-
Palestina: Ni kinaya kuteuliwa Israel kuongoza kamati ya UN
Jun 08, 2016 23:12Afisa wa ngazi za juu wa Palestina ameitaja kama kichekesho na kinaya, hatua ya kuteuliwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Mataifa.
-
Umoja wa Mataifa wataka viongozi wa Eritrea wapelekwe ICC
Jun 08, 2016 09:44Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuwekewa vikwazo na kufikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC viongozi na wanasiasa wa Eritrea, kwa tuhuma za kufanya jinai dhidi ya binadamu.
-
Saudia yatishia kuikatia UN ufadhili kwa kuiweka kwenye orodha nyeusi
Jun 08, 2016 08:46Saudi Arabia imetishia kukata misaada na ufadhili wake kwa Umoja wa Mataifa, siku chache baada ya Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa umoja huo kuuweka muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo dhidi ya Yemen kwenye orodha yake nyeusi.
-
Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa Saudi Arabia
Jun 07, 2016 23:11Umoja wa Mataifa umetupilia mbali msimamo wake wa awali na kulifuta jina la Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia huko Yemen katika orodha yake nyeusi kutokana na kukiuka haki za watoto wa Yemen.
-
UN yatahadharisha kuhusu kuwa wakimbizi watu zaidi ya laki mbili huko Syria
Jun 06, 2016 09:24Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuwa mapigano kati ya Wakurdi wa Syria na kundi la Kigaidi la Daesh karibu na mji wa Manbij huenda yakasababisha watu zaidi ya laki mbili na elfu kumi na sita kuwa wakimbizi.
-
Ban Ki moon aomboleza kifo cha Muhammad Ali
Jun 05, 2016 09:56Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mkono wa pole kufuatia kifo cha bingwa na nguli wa ndondi duniani, Muhammad Ali.
-
UN: Kuongezewa adhabu ya kifungo Sheikh Salman ni ukandamizaji wa kisiasa
Jun 02, 2016 03:18Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya uhuru wa maoni na uhuru wa kujieleza amelaani vikali uamuzi wa mahakama ya rufaa ya Bahrain wa kuidhinisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Harakati ya Al-Wifaq na kuongeza adhabu hiyo ya kifungo hadi miaka tisa.
-
Umoja wa Mataifa wataka juhudi zaidi kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia Kodivaa
Jun 01, 2016 23:37Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameishukuru serikali ya Ivory Coast kwa juhudi zake za kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia na kutaka juhudi zaidi ziongezwe katika uwanja huo.
-
Kumalizika maambukizo ya Ebola nchini Guinea Conakry
Jun 01, 2016 10:58Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kumalizika maambukizo ya homa hatari ya Ebola huko Guinea Conakry.
-
Maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo la kusini mwa Nigeria
Jun 01, 2016 02:29Polisi katika jimbo la Niger Delta kusini mwa Nigeria wameeleza wasiwasi wao kuhusu kuongezeka maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo hilo.