  • Namna Ghaza inavyowabebesha jinamizi la kiafya wanajeshi wa Israel

    Namna Ghaza inavyowabebesha jinamizi la kiafya wanajeshi wa Israel

    Sep 16, 2025 02:17

    Makumi ya wanajeshi wa utawala wa wa Kizayuni wa Israel waliovamia Ghaza wameambukizwa magonjwa ya ngozi ya kuambukiza.

  • Ugonjwa wa kipindupindu wauwa watu 63 mashariki mwa Chad

    Ugonjwa wa kipindupindu wauwa watu 63 mashariki mwa Chad

    Aug 27, 2025 02:27

    Watu wasiopungua 63 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Ouaddai mashariki mwa Chad tangu katikati ya mwezi Julai mwaka huu. Taraifa hii imetolewa na Wizara ya Afya ya nchi hiyo.

  • UN: Wapalestina Gaza wanahitaji chanjo haraka ili kuzuia polio

    UN: Wapalestina Gaza wanahitaji chanjo haraka ili kuzuia polio

    Jul 31, 2024 02:40

    Katika jitihada za kuzuia janga la ugonjwa wa polio huko Gaza, mashirika ya misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa jana Jumanne yalikariri wito wa kufanyika jitihada za kimataifa za kuutaka utawala wa Israel usitishe vita ili kuruhusu kampeni kubwa ya utoaji chanjo kuanza.

  • Idadi ya waliofariki kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Ethiopia yafikia watu 400

    Idadi ya waliofariki kutokana na mripuko wa kipindupindu nchini Ethiopia yafikia watu 400

    Dec 02, 2023 10:33

    Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limetangaza kuwa, mripuko wa kipindupindu unaoendelea nchini Ethiopia, hadi hivi sasa umeshasababisha vifo vya zaidi ya watu 400 kufikia sasa.

  • WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia

    WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia

    Aug 13, 2023 02:55

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema limeongeza hatua za dharura ili kuokoa maisha na kuzuia maambukizi zaidi ya kipindupindu nchini Somalia baada ya watu 30 kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo tangu Januari mwaka huu.

  • Indhari kuhusu magonjwa yanayotokana na maji Somalia baada ya mvua kubwa

    Indhari kuhusu magonjwa yanayotokana na maji Somalia baada ya mvua kubwa

    Apr 15, 2023 02:23

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kwamba mafuriko ya ghafla yaliiyotokea Somalia yanaweza kusababisha milipuko ya magonjwa yanayotokana na maji.

  • Madaktari Kenya watahadharisha kuhusu aina mpya za magonjwa ya zinaa

    Madaktari Kenya watahadharisha kuhusu aina mpya za magonjwa ya zinaa

    Apr 03, 2023 09:52

    Madaktari wamewataka Wakenya kuwa na tahadhari baada ya kugunduliwa aina mbili mpya za magonjwa ya zinaa (STIs).

  • Ugonjwa usiojulikana wazua wasiwasi mkoani Kagera, Tanzania, waua watu watano

    Ugonjwa usiojulikana wazua wasiwasi mkoani Kagera, Tanzania, waua watu watano

    Mar 17, 2023 07:02

    Serikali ya Tanzania imetoa tahadhari juu ya uwepo wa ugonjwa ambao bado haujajulikana Mkoani Kagera katika Wilaya ya Bukoba Vijijini ambapo watu 7 wanasadikika walipata dalili za homa, kutapika, kutokwa damu maeneo mbalimbali ya mwili na figo kushindwa kufanya kazi.

  • UNICEF: Mlipuko wa kipindupindu unatishia maisha ya watoto nchini Malawi

    UNICEF: Mlipuko wa kipindupindu unatishia maisha ya watoto nchini Malawi

    Mar 08, 2023 03:01

    Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) imesema kufikia tarehe 26 Februari mwaka huu, kesi 48,815 za kipindupindu na vifo 1,5471 vimesajiliwa nchini Malawi. Ripoti hiyo imesema kesi 12,293 na vifo 203 kati ya watoto ziliripotiwa kwa jumla nchini Malawi kufikia Februari 19, 2023.

  • Wizara ya Afya ya Yemen: Uvamizi na mzingiro umesababisha magonjwa ya kuambukiza

    Wizara ya Afya ya Yemen: Uvamizi na mzingiro umesababisha magonjwa ya kuambukiza

    Dec 28, 2022 04:20

    Msemaji wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema hatua ya muungano vamizi wa Saudi Arabia ya kutekeleza hujuma za kikatili na mzingiro wa ukandamizaji dhidi ya watu wa Yemen imesababisha kuenea magonjwa mbalimbali ya kuambukiza nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS