-
Ulimwengu wa Spoti, Jul 8
Jul 08, 2024 07:22Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji, na karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio makubwa yaliyoshuhudiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia.....
-
Ulimwengu wa Spoti, Julai Mosi
Jul 01, 2024 07:18Natumai u bukheri wa afya msikilizaji mpendwa hapo ulipo. Karibu katika dakika hizi chache za kuangazia kwa ufupi baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa.
-
Ulimwengu wa Spoti, Juni 24
Jun 24, 2024 06:46Natumai u bukheri wa afya msikilizaji mpendwa, na karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia.
-
Ulimwengu wa Spoti, Juni 10
Jun 10, 2024 06:26Hujambo mpenzi msikilizaji, natumai u mzima wa afya. Karibu tuangazie baadhi ya matukio makuu yaliyoshuhudiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Persepolis yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran
Jun 02, 2024 10:29Klabu ya Persepolis ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka hapa nchini baada ya kuichachafya klabu ya Mes Rafsanjan Jumamosi. Esteqlal imemaliza ya pili baada ya kuisasambua Peykan mabao 2-0.
-
Ulimwengu wa Michezo, Mei 27
May 27, 2024 07:14Huu ni mukhtasari wa baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia…..
-
Ulimwengu wa Michezo, Mei 20
May 20, 2024 09:31Karibu tukudondolee baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia.
-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 13
May 13, 2024 07:15Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia...
-
Ulimwengu wa Michezo, Mei 6
May 06, 2024 05:16Huu ni mukhtasari wa baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia…..
-
Mcheza soka Muislamu kufukuzwa timu ya taifa ya Ufaransa kwa sababu ya Swaumu, wadau walaani
Mar 23, 2024 11:53Habari ya kufukuzwa mchezaji Mohamed Diawara kwenye kikosi cha timu ya taifa ya soka ya Ufaransa chini ya umri wa miaka 19 kutokana na kufunga Swaumu ya Ramadhani na kukataa kutekeleza maagizo ya Shirikisho la Soka la Ufaransa lililowataka makocha wa timu hizo kategoria za chini ya miaka 21 kutomwita mchezaji yeyote aliyeamua kufunga mwezi wa Ramadhani na kukataa kula mchana wa mwezi huu, imezusha mjadala mkubwa kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii.