Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi

    Rais Sally: Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi

    Jul 17, 2016 03:36

    Rais wa Senegal amesema kuwa Waislamu ni wahanga wakubwa wa ugaidi duniani.

  • Newt Gingrich: Waislamu wafukuzwe Marekani

    Newt Gingrich: Waislamu wafukuzwe Marekani

    Jul 16, 2016 00:06

    Spika wa zamani wa Kongresi ya Marekani amesema kuwa Waislamu wanaoshikamana na sheria za Kiislamu wanapaswa kufukuzwa nchini Marekani.

  • Waislamu Uingereza  washtushwa na kuteuliwa Bi. May kama Waziri Mkuu

    Waislamu Uingereza washtushwa na kuteuliwa Bi. May kama Waziri Mkuu

    Jul 14, 2016 02:00

    Waislamu nchini Uingereza wameshtushwa na kuteuliwa Bi. Theresa May kama Waziri Mkuu kutokana na sera zake haribifu kwa jamii ya Waislamu nchini humo.

  • Viogozi wa Waislamu Kenya walalamikia safari ya Netanyahu

    Viogozi wa Waislamu Kenya walalamikia safari ya Netanyahu

    Jul 10, 2016 02:17

    Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Jul 09, 2016 23:10

    Misikiti kadhaa mjini London Uingereza imepokea vitisho vya kigaidi kutoka kwa makundi yanayoaminika kuwa ya wabaguzi wa mrengo wa kulia huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vikiongezeka nchini humo.

  • IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 08, 2016 03:28

    Kamisheni ya Kiislamu ya Haki za Binadamu yenye makao yake London nchini Uingereza (IHRC) imesema kuwa kutokuwepo mashinikizo ya kimataifa ndiyo sababu ya kuendelea mateso na ukandamiza wa mabudha wenye misimamo mikali dhidi ya Waislamu nchini Myanmar.

  • 9 wafariki dunia katika mkanyagano wakisherehekea Iddi, Ghana

    9 wafariki dunia katika mkanyagano wakisherehekea Iddi, Ghana

    Jul 07, 2016 10:03

    Watu tisa wamepoteza maisha katika mkanyagano wakati wa sherehe za kuadhimisha Sikukuu ya Idul-Fitr jana usiku nchini Ghana.

  • Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel

    Waislamu nchini Kenya wakosoa vikali uhusiano wa nchi yao na Israel

    Jul 06, 2016 23:52

    Viongozi wa Waislamu katika eneo la Pwani nchini Kenya wamekosoa vikali uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na ziara ya hivi karibuni ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo dhalimu.

  • Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja

    Wanachuo wa Kiislamu wa Uganda watakiwa kuwa na umoja

    Jul 06, 2016 02:19

    Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Uganda lililosimamiwa na ofisi ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lilimaliza kazi zake jana mjini Kampaka kwa kusisitiza udharura wa kuimarishwa umoja baina ya Waislamu.

  • Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Jul 05, 2016 02:48

    Huku Waislamu wakijiandaa kwa ajili ya sherehe za Iddil-Fitri kutokana na kuelekea kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani, Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuadhimisha sherehe hizo kwa Amani na utulivu. Hayo yamesemwa na Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, ambapo pia amewataka Waislamu hao kujiepusha kumuasi Mwenyezi Mungu katika sherehe hizo….

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS