-
Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani
May 28, 2017 02:32Waislamu wengine wawili wameuawa nchini Marekani ikiwa ni muendelezo wa ukandamizaji na unyanyasaji wa Waislamu hususan tangu alipoingia madarakani Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
UN yalaani kudharauliwa mauaji ya Waislamu wa CAR
May 20, 2017 08:15Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha vyombo vya habari duniani cha kudharau kuakisi habari yza mashambulizi na mauaji ya makumi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati
May 16, 2017 23:03Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali mauaji ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo yametekelezwa na magaidi wa kundi la Kikristo la Anti-Balaka.
-
Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel
May 07, 2017 08:52Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe
Apr 28, 2017 22:02Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeitaka serikali ya India ichukue hatua kuzuia mauaji yanayofanywa na Wahindu dhidi ya Waislamu kwa sababu tu wanachinja ng'ombe.
-
Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Nigeria
Apr 19, 2017 07:41Baada ya viongozi wa Nigeria kukataa kumuachilia huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Waislamu wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiliwa huru mwanaharakati huyo wa Kiislamu.
-
Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni
Apr 17, 2017 03:42Waislamu wa mji wa Baltimore, nchini Marekani wamefanya kongamano la 42 la kila mwaka la Waislamu wa nchi hiyo kwa kushiriki Waislamu elfu 20 kutoka maeneo mbalimbali ya taifa hilo.
-
Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria
Apr 08, 2017 03:03Jeshi la Myanmar limetumia mabuldoza kuubomoa kikamilifu msikiti wa kihistoria katika mkoa wa Waislamu wa Rakhine nchini humo.
-
Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab
Apr 01, 2017 23:36Serikali ya China imepiga marufuku wanaume Waislamu kufuga ndevu ndefu na wanawake Waislamu kuvaa niqabu katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu karibu milioni 10 wa kabila la Uigur.
-
Ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu Austria
Mar 30, 2017 03:22Kumeshuhudiwa ongezeko la 62% la chuki dhidi ya Uislamu nchini Austria mwaka 2016.