Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM): Karibu watu elfu moja wamekufa maji mwaka huu tu Bahari ya Mediterania

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM): Karibu watu elfu moja wamekufa maji mwaka huu tu Bahari ya Mediterania

    Jul 28, 2021 07:00

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, karibu wahajiri haramu elfu moja wamekufa maji tangu mwanzoni mwa mwaka huu katika maji ya Bahari ya Mediterania.

  • Waliouawa katika ghasia za Afrika Kusini wapindukia 330

    Waliouawa katika ghasia za Afrika Kusini wapindukia 330

    Jul 23, 2021 07:49

    Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa, idadi ya watu waliouawa katika ghasia zinazoendelea nchini humo imepindukia 300.

  • Muungano vamizi wa Saudia waua na kujeruhi raia 20 Yemen

    Muungano vamizi wa Saudia waua na kujeruhi raia 20 Yemen

    Jul 01, 2021 10:51

    Muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umeua na kujeruhiwa raia wapatao 20 katika hujuma dhidi ya mkoa wa Sa'ada nchini Yemen.

  • Kadhaa wauawa katika maandamano ya kushinikiza utawala wa kiraia Chad

    Kadhaa wauawa katika maandamano ya kushinikiza utawala wa kiraia Chad

    Apr 27, 2021 13:07

    Kwa akali watu wawili wameuawa huku wengine 27 wakijeruhiwa katika maandamano ya ghasia yaliyozuka nchini Chad, kushinikiza utawala wa kiraia. Baraza la Kijeshi lilitangaza kuchukua hatamu za uongozi wa nchi kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Idriss Deby. 

  • 23 wauawa katika mauaji mengine ya halaiki Mashariki mwa Congo DR

    23 wauawa katika mauaji mengine ya halaiki Mashariki mwa Congo DR

    Apr 01, 2021 03:02

    Afisa mmoja wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa watu waliokuwa na silaha ambao wanadhaniwa kuwa ni wapiganaji wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) kutoka Uganda wameua raia wasiopungua 23 huko Mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    Mar 20, 2021 09:36

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya magenge ya wabeba silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tokea Januari mwaka huu hadi sasa.

  • Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Mar 02, 2021 03:15

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 16 katika makabiliano makali baina ya pande mbili hizo huko kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Ripoti: Polisi ya Marekani imeua makumi ya Wamarekani weusi tokea 2015

    Ripoti: Polisi ya Marekani imeua makumi ya Wamarekani weusi tokea 2015

    Jan 26, 2021 07:25

    Uchunguzi mpya umefichua kuwa, makumi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika wameuawa na polisi ya nchi hiyo tokea mwaka 2015.

  • Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray

    Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray

    Jan 12, 2021 03:36

    Jeshi la Ethiopia limetangaza habari ya kuua wanachama wengine 15 wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF, ambacho kilikuwa chama tawala katika eneo la Tigray, kaskazini mwa nchi.

  • Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray

    Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray

    Jan 09, 2021 02:40

    Viongozi wanne wa Harakati ya Ukombozi ya Wananchi wa Tigray (TPLF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya vikosi vya jeshi la Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS