Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    May 30, 2017 10:59

    Umoja wa Mataifa umeunda timu ya wataalamu huru kuchunguza mauaji na jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine.

  • Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao

    Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao

    May 28, 2017 09:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mwezi mtukufu wa Ramadhani kama fursa ya kipekee inayoweza kutumiwa na Waislamu kote duniani kwa ajili ya kuimarisha umoja na mshikamano wao.

  • Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani

    Gaidi aua Waislamu wawili kwa sababu ya Hijabu nchini Marekani

    May 28, 2017 02:32

    Waislamu wengine wawili wameuawa nchini Marekani ikiwa ni muendelezo wa ukandamizaji na unyanyasaji wa Waislamu hususan tangu alipoingia madarakani Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • UN yalaani kudharauliwa mauaji ya Waislamu wa CAR

    UN yalaani kudharauliwa mauaji ya Waislamu wa CAR

    May 20, 2017 08:15

    Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha vyombo vya habari duniani cha kudharau kuakisi habari yza mashambulizi na mauaji ya makumi ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    OIC yalaani mauaji ya Waislamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 16, 2017 23:03

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali mauaji ya Waislamu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo yametekelezwa na magaidi wa kundi la Kikristo la Anti-Balaka.

  • Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    May 07, 2017 08:52

    Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe

    HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe

    Apr 28, 2017 22:02

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeitaka serikali ya India ichukue hatua kuzuia mauaji yanayofanywa na Wahindu dhidi ya Waislamu kwa sababu tu wanachinja ng'ombe.

  • Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Nigeria

    Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Nigeria

    Apr 19, 2017 07:41

    Baada ya viongozi wa Nigeria kukataa kumuachilia huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Waislamu wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiliwa huru mwanaharakati huyo wa Kiislamu.

  • Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni

    Waislamu Marekani wafanya kongamano kubwa la dini tatu za mbinguni

    Apr 17, 2017 03:42

    Waislamu wa mji wa Baltimore, nchini Marekani wamefanya kongamano la 42 la kila mwaka la Waislamu wa nchi hiyo kwa kushiriki Waislamu elfu 20 kutoka maeneo mbalimbali ya taifa hilo.

  • Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria

    Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria

    Apr 08, 2017 03:03

    Jeshi la Myanmar limetumia mabuldoza kuubomoa kikamilifu msikiti wa kihistoria katika mkoa wa Waislamu wa Rakhine nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS