• Nasrullah: Misimamo ya kuchupa mipaka inataka kuchafua taswira halisi ya Uislamu

    Nasrullah: Misimamo ya kuchupa mipaka inataka kuchafua taswira halisi ya Uislamu

    Dec 23, 2016 12:54

    Katibu Mkuu wa Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema harakati za magenge ya kigaidi na kitakfiri yanayofanya jinai za kutisha eneo la Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika hazina mafungamano yoyote na Uislamu na shakhsia wake mbora na mtukufu, Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza

    Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza

    Dec 21, 2016 01:01

    Wimbi na hujuma na propaganda chafu dhidi ya Uislamu limeshika kasi zaidi na kulitia wasiwasi Baraza la Waislamu nchini Uingereza.

  • Mwislamu mwingine auawa Marekani kutokana na chuki za kidini

    Mwislamu mwingine auawa Marekani kutokana na chuki za kidini

    Dec 12, 2016 04:43

    Habari kutoka jimbo la California nchini Marekani zinasema kuwa raia mmoja wa nchi hiyo wa dini ya Kiislamu ameuawa nje ya msikiti katika tukio jingine linalodhihirisha chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.

  • Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke

    Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke

    Nov 16, 2016 04:25

    Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu imempa heshima kubwa sana mwanamke na kutukuza nafasi yake muhimu katika jamii.

  • Velayati: Ushindi unapatikana chini ya kivuli cha umoja

    Velayati: Ushindi unapatikana chini ya kivuli cha umoja

    Oct 24, 2016 23:29

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu amesema kuwa, mahudhurio makubwa ya maulamaa wa Suni na Shia kutoka nchi mbalimbali katika Mkutano wa Mwamko wa Kiislamu uliofanyika nchini Iraq sambamba na operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwenye makucha ya magaidi wa Daesh ni ujumbe mkubwa kwamba ushindi unapatikana katika kivuli cha umoja na mshikamano wa Waislamu.

  • Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Utafiti: Uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani

    Aug 17, 2016 09:36

    Utafiti uliofanywa na kituo cha utafiti cha Pew Research Center cha Marekani umeonyesha kuwa, Uislamu utasalia kuwa dini yenye kukuwa kwa kasi zaidi duniani katika kipindi cha miongo kadhaa ijayo.

  • Papa: Si sahihi kuufananisha Uislamu na utumiaji mabavu

    Papa: Si sahihi kuufananisha Uislamu na utumiaji mabavu

    Aug 01, 2016 02:49

    Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amekosoa propaganda zinazoendeshwa dhidi ya dini ya Uislamu kufuatia mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni huko Ulaya yaliyodaiwa kutekelezwa na magaidi wa kitakfiri wa Daesh na kueleza kuwa, si haki na ni makosa kuufanisha Uislamu na utumiaji mabavu na ugaidi.

  • Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Chuki dhidi ya Uislamu zaongezeka nchini Ufaransa

    Jul 20, 2016 23:18

    Vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka nchini Ufaransa na mara hii ni katika mji wa Lyon.

  • Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Jun 17, 2016 09:52

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran ameyatolea mwito mataifa yote ya Waislamu kushikamana na kuwa kitu kimoja mbele ya njama za ustikbari na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya Dini Tukufu ya Uislamu.

  • Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Ivory Coast yasisitiza, Uislamu ni dini ya amani

    Jun 17, 2016 00:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ivory Coast ametilia mkazo udharura wa kupambana na ugaidi na kusema kuwa Uislamu ni dini ya amani na suluhu.