Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Jul 09, 2016 23:10

    Misikiti kadhaa mjini London Uingereza imepokea vitisho vya kigaidi kutoka kwa makundi yanayoaminika kuwa ya wabaguzi wa mrengo wa kulia huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vikiongezeka nchini humo.

  • IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 08, 2016 03:28

    Kamisheni ya Kiislamu ya Haki za Binadamu yenye makao yake London nchini Uingereza (IHRC) imesema kuwa kutokuwepo mashinikizo ya kimataifa ndiyo sababu ya kuendelea mateso na ukandamiza wa mabudha wenye misimamo mikali dhidi ya Waislamu nchini Myanmar.

  • 9 wafariki dunia katika mkanyagano wakisherehekea Iddi, Ghana

    9 wafariki dunia katika mkanyagano wakisherehekea Iddi, Ghana

    Jul 07, 2016 10:03

    Watu tisa wamepoteza maisha katika mkanyagano wakati wa sherehe za kuadhimisha Sikukuu ya Idul-Fitr jana usiku nchini Ghana.

  • Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel

    Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel

    Jul 06, 2016 23:52

    Viongozi wa Waislamu katika eneo la Pwani nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu.

  • Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja

    Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja

    Jul 06, 2016 02:19

    Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Uganda lililosimamiwa na ofisi ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lilimaliza kazi zake jana mjini Kampaka kwa kusisitiza udharura wa kuimarishwa umoja baina ya Waislamu.

  • Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Jul 05, 2016 02:48

    Huku Waislamu wakijiandaa kwa ajili ya sherehe za Iddil-Fitri kutokana na kuelekea kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani, Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuadhimisha sherehe hizo kwa Amani na utulivu. Hayo yamesemwa na Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, ambapo pia amewataka Waislamu hao kujiepusha kumuasi Mwenyezi Mungu katika sherehe hizo….

  • Nchi zisizo za Kiislamu zatakiwa kuheshimu haki za Waislamu

    Nchi zisizo za Kiislamu zatakiwa kuheshimu haki za Waislamu

    Jul 03, 2016 08:51

    Mshauri iwa Rais wa Misri amesema kuwa upo ulazima kwa nchi zisizo za Kiislamu kuheshimu haki za Waislamu.

  • Sala ya Idul Fitr yafutwa Uingereza kwa kuhofia hujuma ya wenye misimamo mikali

    Sala ya Idul Fitr yafutwa Uingereza kwa kuhofia hujuma ya wenye misimamo mikali

    Jul 02, 2016 23:05

    Sala ya Idul Fitri imefutwa katika mji mwa Southampton Uingereza kufuatia ripoti kuwa makundi ya watu wenye misimamo mikali wenye chuki dhidi ya Waislamu wanapanga kuvuruga sala hiyo.

  • UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 02, 2016 03:30

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Haki za Binadamu nchini Myanmar ametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.

  • Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Jul 01, 2016 03:26

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS