Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Ombi la Ulaya kwa China, mshaurini Putin asitishe vita Ukraine

    Ombi la Ulaya kwa China, mshaurini Putin asitishe vita Ukraine

    Dec 02, 2022 22:53

    Charles Michel, Rais wa Baraza la Ulaya, amekutana na kuzungumza na Rais Xi Jinping katika ziara yake rasmi nchini China. Katika mkutano huu, Michel alimwomba Xi kutumia ushawishi wa Beijing kwa Russia ili kusitisha vita nchini Ukraine.

  • Nchi za Ulaya za Mediterenia zimeshindwa kuzuia kutokea majanga ya baharini

    Nchi za Ulaya za Mediterenia zimeshindwa kuzuia kutokea majanga ya baharini

    Nov 29, 2022 23:37

    Mkuu wa ofisi ya Masuala ya Bahari katika shirika la World Nature Foundation amesema kuwa nchi za Ulaya za Mediterenia zimeshindwa kuzuia kutokea majanga ya baharini.

  • NATO: Ulaya inakabiliwa na 'wakati mgumu' kwa kuipa himaya Ukraine

    NATO: Ulaya inakabiliwa na 'wakati mgumu' kwa kuipa himaya Ukraine

    Nov 28, 2022 03:23

    Katibu Mkuu wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) amekiri kuwa, kuiunga mkono Ukraine katika vita dhidi ya Russia kumezipelekea nchi za Ulaya kukumbwa na matatizo mengi ukiwemo mfumko wa bei.

  • Iran ni ya 10 duniani kwa kuzalisha magari madogo; yazipiku Uingereza na Ufaransa

    Iran ni ya 10 duniani kwa kuzalisha magari madogo; yazipiku Uingereza na Ufaransa

    Nov 24, 2022 04:05

    Shirikisho la watengeza magari barani Ulaya limeitangaza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa taifa la kumi duniani kwa kuzalisha na kutengeneza magari madogo.

  • Morocco yazuia wahajiri 56,000 kwenda Ulaya kupitia Mediterania

    Morocco yazuia wahajiri 56,000 kwenda Ulaya kupitia Mediterania

    Nov 14, 2022 07:37

    Mamlaka za Morocco zimetangaza kuwa zimezima majaribio ya makumi ya maelfu ya wahamiaji haramu waliojaribu kuvuka bahari ya Mediterania kuelekea Ulaya.

  • IEF: Bei ya mafuta kupindukia dola 100 kwa pipa

    IEF: Bei ya mafuta kupindukia dola 100 kwa pipa

    Nov 02, 2022 22:59

    Jukwaa la Kimataifa la Nishati (IEF) limesema bei ya mafuta itapindukia dola 100 kwa pipa kutokana na utekelezaji wa vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia.

  • IOM: Idadi ya vifo vya wahajiri kuelekea Ulaya imeongezeka zaidi mwaka huu

    IOM: Idadi ya vifo vya wahajiri kuelekea Ulaya imeongezeka zaidi mwaka huu

    Oct 26, 2022 04:07

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kwamba idadi ya vifo vya watu wanaotafuta hifadhi imeongezeka kwa kiasi kikubwa kwenye njia za nchi kavu na baharini kuelekea Ulaya ikilinganishwa na mwaka jana.

  • Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran

    Taasisi na shakhsia kadhaa wa EU wataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Iran

    Oct 25, 2022 10:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amedokeza kuwa karibuni hivi majina ya taasisi na shakhsia kadhaa wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya yataongezwa kwenye orodha ya vikwazo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Maandamano ya Ulaya dhidi ya kuzorota hali ya kiuchumi

    Maandamano ya Ulaya dhidi ya kuzorota hali ya kiuchumi

    Oct 24, 2022 23:06

    Kufuatia kuenea mgogoro wa kiuchumi katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi wengi wameandamana katika nchi kama vile Ujerumani, Ufaransa, Uingereza na Romania kulalamikia hali mbaya ya maisha.

  • Mashariki mwa Ulaya inakabiliwa na janga la ufukara wa nishati na hewa chafu

    Mashariki mwa Ulaya inakabiliwa na janga la ufukara wa nishati na hewa chafu

    Oct 24, 2022 09:02

    Gazeti moja la Uingereza limeandika kuwa, wananchi wa maeneo ya mashariki mwa Ulaya wana utajiri mkubwa wa nishati ya bei nafuu lakini unasababisha uchafuzi mkubwa wa hali ya hewa. Utajiri huo ni kama ule wa makaa ya mawe ya rangi ya kahawia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS