Aug 14, 2022 02:28
Ukame unaendelea kusini mwa nchi ya Ulaya ya Uhispania. Ukame huo umepelekea kukauka maji katika maeneo hayo, njaa na kupungua kipato cha wakazi wake ambao wanategemea sana kilimo na utalii. Ukame huo umezusha wasiwasi pia wa kutokea vita vya ndani baina ya jamii za watu mbalimbali wa nchi hiyo.