Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi

    Burujerdi amtaka Ban Ki-moon kuiweka tena Saudia katika orodha yake nyeusi

    Jun 12, 2016 09:43

    Mwakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge amesema kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anapasa kwa mara nyingine tena kuchukua hatua ya kijasiri na kuliweka jina la Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya Umoja huo kwa kukiuka haki za watoto.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni

    Jun 12, 2016 09:02

    Ofisi ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu imetoa ripoti inayoeleza kuwa Israel imeua Wapalestina 53 tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2016.

  • Polisi wa Burundi kuondolewa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Polisi wa Burundi kuondolewa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 12, 2016 00:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuondolewa maafisa wa polisi wa Burundi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ifikapo mwishoni mwa mwezi ujao wa Julai.

  • Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa laazimia kuangamiza Ukimwi Duniani

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa laazimia kuangamiza Ukimwi Duniani

    Jun 11, 2016 10:59

    Mkutano wa ngazi ya juu wa siku tatu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu namna ya kukomesha maambukizi ya Ukimwi umefungwa mjini New York.

  • UN yalaani matamshi ya chuki za kikabila ya Rais wa Gambia

    UN yalaani matamshi ya chuki za kikabila ya Rais wa Gambia

    Jun 11, 2016 10:59

    Mshauri Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Uzuiaji Mauaji ya Kimbari amelaani hotuba ya kichochezi ya Rais Yahya Jammeh wa Gambia ya kutishia kuliangamiza kabila la Mandinka nchini humo.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aikosoa Saudia

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aikosoa Saudia

    Jun 09, 2016 23:16

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashinikizo yanayotolewa na Saudia kuhusu hatua yake ya kukiuka haki za watoto huko Yemen ni jambo lisiloweza kuhalalishwa.

  • Kuteuliwa utawala wa Kizayuni kuongoza kamati ya sheria ya Umoja wa Mataifa

    Kuteuliwa utawala wa Kizayuni kuongoza kamati ya sheria ya Umoja wa Mataifa

    Jun 09, 2016 02:30

    Harakati kubwa zilizofanywa kuupatia utawala wa Kizayuni wa Israel uwanachama kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kuupatia uongozi utawala huo kwenye baraza hilo ambako kumeonyesha ufanyaji mkubwa wa mambo kisiasa na upotoshaji malengo na vigezo vya kisheria katika chombo hicho cha kisheria cha UN, vimezidi kudhihirisha jinsi suala la haki za binadamu linavyoendelea kutumiwa kisiasa.

  • Palestina: Ni kinaya kuteuliwa Israel kuongoza kamati ya UN

    Palestina: Ni kinaya kuteuliwa Israel kuongoza kamati ya UN

    Jun 08, 2016 23:12

    Afisa wa ngazi za juu wa Palestina ameitaja kama kichekesho na kinaya, hatua ya kuteuliwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Mataifa.

  • Umoja wa Mataifa wataka viongozi wa Eritrea wapelekwe ICC

    Umoja wa Mataifa wataka viongozi wa Eritrea wapelekwe ICC

    Jun 08, 2016 09:44

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuwekewa vikwazo na kufikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC viongozi na wanasiasa wa Eritrea, kwa tuhuma za kufanya jinai dhidi ya binadamu.

  • Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi

    Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi

    Jun 08, 2016 08:46

    Saudi Arabia imetishia kukata misaada na ufadhili wake kwa Umoja wa Mataifa, siku chache baada ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa umoja huo kuuweka muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo dhidi ya Yemen kwenye orodha yake nyeusi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS