Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Ombi la kutaka uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu mauaji ya Waislamu nchini Myanmar

    Ombi la kutaka uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu mauaji ya Waislamu nchini Myanmar

    Jan 24, 2017 04:49

    Makundi 41 ya kiraia nchini Myanmar na Mashariki mwa Asia yametoa taarifa na kutaka uchunguzi huru wa kimataifa ufanyike kuhusu mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu za Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar ambao wanakandamizwa na serikali pamoja na mabudha wenye misimamo mikali nchini humo.

  • Sheikh Ikrima Sabri: Kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Baytul Muqaddas ni kutangaza vita dhidi ya Waislamu

    Sheikh Ikrima Sabri: Kuhamishiwa ubalozi wa Marekani Baytul Muqaddas ni kutangaza vita dhidi ya Waislamu

    Jan 21, 2017 03:30

    Khatibu wa Masjidul Aqswa amesenma kuwa, kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv na kupelekwa Baytul Muqaddas kutakuwa ni sawa na kutangaza vita sio tu dhidi ya Wapalestina bali dhidi ya Waarabu na Waislamu wote.

  • Iran: Nchi za Kiislamu zizuie Waislamu kudhulumiwa duniani

    Iran: Nchi za Kiislamu zizuie Waislamu kudhulumiwa duniani

    Jan 19, 2017 04:25

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezitaka nchi za Kiislamu zisikubali wala kuvumilia kuona Waislamu wakikandamizwa na kudhulumiwa duniani.

  • Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini

    Jan 18, 2017 04:41

    Ziara ya siku tatu iliyofanywa huko Myanmar na Yanghee Lee Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Waislamu katika jimbo la Rakhine nchini humo imewapa matumaini Waislamu kuwa huenda hali yao ikaboreka.

  • Kukiri serikali ya Uingereza juu ya kuweko ubaguzi dhidi ya Waislamu

    Kukiri serikali ya Uingereza juu ya kuweko ubaguzi dhidi ya Waislamu

    Jan 16, 2017 23:32

    Serikali ya Uingereza imekiri kwamba, Waislamu wa nchi hiyo wanaotafuta kazi wamekuwa wakibaguliwa na kufanyiwa vitendo visivyo vya kiadilifu.

  • Waislamu wa Nigeria wanasubiri kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Waislamu wa Nigeria wanasubiri kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jan 16, 2017 08:31

    Sambamba na kukaribia wakati wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, msemaji wa harakati hiyo amewatahadharisha viongozi wa nchi hiyo na kuwataka wamuachilie huru haraka iwezekanavyo mwanaharakati huyo wa Kiislamu.

  • Chuki dhidi ya Uislamu, chanzo cha kuhujumiwa misikiti Afrika Kusini

    Chuki dhidi ya Uislamu, chanzo cha kuhujumiwa misikiti Afrika Kusini

    Jan 14, 2017 04:03

    Serikali ya Afrika Kusini imesema chuki dhidi ya Uislamu ndio chanzo cha hujumza mbili dhidi ya misikiti mjini Cape Town.

  • Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Jan 11, 2017 11:50

    Serikali ya Morocco imepiga marufuku uzalishaji na uuzaji wa vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

  • Waislamu wa Austria walalamikia mpango wa kuwazuia kuvaa Hijabu

    Waislamu wa Austria walalamikia mpango wa kuwazuia kuvaa Hijabu

    Jan 07, 2017 12:27

    Waislamu wa nchi Austria wamelalamikia vikali mpango wa kuwapiga marufuku kuvaa vazi la staha la Hijabu katika maeneo ya kazi za umma.

  • Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Austria kupiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa hijabu

    Jan 07, 2017 03:51

    Waziri wa Mambo ya Nje na Utangamano wa Austria ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la hijabu linalovaliwa na wanawake Waislamu katika maeneo ya umma nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS