-
Kiongozi Muadhamu: Ulimwengu wa ukafiri umekusudia kuufuta utambulisho wa Kiislamu
Apr 27, 2017 11:33Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa kuufahamu na kuufanyia kazi usuli wa Qur'ani wa "Kumwamini Mwenyezi Mungu na kumpinga Shetani" kutaupa izza na heshima umma wa Kiislamu na akaongezea kwa kusema hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia.
-
Hizbullah: Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mhuishaji halisi wa Uislamu
Apr 04, 2017 23:39Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kiongozi wa kipekee katika zama hizi na mhuishaji halisi wa Uislamu kifikra na kivitendo.
-
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani apinga vikali suala la kunasibishwa Uislamu na ugaidi
Feb 19, 2017 10:48Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amekosoa vikali propaganda chafu na hasi zinazofanywa dhidi ya Uislamu pamoja na dini nyingine.
-
Siku ya Hijabu ya Waridi yaadhimishwa nchini Tanzania
Feb 04, 2017 13:28Sherehe ya kuadhimisha Siku ya Hijabu ya Waridi imefanyika leo mjini Dar es Salaam, Tanzania kwa ushirikiano wa ofisi ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Morocco yaanza kutekeleza mfumo wa Benki za Kiislamu
Jan 05, 2017 01:04Serikali ya Morocco imejiunga na mfumo wa Benki za Kiislamu kwa kuanzisha benki tano za Kiislamu nchini humo.
-
SAUTI: Aliyemtukana Mtume Muhammad SAW Zanzibar azidi kulaaniwa
Jan 01, 2017 02:51Wiki hii, Waislamu wa visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla wameshtushwa na kulaani vikali kutukanwa Bwana Mtume Muhamma SAW visiwani humo.
-
Nasrullah: Misimamo ya kuchupa mipaka inataka kuchafua taswira halisi ya Uislamu
Dec 23, 2016 12:54Katibu Mkuu wa Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema harakati za magenge ya kigaidi na kitakfiri yanayofanya jinai za kutisha eneo la Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika hazina mafungamano yoyote na Uislamu na shakhsia wake mbora na mtukufu, Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Hujuma dhidi ya Uislamu yashika kasi nchini Uingereza
Dec 21, 2016 01:01Wimbi na hujuma na propaganda chafu dhidi ya Uislamu limeshika kasi zaidi na kulitia wasiwasi Baraza la Waislamu nchini Uingereza.
-
Mwislamu mwingine auawa Marekani kutokana na chuki za kidini
Dec 12, 2016 04:43Habari kutoka jimbo la California nchini Marekani zinasema kuwa raia mmoja wa nchi hiyo wa dini ya Kiislamu ameuawa nje ya msikiti katika tukio jingine linalodhihirisha chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
-
Al Azhar: Uislamu umempa heshima kubwa mwanamke
Nov 16, 2016 04:25Mkuu wa Chuo Kikuu cha al Azhar cha Misri amesema kuwa, dini tukufu ya Kiislamu imempa heshima kubwa sana mwanamke na kutukuza nafasi yake muhimu katika jamii.